TAMISEMI kuanzisha benki ya maendeleo, bilioni 50 kutumika
Mjumbe wa Bodi ya Mikopo ya Serikali za Mitaa, George Lubeleje ( wa tatu kulia).Picha na Maktaba.
Na Mwandishi wetu
Bodi ya Mikopo ya Serikali za Mitaa inatarajia kuanzisha Benki ya maendeleo ya Serikali za Mitaa ambayo pamoja na mambo mengine Jukumu lake la Msingi litakuwa ni Kutoa Mikopo yenye masharti nafuu kwenye Halmashauri kwa ajili ya kutekeleza miradi inayolenga kuchochea shughuli za kiuchumi, kuongeza ajira na Mapato ya Halmashauri ili kujiletea Maendeleo ndani ya Halmashauri na...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi18 Feb
TCCIA sasa kuanzisha Benki ya Maendeleo
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-3VBFmmSqIbU/VDr2r_pvjVI/AAAAAAAGpoU/kazx_JHtPiw/s72-c/unnamed%2B(18).jpg)
BENKI YA KIARABU YA MAENDELEO YA UCHUMI YA AFRIKA ( BADEA)YATOA DOLA ZA KIMAREKANI MILIONI 12.0 (SHILINGI BILIONI 20.1) KUSAIDIA MAENDELEO KATIKA WILAYA YA SAME NA MWANGA
10 years ago
VijimamboBENKI YA KIARABU YA MAENDELEO YA UCHUMI YA AFRIKA ( BADEA)YATOA DOLA ZA KIMAREKANI MILIONI 12.0 SAWA NA FEDHA ZA KITANZANIA SHILINGI BILIONI 20.1 KUSAIDIA MAENDELEO KATIKA WILAYA YA SAME NA MWANGA
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Cxd6Ymt_sYs/VMywkVF5c2I/AAAAAAAHAgA/09DW3oEOhus/s72-c/unnamed%2B(26).jpg)
warsha ya siku moja kujadili mpango mkakati wa Maendeleo wa miaka 25 ya benki ya Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania yafanyika jijini Dar
![](http://3.bp.blogspot.com/-Cxd6Ymt_sYs/VMywkVF5c2I/AAAAAAAHAgA/09DW3oEOhus/s1600/unnamed%2B(26).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-3a417g2wFyw/VMywc-Ek_yI/AAAAAAAHAf4/nRPrFqscG4A/s1600/unnamed%2B(20).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-rBtvKRurUGI/VMywoulaVMI/AAAAAAAHAgU/rxnhJgCeMmg/s1600/unnamed%2B(25).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-bt8MTFbbIjY/Xkp4Fj-i8PI/AAAAAAALdrw/3598IUxx4lgytuuhHM56JkBHwBkG7hhagCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
ZAIDI YA BILIONI 25 KUTUMIKA MATENGENEZO YA BARABARA
![](https://1.bp.blogspot.com/-bt8MTFbbIjY/Xkp4Fj-i8PI/AAAAAAALdrw/3598IUxx4lgytuuhHM56JkBHwBkG7hhagCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-8KP1VlFZj4I/Xkp4D0pTHOI/AAAAAAALdrs/ObSTYNKAeOgs_XskFx_e29Hnm4hf1x7ZgCLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZeengWCUTQw/Xkp4CaETz3I/AAAAAAALdro/7yC4OW2eaWE6MQM_Qmc4676X6sKAmdsjgCLcBGAsYHQ/s640/3.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-GGB33JcfLn4/Xkoj9DuJPFI/AAAAAAAAmvQ/n6qWozKL8qU9VM5q2FbFtWV1I7Bnf4iQgCEwYBhgL/s72-c/thumbnail.jpg)
ZAIDI YA BILIONI 25 KUTUMIKA MATENGENEZO YABARABARA
![](https://1.bp.blogspot.com/-GGB33JcfLn4/Xkoj9DuJPFI/AAAAAAAAmvQ/n6qWozKL8qU9VM5q2FbFtWV1I7Bnf4iQgCEwYBhgL/s640/thumbnail.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-mDc-njomfOk/Xkoj9fsAbHI/AAAAAAAAmvU/YryxMCglKqcQYfepooM5XJjSiTcAGWPQwCEwYBhgL/s640/thumbnail%2B%25281%2529.jpg)
kazi zikiendelea za kukarabati barabara ya Kahama - Solwa -Mwananga (km 148) kwa kiwango cha changarawe, wilayaniKahama.
![](https://1.bp.blogspot.com/-naetRf8kAEI/Xkoj9L9WcXI/AAAAAAAAmvU/bUXzSwG0WOYJ71HwP1Hrtd_Et8Ig1Yy3ACEwYBhgL/s640/thumbnail%2B%25282%2529.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-oUvQTl0b_1k/VBHeCrjmC-I/AAAAAAAC7sY/s-uiGY5YLjk/s72-c/10683687_491115444359256_3412387166859006512_o.jpg)
Sh. bilioni 268 kutumika Uchaguzi Mkuu mwaka huu
![](http://3.bp.blogspot.com/-oUvQTl0b_1k/VBHeCrjmC-I/AAAAAAAC7sY/s-uiGY5YLjk/s640/10683687_491115444359256_3412387166859006512_o.jpg)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, aliyasema hayo jana wakati akiahirisha Bunge mjini Dodoma na kuongeza kuwa maandalizi ya uchaguzi huo yanaenda vizuri.
Alisema vifaa mbalimbali kwa ajili kuufanikisha uchaguzi huo tayari vimeanza kununuliwa.
Pinda alisema kuwa miongoni mwa maandalizi ya uchaguzi huo ni uandikishaji wa daftari la kudumu la...
10 years ago
Mtanzania09 May
Sh bilioni nane kutumika kupanga upya Jiji la Mwanza
NA BENJAMIN MASESE, MWANZA
SERIKALI inakusudia kutumia Sh bilioni nane katika mpango wake wa kulipanga upya Jiji la Mwanza kwa kuainisha sehemu za makazi, viwanda, biashara na huduma za kijamii.
Kauli hiyo ilitolewa mjini hapa jana na Mkurugenzi Msaidizi wa Mpango Mkakati wa Kuyapanga Majiji kutoka Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mahenge Amulike, wakati wa ufunguzi wa mkutano wa wadau na viongozi wa Serikali wa sekta zote wa kupokea maoni na mapendekezo ya kuainisha maeneo...
10 years ago
Dewji Blog23 Mar
Bilioni 4.75 kutumika Mradi wa Maji Masoko wilayani Rungwe
Na Johary Kachwamba-MAELEZO, DODOMA.
SERIKALI inatarajia kutumia shilingi bilioni 4.75 kwa mujibu wa mkataba, kama gharama za mradi wa Maji Masoko Wilayani Rungwe, na tayari fedha iliyokwishalipwa ni shilingi bilioni 1.27
Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Maji, Mhe. Amos Makala (pichani) alipokuwa akijibu Swali la Msingi la Mhe. Profesa. David Mwakyusa, Mbunge wa Rungwe Magharibi aliyetaka kujua msimamo wa Serikali baada ya Mradi wa Maji Masoko Wilayani Rungwe kutokamilika kwa...