Mvua yakata mawasiliano ya barabara
>Mamia ya abiria wakiwamo watalii waliokuwa wakisafiri kutoka mkoani Arusha kwenda Ngorongoro na Serengeti mkoani Manyara, wameshindwa kukamilisha safari zao baada ya Daraja la Kirurumo lililoko katika Mto wa Mbu wilayani Monduli kukatika kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima13 Apr
Mvua yaua wawili, yakata mawasiliano Dar, Bagamoyo
MVUA inayoendelea kunyesha jijini Dar es Salaam imeanza kuleta athari baada ya watu wawili kufariki dunia jijini humo huku kaya zaidi ya 200 zikikosa mahali pa kuishi baada ya nyumba...
11 years ago
Tanzania Daima11 Apr
Mvua yakata barabara Rujewa — Madibila
MVUA zinazoendelea kunyesha nchini zimesababisha kukatika mawasiliano ya barabara inayounganisha eneo la Rujewa na Madibila wilayani Mbarali, Mbeya. Wakizungumza na Tanzania Daima jana baadhi ya wananchi waliokutwa eneo hilo wakivuka...
11 years ago
Habarileo11 Feb
Mvua yakata barabara Dar - Arusha
MVUA kubwa zilizonyesha usiku wa kuamkia jana mkoani Kilimanjaro, zimekata mawasiliano ya barabara kuu ya Dar es Salaam-Arusha na kusababisha magari kukwama kwa saa nane Hedaru wilayani hapa.
11 years ago
Mwananchi13 Apr
Mvua yaharibu barabara Tanga
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-hNk61YqrrzE/XmxyMalv_dI/AAAAAAALjCk/BwEG1bIF9EIRItb5viOcM5xM8Xh7mfocwCLcBGAsYHQ/s72-c/0835902e-1f7a-4b86-aab7-1e7a4384e830.jpg)
MVUA ZAZIDI KUHARIBU MIUNDO MBINU YA BARABARA
Na Abdullatif Yunus wa Michuzi TV.
Mvua zinazoendelea kunyesha maeneo mbali mbali hapa Nchini, zimendelea kuleta athari tofauti ikiwa ni pamoja uharibifu wa Miundo Mbinu ya Barabara na kusababisha adha Kwa wasafiri na wasafirishaji wa mizigo.
Ikiwa ni siku chache tangu kukatika daraja linalounganisha Barbara kuu ya Dodoma Morogoro, hali kama hiyo imejitokeza tena katika Barabara Kuu ya Lusahunga Biharamulo eneo la Nyambale, daraja dogo limepasuka kutokana na kulemewa wingi wa Maji...
11 years ago
GPLMVUA ZILIVYOHARIBU BARABARA MWENGE NA MAGOMENI DAR
11 years ago
MichuziMATUKIO YA KUKATIKA KWA MAWASILIANO YA BARABARA YA KIVUKONI CHA KILOMBERO
11 years ago
Mwananchi14 Apr
Mvua zaua watoto watano, barabara zafungwa Moro
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-8UYqWR17TTo/U0o-XSxySdI/AAAAAAAFaWs/XROssY6c1_Y/s72-c/unnamed+(1).jpg)
MATAYARISHO YA MATENGENEZO YA KUREJESHA MAWASILIANO YA BARABARA KATI YA DAR — BAGAMOYO YAENDELEA
Waziri wa Ujenzi Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli alifanikiwa kufika katika eneo hilo mara tu baada ya kupokea taarifa za kukatika kwa barabara hiyo. Akiwa ameongozana na Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Alhaj Mussa Iyombe pamoja na watendaji wengine kutoka TANROADS, Waziri Magufuli amewaagiza watendaji hao...