Jiji la Dar es salaam na Mwanza kutumika kwa ligi nne
Jiji la Dar es salaam na Mwanza kutumika kwa ligi nne
Na Eleuteri Mangi-WHUSM, Dodoma.
Serikali imeruhusu ligi kuu nne kuanza kuchezwa nchini kuanzia Juni 1, 2020 kwa tahadhari zote ili kumpata bingwa wa ligi hizo na timu mwakilishi katika Kombe la Shirikisho Barani Afrika.
Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe katika mkutano na waandishi wa habari leo jijini Dodoma kuhusu uamuzi wa Serikali wa kuanza kwa ligi hizo baada ya kusitishwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM BlogSERIKALI YARUHUSU LIGI KUU NNE ZA SOKA KUCHEZWA DAR NA MWANZA KUANZIA MWEZI UJAO
Serikali imeruhusu ligi kuu nne kuanza kuchezwa nchini kuanzia Juni 1, 2020 kwa tahadhari zote ili kumpata bingwa wa ligi hizo na timu mwakilishi katika Kombe la Shirikisho Barani Afrika.
Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dk. Harrison Mwakyembe katika mkutano na waandishi wa habari leo jijini Dodoma kuhusu uamuzi wa Serikali wa kuanza kwa ligi hizo baada ya kusitishwa kwa muda kufuatia ugonjwa mlipuko...
10 years ago
Mtanzania09 May
Sh bilioni nane kutumika kupanga upya Jiji la Mwanza
NA BENJAMIN MASESE, MWANZA
SERIKALI inakusudia kutumia Sh bilioni nane katika mpango wake wa kulipanga upya Jiji la Mwanza kwa kuainisha sehemu za makazi, viwanda, biashara na huduma za kijamii.
Kauli hiyo ilitolewa mjini hapa jana na Mkurugenzi Msaidizi wa Mpango Mkakati wa Kuyapanga Majiji kutoka Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mahenge Amulike, wakati wa ufunguzi wa mkutano wa wadau na viongozi wa Serikali wa sekta zote wa kupokea maoni na mapendekezo ya kuainisha maeneo...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-xHFjE9ec50s/VbsPNqJtxgI/AAAAAAAHs3w/AGeFs7wIlyc/s72-c/image.jpeg)
NEC YAONGEZA SIKU NNE ZA KUJIANDIKISHA KWA WAKAZI WA JIJI LA DAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-xHFjE9ec50s/VbsPNqJtxgI/AAAAAAAHs3w/AGeFs7wIlyc/s640/image.jpeg)
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema kuwa imeongeza muda wa siku nne wa kuandikisha wapiga kura kwa wakazi wa Jiji la Dar es Salaam. Hii inamaanisha kuwa zoezi hilo ambalo lilikuwa linaisha leo ijumaa ya julai 31, litaendelea hadi jumanne agosti 4.
Akiongea na waandishi wa habari Jijini Dar es Salaam, Mwenyekiti wa NEC, Jaji Mstaafu Damian Lubuva amesema kuwa hataweza kuongeza muda wa zaidi ya siku nne kwa kuwa ratiba zitaingiliana.
Aidha, Jaji...
9 years ago
Dewji Blog18 Nov
Serikali khuduma ya maji kwa wakazi wa jiji la Dar es Salaam.
Na. Georgina Misama – Maelezo
[DAR ES SALAAM] Serikali inatarajia kuzalisha maji lita milioni 270 kwa siku baada...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-b3_6SbxawIc/Vkspvn-ZwtI/AAAAAAAIGbM/vkorSoLEObM/s72-c/Sharif%2B01.jpg)
Serikali Kuboresha Huduma ya Maji kwa Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam
Serikali inatarajia kuzalisha maji lita milioni 270 kwa siku baada ya kukamilika kwa mradi wa upanuzi wa Chanzo cha Maji cha Ruvu Chini na upanuzi wa mtambo wa kusafishia maji.
Mradi huo unaotekelezwa na Serikali kwa kushirikiana na Shirika la Kimarekani la Millenium Challenge Co-operation umegharimu kiasi cha shilingi bilioni 66.24 na unatarajiwa kukamilika wakati wowote baada ya kukamilika kwa kazi ya kulaza bomba linalosafirisha maji toka Ruvu chini kuja...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-4aKGJ6JlyvA/Vapm2ehPFDI/AAAAAAAC8r4/9ZiNK2syo88/s72-c/_MG_7312.jpg)
WAKAZI WA JIJI LA MWANZA WAJITOKEZA KUMLAKI KWA SHANGWE DKT MAGUFULI JIJINI MWANZA LEO.
![](http://1.bp.blogspot.com/-4aKGJ6JlyvA/Vapm2ehPFDI/AAAAAAAC8r4/9ZiNK2syo88/s640/_MG_7312.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-MJ0d-8ABhd4/VapnUSkWzlI/AAAAAAAC8sA/OSmdrUOCa9A/s640/_MG_7339.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-4aKGJ6JlyvA/Vapm2ehPFDI/AAAAAAAC8r4/9ZiNK2syo88/s72-c/_MG_7312.jpg)
MAELFU WAKAZI WA JIJI LA MWANZA WAJITOKEZA KUMLAKI KWA SHANGWE DKT MAGUFULI JIJINI MWANZA LEO.
![](http://1.bp.blogspot.com/-4aKGJ6JlyvA/Vapm2ehPFDI/AAAAAAAC8r4/9ZiNK2syo88/s640/_MG_7312.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-MJ0d-8ABhd4/VapnUSkWzlI/AAAAAAAC8sA/OSmdrUOCa9A/s640/_MG_7339.jpg)
9 years ago
VijimamboMKUTANO WA NNE WA BARA LA AFRIKA KUJADILI MIPANGO ENDELEVU NA MAFUNZO KWA VIJANA WAFANYIKA JIJINI DAR ES SALAAM
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-lxXkLGJZ-2c/XsAnRnt3MMI/AAAAAAALqfI/UAyQtzsIWZ8e4jY580hdEsZvl3aFDRrtwCLcBGAsYHQ/s72-c/5bb50332-4927-4ead-9a73-381cbdc824d7.jpg)
KLABU YA SIMBA,MO DEWJI WAGAWA BARAKOA BURE KWA WAKAZI WA JIJI LA DAR ES SALAAM KUJIKINGA NA CORONA
Klabu ya Simba kwa kushirikiana na Taasisi ya Mo Dewji wametoa msaada wa Barakoa kwa wananchi wa maeneo mbalimbali ndani ya Jiji la Dar es Salaam kwa ajili ya kujikinga na maambukizi ya virusi vya Corona.
Akizungumza na waandish wa habari wakati wa tukio hilo, Msaidizi wa Mkurugenzi Mtendaji wa Klabu ya Simba Rispa Hatib amesema tukio hilo ni la siku tatu kuanzia leo Jumamosi na litahitimishwa siku ya Jumatatu.
Amesema, janga hili ni la Dunia na nchi nzima kwa...