ZAIDI YA BILIONI 25 KUTUMIKA MATENGENEZO YA BARABARA
![](https://1.bp.blogspot.com/-bt8MTFbbIjY/Xkp4Fj-i8PI/AAAAAAALdrw/3598IUxx4lgytuuhHM56JkBHwBkG7hhagCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Kazi zikiendelea za kukarabati barabara ya Kahama - Solwa - Mwananga (km 148) kwa kiwango cha changarawe, wilayani Kahama.
Naibu Waziri wa Ujenzi, Elias Kwandikwa, akiruka katika mtambo wa kuchonga barabara wakati alipokuwa akikagua barabara ya Kahama - Solwa - Mwananga (km 148) inayokarabatiwa kwa kiwango cha changarawe, wilayani Kahama.
Muonekano wa sehemu ya barabara ya Kahama - Solwa - Mwananga (km 148) kwa kiwango cha changarawe, Wilaya ya Kahama, Mkoa wa Shinyanga. Barabara hiyo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-GGB33JcfLn4/Xkoj9DuJPFI/AAAAAAAAmvQ/n6qWozKL8qU9VM5q2FbFtWV1I7Bnf4iQgCEwYBhgL/s72-c/thumbnail.jpg)
ZAIDI YA BILIONI 25 KUTUMIKA MATENGENEZO YABARABARA
![](https://1.bp.blogspot.com/-GGB33JcfLn4/Xkoj9DuJPFI/AAAAAAAAmvQ/n6qWozKL8qU9VM5q2FbFtWV1I7Bnf4iQgCEwYBhgL/s640/thumbnail.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-mDc-njomfOk/Xkoj9fsAbHI/AAAAAAAAmvU/YryxMCglKqcQYfepooM5XJjSiTcAGWPQwCEwYBhgL/s640/thumbnail%2B%25281%2529.jpg)
kazi zikiendelea za kukarabati barabara ya Kahama - Solwa -Mwananga (km 148) kwa kiwango cha changarawe, wilayaniKahama.
![](https://1.bp.blogspot.com/-naetRf8kAEI/Xkoj9L9WcXI/AAAAAAAAmvU/bUXzSwG0WOYJ71HwP1Hrtd_Et8Ig1Yy3ACEwYBhgL/s640/thumbnail%2B%25282%2529.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-CjshdsFPLC0/XuMfkzZLi7I/AAAAAAALthc/kd4z4CIoCmoiHHna0kZN-n7puC3y0ZUewCLcBGAsYHQ/s72-c/2.jpg)
Barabara za lami katika Mji wa Serikali kugharimu zaidi ya Bilioni 89
Akizungumza leo Jijini Dodoma wakati akiweka jiwe la...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar27 Aug
Dk Shein : lazima tuwe na mpango maalum kuzifanyia matengenezo barabara zinapoharibika
Wednesday, August 26, 2015 STATE HOUSE ZANZIBAR OFFICE OF THE PRESS SECRETARY PRESS RELEASE Zanzibar 26 Agosti , 2015 TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Wizara ya Miundombinu na Mawasiliano pamoja na Mfuko wa Barabara wametakiwa kuhakikisha […]
The post Dk Shein : lazima tuwe na mpango maalum kuzifanyia matengenezo barabara zinapoharibika appeared first on Mzalendo.net.
11 years ago
Dewji Blog13 Apr
Updates: Matengenezo ya kurejesha wawasiliano ya barabara kati ya Dar — Bagamoyo yaendelea
Mawasiliano ya barabara kati ya Dar es Salaam na Bagamoyo yamejifunga kutokana na barabara hiyo kubomolewa na maji katika Daraja la Mpiji mpakani mwa mikoa wa Dar es Salaam na Pwani.
Waziri wa Ujenzi Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli alifanikiwa kufika katika eneo hilo mara tu baada ya kupokea taarifa za kukatika kwa barabara hiyo. Akiwa ameongozana na Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Alhaj Mussa...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-8UYqWR17TTo/U0o-XSxySdI/AAAAAAAFaWs/XROssY6c1_Y/s72-c/unnamed+(1).jpg)
MATAYARISHO YA MATENGENEZO YA KUREJESHA MAWASILIANO YA BARABARA KATI YA DAR — BAGAMOYO YAENDELEA
Waziri wa Ujenzi Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli alifanikiwa kufika katika eneo hilo mara tu baada ya kupokea taarifa za kukatika kwa barabara hiyo. Akiwa ameongozana na Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Alhaj Mussa Iyombe pamoja na watendaji wengine kutoka TANROADS, Waziri Magufuli amewaagiza watendaji hao...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zbcSW1D04at5G3s0p48iXzlWyuqKaraRe8GbIsfpwHHDuBlnQcyv2esxZjkV-moFP5efcAf8Hze-XQMvRkhKDa1N7IHLvaQs/unnamed1.jpg?width=650)
MATAYARISHO YA MATENGENEZO YA KUREJESHA MAWASILIANO YA BARABARA KATI YA DAR – BAGAMOYO YAENDELEA
11 years ago
Dewji Blog24 Jul
Kiasi cha zaidi ya shilingi Bilioni 128 zatolewa kwa ajili ya ujenzi wa barabara za juu kwa juu na Umeme
Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Dkt. Servacius Likwelile (kushoto) na Balozi wa Japan nchini Masaki Okada (kulia) wakisaini hati ya makubaliano ya mikataba miwili ya ujenzi wa barabara za juu kwa juu katika makutano ya TAZARA na usambazaji umeme jijini Dar es salaam leo zenye thamani ya zaidi ya bilioni 128.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Dkt. Servacius Likwelile (kushoto) na Balozi wa Japan nchini Masaki Okada (kulia) wakibadilishana hati ya makubaliano ya mikataba miwili ya ujenzi wa...
10 years ago
Dewji Blog20 Sep
TAMISEMI kuanzisha benki ya maendeleo, bilioni 50 kutumika
Mjumbe wa Bodi ya Mikopo ya Serikali za Mitaa, George Lubeleje ( wa tatu kulia).Picha na Maktaba.
Na Mwandishi wetu
Bodi ya Mikopo ya Serikali za Mitaa inatarajia kuanzisha Benki ya maendeleo ya Serikali za Mitaa ambayo pamoja na mambo mengine Jukumu lake la Msingi litakuwa ni Kutoa Mikopo yenye masharti nafuu kwenye Halmashauri kwa ajili ya kutekeleza miradi inayolenga kuchochea shughuli za kiuchumi, kuongeza ajira na Mapato ya Halmashauri ili kujiletea Maendeleo ndani ya Halmashauri na...
10 years ago
Dewji Blog23 Mar
Bilioni 4.75 kutumika Mradi wa Maji Masoko wilayani Rungwe
Na Johary Kachwamba-MAELEZO, DODOMA.
SERIKALI inatarajia kutumia shilingi bilioni 4.75 kwa mujibu wa mkataba, kama gharama za mradi wa Maji Masoko Wilayani Rungwe, na tayari fedha iliyokwishalipwa ni shilingi bilioni 1.27
Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Maji, Mhe. Amos Makala (pichani) alipokuwa akijibu Swali la Msingi la Mhe. Profesa. David Mwakyusa, Mbunge wa Rungwe Magharibi aliyetaka kujua msimamo wa Serikali baada ya Mradi wa Maji Masoko Wilayani Rungwe kutokamilika kwa...