Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Interpol yawasaka Wachina 30

Siku tano baada ya Serikali kukanusha vikali ripoti ya Shirika la Kimataifa la Mazingira (EIA) iliyoihusisha China na utoroshaji wa meno ya tembo nchini wakati wa ziara ya Rais wa nchi hiyo, Xi Jinping mwaka jana, Shirika la Polisi la Kimataifa (Intepol), Tawi la Tanzania limesema linawatafuta raia zaidi ya 30 wa China.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Interpol yawasaka Wachina 30 kwa ujangili wa tembo



Kamishna wa Interpol Tawi la Tanzania, Gustav Babile
Dar/Dodoma. Siku tano baada ya Serikali kukanusha vikali ripoti ya Shirika la Kimataifa la Mazingira (EIA) iliyoihusisha China na utoroshaji wa meno ya tembo nchini wakati wa ziara ya Rais wa nchi hiyo, Xi Jinping mwaka jana, Shirika la Polisi la Kimataifa (Intepol), Tawi la Tanzania limesema linawatafuta raia zaidi ya 30 wa China ambao wanatuhumiwa kusafirisha meno ya tembo na kufanya uharamia wa kimazingira katika hifadhi za Taifa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Chamamata yawasaka UKAWA

WANACHAMA wa Chama cha Madereva wa Magari Makubwa Tanzania (Chamamata), wanatarajia  kuandaa muswada utakaotetea haki zao kwa ajili ya  kuukabidhi kwa wabunge wa upinzani ili wakawasemee bungeni. Wamedai uamuzi huo unatokana na...

 

9 years ago

BBCSwahili

Ethiopia yawasaka wasafirishaji haramu

Huku Ulaya ikiendelea kukabiliwa na idadi kubwa ya wahamiaji, Ethiopia inaendelea na msako mkali wa wasafirishaji haramu wanaowahadaa maelfu ya raia wanaotafuta maisha bora Ulaya.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola:Guinea yawasaka maafisa waliotekwa

Guinea imeanza msako kuwatafuta maafisa wa afya walioshambuliwa siku mbili zilizopita wakiwa wameenda kijijini kuwahamasisha watu

 

9 years ago

Mwananchi

Wizara ya Afya yawasaka waliokaidi amri ya Magufuli

Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk Donan Mmbando ameziagiza idara zote zinazotoa huduma chini ya ofisi yake kumpa ripoti ya watumishi waliokwenda nje ya nchi baada ya Rais John Magufuli kupiga marufuku safari hizo isipokuwa kwa kibali kutoka Ikulu.

 

9 years ago

Mwananchi

Serikali yawasaka wanaoishi nchini kinyume cha sheria

Wizara ya Mambo ya Ndani imeanza operesheni ya kuwasaka raia wa kigeni wanaoishi na kufanya kazi nchini kinyume cha sheria ili warudishwe makwao.

 

10 years ago

BBCSwahili

Interpol yakata ushirikiano na FIFA

Shirika la polisi wa kimataifa Interpol limesema linasimamisha uhusiano wake na FIFA uliokuwa na lengo la kuchunguza na kukabiliana na visa vya upangwaji wa matokeo ya mechi za kandanda, kutokana na kashfa ya rushwa inayolizonga shirikisho hilo la soka

 

10 years ago

Sunbury Daily Item

Interpol seeks giraffe smugglers


Sunbury Daily Item
Interpol seeks giraffe smugglers
Sunbury Daily Item
FILE - In this Saturday, Jan. 14, 2012 file photo, a giraffe walks past an Acacia tree, their principal source of food, at Crescent Island Wildlife Sanctuary on Lake Naivasha, Kenya. The international police agency Interpol on Monday, Nov. 17, 2014 began a Most ...
Nine on Interpol wanted list for environmental crimesGlobal Times
Interpol ups search for Pakistani who trafficked giraffes to QatarArabianBusiness.com
Tall...

 

10 years ago

BBC

Interpol building 'raided five times'

The high-security building housing Interpol's South Africa office has been burgled for the fifth time in three weeks, it is reported.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani