Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mvua yakata mawasiliano ya barabara

>Mamia ya abiria wakiwamo watalii waliokuwa wakisafiri kutoka mkoani Arusha kwenda Ngorongoro na Serengeti mkoani Manyara, wameshindwa kukamilisha safari zao baada ya Daraja la Kirurumo lililoko katika Mto wa Mbu wilayani Monduli kukatika kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Mvua yaua wawili, yakata mawasiliano Dar, Bagamoyo

MVUA inayoendelea kunyesha jijini Dar es Salaam imeanza kuleta athari baada ya watu wawili kufariki dunia jijini humo huku kaya zaidi ya 200 zikikosa mahali pa kuishi baada ya nyumba...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mvua yakata barabara Rujewa — Madibila

MVUA zinazoendelea kunyesha nchini zimesababisha kukatika mawasiliano ya barabara inayounganisha eneo la Rujewa na Madibila wilayani Mbarali, Mbeya. Wakizungumza na Tanzania Daima jana baadhi ya wananchi waliokutwa eneo hilo wakivuka...

 

11 years ago

Habarileo

Mvua yakata barabara Dar - Arusha

Gari likijaribu kupita katika sehemu ya barabara iliyofunikwa na maji ya mvua zinazoendelea kunyesha katika kijiji cha Mgagao, wilayani Mwanga mkoani Kilimanjaro jana. (Picha na Mroki Mroki).MVUA kubwa zilizonyesha usiku wa kuamkia jana mkoani Kilimanjaro, zimekata mawasiliano ya barabara kuu ya Dar es Salaam-Arusha na kusababisha magari kukwama kwa saa nane Hedaru wilayani hapa.

 

11 years ago

Mwananchi

Mvua yaharibu barabara Tanga

Mvua kubwa inayoendelea kunyesha nchini imesababisha kusombwa daraja, kuharibu barabara na kuzolewa nyumba katika Wilaya tatu za Mkoa wa Tanga.

 

5 years ago

Michuzi

MVUA ZAZIDI KUHARIBU MIUNDO MBINU YA BARABARA


Na Abdullatif Yunus wa Michuzi TV.

Mvua zinazoendelea kunyesha maeneo mbali mbali hapa Nchini, zimendelea kuleta athari tofauti ikiwa ni pamoja uharibifu wa Miundo Mbinu ya Barabara na kusababisha adha Kwa wasafiri na wasafirishaji wa mizigo.

Ikiwa ni siku chache tangu kukatika daraja linalounganisha Barbara kuu ya Dodoma Morogoro, hali kama hiyo imejitokeza tena katika Barabara Kuu ya Lusahunga Biharamulo eneo la Nyambale, daraja dogo limepasuka kutokana na kulemewa wingi wa Maji...

 

11 years ago

GPL

MVUA ZILIVYOHARIBU BARABARA MWENGE NA MAGOMENI DAR

 Askari wa usalama barabarani akitimiza jukumu lake eneo korofi la shimo linalosababisha misululu Magomeni.
Shimo hili limesababisha magari kupata pancha maeneo ya Mwenge.  
Huu ndiyo muonekano halisi wa namna magari yanavyokwepa shimo hili…

 

11 years ago

Michuzi

MATUKIO YA KUKATIKA KWA MAWASILIANO YA BARABARA YA KIVUKONI CHA KILOMBERO

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera ( kulia) akionesha kitu wakati Meneja wa Tanrords Mkoa wa Morogoro, Mhandisi Dorothy Mtenga ( kushoto ) akiangalia eneo la maji lililijaa katika mto  Kilombero mei 5, mwaka huu, wakati Mkuu huyo wa Mkoa na kamati yake ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa ilipotembelea eneo la Kivukoni kuona madhara ya mafuriko. Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera, akiwa ndani ya boti kwenye mto Kilombero , mei 5, mwaka huu ,tayari kuanza safari ya kurejea eneo sehemu ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Mvua zaua watoto watano, barabara zafungwa Moro

>Watoto watano wamekufa maji katika maeneo mbalimbali mkoani Morogoro na mwingine Dar es Salaam jana baada ya kutumbukia kwenye mito na mashimo yaliyofurika maji ya mvua kubwa zinazoendelea kunyesha nchini.

 

11 years ago

Michuzi

MATAYARISHO YA MATENGENEZO YA KUREJESHA MAWASILIANO YA BARABARA KATI YA DAR — BAGAMOYO YAENDELEA

Mawasiliano ya barabara kati ya Dar es Salaam na Bagamoyo yamejifunga kutokana na barabara hiyo kubomolewa na maji katika Daraja la Mpiji mpakani mwa mikoa wa Dar es Salaam na Pwani.
Waziri wa Ujenzi Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli alifanikiwa kufika katika eneo hilo mara tu baada ya kupokea taarifa za kukatika kwa barabara hiyo. Akiwa ameongozana na Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Alhaj Mussa Iyombe pamoja na watendaji wengine kutoka TANROADS, Waziri Magufuli amewaagiza watendaji hao...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani