MATAYARISHO YA MATENGENEZO YA KUREJESHA MAWASILIANO YA BARABARA KATI YA DAR — BAGAMOYO YAENDELEA
![](http://1.bp.blogspot.com/-8UYqWR17TTo/U0o-XSxySdI/AAAAAAAFaWs/XROssY6c1_Y/s72-c/unnamed+(1).jpg)
Mawasiliano ya barabara kati ya Dar es Salaam na Bagamoyo yamejifunga kutokana na barabara hiyo kubomolewa na maji katika Daraja la Mpiji mpakani mwa mikoa wa Dar es Salaam na Pwani.
Waziri wa Ujenzi Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli alifanikiwa kufika katika eneo hilo mara tu baada ya kupokea taarifa za kukatika kwa barabara hiyo. Akiwa ameongozana na Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Alhaj Mussa Iyombe pamoja na watendaji wengine kutoka TANROADS, Waziri Magufuli amewaagiza watendaji hao...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zbcSW1D04at5G3s0p48iXzlWyuqKaraRe8GbIsfpwHHDuBlnQcyv2esxZjkV-moFP5efcAf8Hze-XQMvRkhKDa1N7IHLvaQs/unnamed1.jpg?width=650)
MATAYARISHO YA MATENGENEZO YA KUREJESHA MAWASILIANO YA BARABARA KATI YA DAR – BAGAMOYO YAENDELEA
11 years ago
Dewji Blog13 Apr
Updates: Matengenezo ya kurejesha wawasiliano ya barabara kati ya Dar — Bagamoyo yaendelea
Mawasiliano ya barabara kati ya Dar es Salaam na Bagamoyo yamejifunga kutokana na barabara hiyo kubomolewa na maji katika Daraja la Mpiji mpakani mwa mikoa wa Dar es Salaam na Pwani.
Waziri wa Ujenzi Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli alifanikiwa kufika katika eneo hilo mara tu baada ya kupokea taarifa za kukatika kwa barabara hiyo. Akiwa ameongozana na Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Alhaj Mussa...
5 years ago
MichuziTARURA YAENDELEA KUREJESHA MAWASILIANO
WAKALA wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA), umeendelea kurejesha mawasiliano katika maeneo mbalimballi yaliyoathiriwa na mvua nchini na kusababisha adha kwa watumiaji wa barabara hizo pamoja na madaraja.
Kwa Mikoa ya Dodoma na Manyara, tayari mawasiliano yanaendelea kurejeshwa kwa Halmashauri ya Wilaya ya Babati, Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu, Halmashauri ya Wilaya ya Babati Mji na Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa.Meneja wa Wakala Wa Barabara...
11 years ago
Tanzania Daima13 Apr
Mvua yaua wawili, yakata mawasiliano Dar, Bagamoyo
MVUA inayoendelea kunyesha jijini Dar es Salaam imeanza kuleta athari baada ya watu wawili kufariki dunia jijini humo huku kaya zaidi ya 200 zikikosa mahali pa kuishi baada ya nyumba...
10 years ago
Michuzi5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-bt8MTFbbIjY/Xkp4Fj-i8PI/AAAAAAALdrw/3598IUxx4lgytuuhHM56JkBHwBkG7hhagCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
ZAIDI YA BILIONI 25 KUTUMIKA MATENGENEZO YA BARABARA
![](https://1.bp.blogspot.com/-bt8MTFbbIjY/Xkp4Fj-i8PI/AAAAAAALdrw/3598IUxx4lgytuuhHM56JkBHwBkG7hhagCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-8KP1VlFZj4I/Xkp4D0pTHOI/AAAAAAALdrs/ObSTYNKAeOgs_XskFx_e29Hnm4hf1x7ZgCLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZeengWCUTQw/Xkp4CaETz3I/AAAAAAALdro/7yC4OW2eaWE6MQM_Qmc4676X6sKAmdsjgCLcBGAsYHQ/s640/3.jpg)
10 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-bZnR9tmZ_rw/VA4W9K5DchI/AAAAAAAGiJk/QVCC2doAHvs/s1600/unnamed%2B%2813%29.jpg?width=650)
KIVUKO KIPYA (MV DAR ES SALAAM) KITAKACHOTOA HUDUMA KATI YA MWAMBAO WA BAHARI YA HINDI (DAR ES SALAAM NA BAGAMOYO) CHAKAMILIKA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-bZnR9tmZ_rw/VA4W9K5DchI/AAAAAAAGiJk/QVCC2doAHvs/s72-c/unnamed%2B(13).jpg)
BREAKING NYUZZZZZ....KIVUKO KIPYA (MV DAR ES SALAAM) KITAKACHOTOA HUDUMA KATI YA MWAMBAO WA BAHARI YA HINDI (DAR ES SALAAM NA BAGAMOYO) CHAKAMILIKA
10 years ago
Michuzi23 May