Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TAMISEMI kuanzisha benki ya maendeleo, bilioni 50 kutumika

KAMATI YA KATIBA YA BUNGE_

Mjumbe wa Bodi ya Mikopo ya Serikali za Mitaa, George Lubeleje ( wa tatu kulia).Picha na Maktaba.

Na Mwandishi wetu

Bodi ya Mikopo ya Serikali za Mitaa inatarajia kuanzisha Benki ya maendeleo ya Serikali za Mitaa  ambayo pamoja na mambo mengine Jukumu lake la Msingi litakuwa ni Kutoa Mikopo yenye masharti nafuu kwenye Halmashauri kwa ajili ya kutekeleza miradi inayolenga kuchochea shughuli za kiuchumi, kuongeza ajira na Mapato ya Halmashauri ili kujiletea Maendeleo ndani ya Halmashauri na...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

TCCIA sasa kuanzisha Benki ya Maendeleo

Chama cha Wafanyabiashara, Kilimo na Viwanda (TCCIA) Mkoa wa Rukwa, kimeanza mchakato wa uanzishaji benki itakayo wawezesha wanachama wake kuweza kupata mikopo yenye riba nafuu kupitia benki hiyo.

 

10 years ago

Michuzi

BENKI YA KIARABU YA MAENDELEO YA UCHUMI YA AFRIKA ( BADEA)YATOA DOLA ZA KIMAREKANI MILIONI 12.0 (SHILINGI BILIONI 20.1) KUSAIDIA MAENDELEO KATIKA WILAYA YA SAME NA MWANGA

Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa serikali Dr. Servacius Likwelile, mchana wa leo ametiliana saini makubaliano ya mkataba wa kuanzisha Mradi wa Maji katika Wilaya ya Same na Mwanga mkoani Kilimanjaro..  Dr. Likwelile alisaini Mkataba huo kwa niaba ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Benki ya Kiarabu ya Maendeleo ya uchumi ya Afrika. Aliye wakilisha Benki hiyo ni Eng. Yousef I. Al-Bassam ambaye ni Makamu wa Mwenyekiti na Mkurugenzi Msimamizi wa mfuko wa...

 

10 years ago

Vijimambo

BENKI YA KIARABU YA MAENDELEO YA UCHUMI YA AFRIKA ( BADEA)YATOA DOLA ZA KIMAREKANI MILIONI 12.0 SAWA NA FEDHA ZA KITANZANIA SHILINGI BILIONI 20.1 KUSAIDIA MAENDELEO KATIKA WILAYA YA SAME NA MWANGA

Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa serikali Dr. Servacius Likwelile akiwa na ujumbe kutoka Tanzania wakiwa tayari kutiliana saini mkataba wa makubaliano ya mradi wa maji katika Wilaya ya Same na Mwanga. Aliye kushoto kwake ni Eng. Yousef I. Al-Bassam ambaye ni Makamu wa Mwenyekiti na Mkurugenzi Msimamizi wa mfuko wa maendeleo wa Saudia.Fedha hizo zimetoka BADEA.Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa Serikali Dr. Servacius Likwelile akitia saini makubaliano ya...

 

10 years ago

Michuzi

warsha ya siku moja kujadili mpango mkakati wa Maendeleo wa miaka 25 ya benki ya Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania yafanyika jijini Dar

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) Thomas Samkyi akizungumza katika warsha juu ya kujadili mpango wa maendeleo wa taasisi hiyo kwa miaka 25 ijayo. Warsha hiyo ilifanyika hoteli ya Kilimanjaro Hyatt Regency, Dar es Salaam.Mkuu wa Mipango, Sera na Ushirikiano wa Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania, Francis Assenga akizungumza na wadau katika mkutano huo.Wadau wa sekta ya kilimo, uvuvi na ufugaji wakifuatilia warsha ya mpango wa maendeleo wa miaka 25 wa benki...

