Interpol yakata ushirikiano na FIFA
Shirika la polisi wa kimataifa Interpol limesema linasimamisha uhusiano wake na FIFA uliokuwa na lengo la kuchunguza na kukabiliana na visa vya upangwaji wa matokeo ya mechi za kandanda, kutokana na kashfa ya rushwa inayolizonga shirikisho hilo la soka
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili03 Jun
FIFA:Interpol yataka maafisa 6 kukamatwa
10 years ago
BBCSwahili11 Aug
Chelsea yakata rufaa
11 years ago
Mwananchi11 Apr
Mvua yakata mawasiliano ya barabara
11 years ago
BBCSwahili12 Dec
Kenya yakata keki miaka hamsini!
11 years ago
BBCSwahili01 Aug
Kenya yakata rufaa ya marufuku ya CAF
11 years ago
Tanzania Daima11 Apr
Mvua yakata barabara Rujewa — Madibila
MVUA zinazoendelea kunyesha nchini zimesababisha kukatika mawasiliano ya barabara inayounganisha eneo la Rujewa na Madibila wilayani Mbarali, Mbeya. Wakizungumza na Tanzania Daima jana baadhi ya wananchi waliokutwa eneo hilo wakivuka...
11 years ago
Habarileo11 Feb
Mvua yakata barabara Dar - Arusha
MVUA kubwa zilizonyesha usiku wa kuamkia jana mkoani Kilimanjaro, zimekata mawasiliano ya barabara kuu ya Dar es Salaam-Arusha na kusababisha magari kukwama kwa saa nane Hedaru wilayani hapa.
10 years ago
Mwananchi30 Oct
Tanesco lawamani ,yakata umeme bila taarifa
9 years ago
Habarileo21 Dec
Serikali yakata rufaa kesi ya wakili Mwale
MAWAKILI wa serikali wamekata rufaa Mahakama ya Rufaa baada ya Jaji wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, Gadi Mjemas anayesikiliza kesi ya wakili maarufu Median Mwale na wenzake watatu, kukataa baadhi ya vielelezo vya ushahidi kutoka nchini Marekani ikiwamo hati saba za viapo.