Mvua yakata barabara Dar - Arusha
MVUA kubwa zilizonyesha usiku wa kuamkia jana mkoani Kilimanjaro, zimekata mawasiliano ya barabara kuu ya Dar es Salaam-Arusha na kusababisha magari kukwama kwa saa nane Hedaru wilayani hapa.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi11 Apr
Mvua yakata mawasiliano ya barabara
11 years ago
Tanzania Daima11 Apr
Mvua yakata barabara Rujewa — Madibila
MVUA zinazoendelea kunyesha nchini zimesababisha kukatika mawasiliano ya barabara inayounganisha eneo la Rujewa na Madibila wilayani Mbarali, Mbeya. Wakizungumza na Tanzania Daima jana baadhi ya wananchi waliokutwa eneo hilo wakivuka...
11 years ago
Tanzania Daima13 Apr
Mvua yaua wawili, yakata mawasiliano Dar, Bagamoyo
MVUA inayoendelea kunyesha jijini Dar es Salaam imeanza kuleta athari baada ya watu wawili kufariki dunia jijini humo huku kaya zaidi ya 200 zikikosa mahali pa kuishi baada ya nyumba...
11 years ago
GPLMVUA ZILIVYOHARIBU BARABARA MWENGE NA MAGOMENI DAR
11 years ago
Michuzi
TASWIRA MWANANA ZA MATUMIZI YA BARABARA BAADA YA KUNYESHA KWA MVUA JIJINI DAR



11 years ago
Mwananchi13 Apr
Mvua yaharibu barabara Tanga
11 years ago
Michuzi.jpg)
DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AKAGUA BARABARA YA MWENGE-TEGETA, MRADI WA MABASI YAENDAYO HARAKA (BRT) PAMOJA MIRADI YA UJENZI WA BARABARA ZA JUU TAZARA FLYOVER NA MAKUTANO YA BARABARA ZA JUU UBUNGO JIJINI DAR ES SALAAM
.jpg)
.jpg)
5 years ago
Michuzi
MVUA ZAZIDI KUHARIBU MIUNDO MBINU YA BARABARA
Na Abdullatif Yunus wa Michuzi TV.
Mvua zinazoendelea kunyesha maeneo mbali mbali hapa Nchini, zimendelea kuleta athari tofauti ikiwa ni pamoja uharibifu wa Miundo Mbinu ya Barabara na kusababisha adha Kwa wasafiri na wasafirishaji wa mizigo.
Ikiwa ni siku chache tangu kukatika daraja linalounganisha Barbara kuu ya Dodoma Morogoro, hali kama hiyo imejitokeza tena katika Barabara Kuu ya Lusahunga Biharamulo eneo la Nyambale, daraja dogo limepasuka kutokana na kulemewa wingi wa Maji...
11 years ago
Mwananchi14 Apr
Mvua zaua watoto watano, barabara zafungwa Moro