 

5 years ago

Michuzi

ZAIDI YA BILIONI 25 KUTUMIKA MATENGENEZO YA BARABARA

Kazi zikiendelea za kukarabati barabara ya Kahama - Solwa - Mwananga (km 148) kwa kiwango cha changarawe, wilayani Kahama.Naibu Waziri wa Ujenzi, Elias Kwandikwa, akiruka katika mtambo wa kuchonga barabara wakati alipokuwa akikagua barabara ya Kahama - Solwa - Mwananga (km 148) inayokarabatiwa kwa kiwango cha changarawe, wilayani Kahama.Muonekano wa sehemu ya barabara ya Kahama - Solwa - Mwananga (km 148) kwa kiwango cha changarawe, Wilaya ya Kahama, Mkoa wa Shinyanga. Barabara hiyo...

 

5 years ago

CCM Blog

ZAIDI YA BILIONI 25 KUTUMIKA MATENGENEZO YABARABARA

Naibu   Waziri   wa   Ujenzi,   Elias   Kwandikwa,   akiruka   katika mtambo wa kuchonga barabara   wakati alipokuwa   akikagua barabara ya Kahama - Solwa -  Mwananga   (km   148)inayokarabatiwa   kwa   kiwango   cha   changarawe,   wilayaniKahama. 
kazi   zikiendelea  za  kukarabati   barabara   ya   Kahama   -   Solwa   -Mwananga   (km   148) kwa  kiwango   cha   changarawe,   wilayaniKahama.  Muonekano wa sehemu ya barabara   ya   Kahama   -   Solwa   -Mwananga (km 148)  kwa kiwango cha...

 

10 years ago

Vijimambo

Sh. bilioni 268 kutumika Uchaguzi Mkuu mwaka huu

Zaidi ya Sh. bilioni 268 zinatarajiwa kutumikia katika Uchaguzi Mkuu wa mwezi Oktoba mwaka huu utakaowapa fursa Watanzania kuchagua madiwani, wabunge na Rais ajae.

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, aliyasema hayo jana wakati akiahirisha Bunge mjini Dodoma na kuongeza kuwa maandalizi ya uchaguzi huo yanaenda vizuri.
Alisema vifaa mbalimbali kwa ajili kuufanikisha uchaguzi huo tayari vimeanza kununuliwa.

Pinda alisema kuwa miongoni mwa maandalizi ya uchaguzi huo ni uandikishaji wa daftari la kudumu la...

 

10 years ago

Mtanzania

Sh bilioni nane kutumika kupanga upya Jiji la Mwanza

NA BENJAMIN MASESE, MWANZA

SERIKALI inakusudia kutumia Sh bilioni nane katika mpango wake wa kulipanga upya Jiji la Mwanza kwa kuainisha sehemu za makazi, viwanda, biashara na huduma za kijamii.

Kauli hiyo ilitolewa mjini hapa jana na Mkurugenzi Msaidizi wa Mpango Mkakati wa Kuyapanga Majiji kutoka Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mahenge Amulike, wakati wa ufunguzi wa mkutano wa wadau na viongozi wa Serikali wa sekta zote wa kupokea maoni na mapendekezo ya kuainisha maeneo...

 

10 years ago

Dewji Blog

Bilioni 4.75 kutumika Mradi wa Maji Masoko wilayani Rungwe

MAKALA

Na Johary Kachwamba-MAELEZO, DODOMA.

SERIKALI inatarajia kutumia shilingi bilioni 4.75 kwa mujibu wa mkataba, kama gharama za mradi wa Maji Masoko Wilayani Rungwe, na tayari fedha iliyokwishalipwa ni shilingi bilioni 1.27

Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Maji, Mhe. Amos Makala (pichani) alipokuwa akijibu Swali la Msingi la Mhe. Profesa. David Mwakyusa, Mbunge wa Rungwe Magharibi aliyetaka kujua msimamo wa Serikali baada ya Mradi wa Maji Masoko Wilayani Rungwe kutokamilika kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani