Sh bilioni nane kutumika kupanga upya Jiji la Mwanza
NA BENJAMIN MASESE, MWANZA
SERIKALI inakusudia kutumia Sh bilioni nane katika mpango wake wa kulipanga upya Jiji la Mwanza kwa kuainisha sehemu za makazi, viwanda, biashara na huduma za kijamii.
Kauli hiyo ilitolewa mjini hapa jana na Mkurugenzi Msaidizi wa Mpango Mkakati wa Kuyapanga Majiji kutoka Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mahenge Amulike, wakati wa ufunguzi wa mkutano wa wadau na viongozi wa Serikali wa sekta zote wa kupokea maoni na mapendekezo ya kuainisha maeneo...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziJiji la Dar es salaam na Mwanza kutumika kwa ligi nne
Jiji la Dar es salaam na Mwanza kutumika kwa ligi nne
Na Eleuteri Mangi-WHUSM, Dodoma.
Serikali imeruhusu ligi kuu nne kuanza kuchezwa nchini kuanzia Juni 1, 2020 kwa tahadhari zote ili kumpata bingwa wa ligi hizo na timu mwakilishi katika Kombe la Shirikisho Barani Afrika.
Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe katika mkutano na waandishi wa habari leo jijini Dodoma kuhusu uamuzi wa Serikali wa kuanza kwa ligi hizo baada ya kusitishwa...
10 years ago
GPLMWANAHARAKATI AVAA GUNIA NA KUTINGA OFISI ZA JIJI KUMDAI MKURUGENZI WA JIJI LA MWANZA AMLIPE FEDHA ZAKE
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-bt8MTFbbIjY/Xkp4Fj-i8PI/AAAAAAALdrw/3598IUxx4lgytuuhHM56JkBHwBkG7hhagCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
ZAIDI YA BILIONI 25 KUTUMIKA MATENGENEZO YA BARABARA
![](https://1.bp.blogspot.com/-bt8MTFbbIjY/Xkp4Fj-i8PI/AAAAAAALdrw/3598IUxx4lgytuuhHM56JkBHwBkG7hhagCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-8KP1VlFZj4I/Xkp4D0pTHOI/AAAAAAALdrs/ObSTYNKAeOgs_XskFx_e29Hnm4hf1x7ZgCLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZeengWCUTQw/Xkp4CaETz3I/AAAAAAALdro/7yC4OW2eaWE6MQM_Qmc4676X6sKAmdsjgCLcBGAsYHQ/s640/3.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-GGB33JcfLn4/Xkoj9DuJPFI/AAAAAAAAmvQ/n6qWozKL8qU9VM5q2FbFtWV1I7Bnf4iQgCEwYBhgL/s72-c/thumbnail.jpg)
ZAIDI YA BILIONI 25 KUTUMIKA MATENGENEZO YABARABARA
![](https://1.bp.blogspot.com/-GGB33JcfLn4/Xkoj9DuJPFI/AAAAAAAAmvQ/n6qWozKL8qU9VM5q2FbFtWV1I7Bnf4iQgCEwYBhgL/s640/thumbnail.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-mDc-njomfOk/Xkoj9fsAbHI/AAAAAAAAmvU/YryxMCglKqcQYfepooM5XJjSiTcAGWPQwCEwYBhgL/s640/thumbnail%2B%25281%2529.jpg)
kazi zikiendelea za kukarabati barabara ya Kahama - Solwa -Mwananga (km 148) kwa kiwango cha changarawe, wilayaniKahama.
![](https://1.bp.blogspot.com/-naetRf8kAEI/Xkoj9L9WcXI/AAAAAAAAmvU/bUXzSwG0WOYJ71HwP1Hrtd_Et8Ig1Yy3ACEwYBhgL/s640/thumbnail%2B%25282%2529.jpg)
10 years ago
Dewji Blog20 Sep
TAMISEMI kuanzisha benki ya maendeleo, bilioni 50 kutumika
Mjumbe wa Bodi ya Mikopo ya Serikali za Mitaa, George Lubeleje ( wa tatu kulia).Picha na Maktaba.
Na Mwandishi wetu
Bodi ya Mikopo ya Serikali za Mitaa inatarajia kuanzisha Benki ya maendeleo ya Serikali za Mitaa ambayo pamoja na mambo mengine Jukumu lake la Msingi litakuwa ni Kutoa Mikopo yenye masharti nafuu kwenye Halmashauri kwa ajili ya kutekeleza miradi inayolenga kuchochea shughuli za kiuchumi, kuongeza ajira na Mapato ya Halmashauri ili kujiletea Maendeleo ndani ya Halmashauri na...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-oUvQTl0b_1k/VBHeCrjmC-I/AAAAAAAC7sY/s-uiGY5YLjk/s72-c/10683687_491115444359256_3412387166859006512_o.jpg)
Sh. bilioni 268 kutumika Uchaguzi Mkuu mwaka huu
![](http://3.bp.blogspot.com/-oUvQTl0b_1k/VBHeCrjmC-I/AAAAAAAC7sY/s-uiGY5YLjk/s640/10683687_491115444359256_3412387166859006512_o.jpg)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, aliyasema hayo jana wakati akiahirisha Bunge mjini Dodoma na kuongeza kuwa maandalizi ya uchaguzi huo yanaenda vizuri.
Alisema vifaa mbalimbali kwa ajili kuufanikisha uchaguzi huo tayari vimeanza kununuliwa.
Pinda alisema kuwa miongoni mwa maandalizi ya uchaguzi huo ni uandikishaji wa daftari la kudumu la...
10 years ago
Dewji Blog23 Mar
Bilioni 4.75 kutumika Mradi wa Maji Masoko wilayani Rungwe
Na Johary Kachwamba-MAELEZO, DODOMA.
SERIKALI inatarajia kutumia shilingi bilioni 4.75 kwa mujibu wa mkataba, kama gharama za mradi wa Maji Masoko Wilayani Rungwe, na tayari fedha iliyokwishalipwa ni shilingi bilioni 1.27
Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Maji, Mhe. Amos Makala (pichani) alipokuwa akijibu Swali la Msingi la Mhe. Profesa. David Mwakyusa, Mbunge wa Rungwe Magharibi aliyetaka kujua msimamo wa Serikali baada ya Mradi wa Maji Masoko Wilayani Rungwe kutokamilika kwa...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-4aKGJ6JlyvA/Vapm2ehPFDI/AAAAAAAC8r4/9ZiNK2syo88/s72-c/_MG_7312.jpg)
WAKAZI WA JIJI LA MWANZA WAJITOKEZA KUMLAKI KWA SHANGWE DKT MAGUFULI JIJINI MWANZA LEO.
![](http://1.bp.blogspot.com/-4aKGJ6JlyvA/Vapm2ehPFDI/AAAAAAAC8r4/9ZiNK2syo88/s640/_MG_7312.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-MJ0d-8ABhd4/VapnUSkWzlI/AAAAAAAC8sA/OSmdrUOCa9A/s640/_MG_7339.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-4aKGJ6JlyvA/Vapm2ehPFDI/AAAAAAAC8r4/9ZiNK2syo88/s72-c/_MG_7312.jpg)
MAELFU WAKAZI WA JIJI LA MWANZA WAJITOKEZA KUMLAKI KWA SHANGWE DKT MAGUFULI JIJINI MWANZA LEO.
![](http://1.bp.blogspot.com/-4aKGJ6JlyvA/Vapm2ehPFDI/AAAAAAAC8r4/9ZiNK2syo88/s640/_MG_7312.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-MJ0d-8ABhd4/VapnUSkWzlI/AAAAAAAC8sA/OSmdrUOCa9A/s640/_MG_7339.jpg)