MATUKIO YA KUKATIKA KWA MAWASILIANO YA BARABARA YA KIVUKONI CHA KILOMBERO
Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera ( kulia) akionesha kitu wakati Meneja wa Tanrords Mkoa wa Morogoro, Mhandisi Dorothy Mtenga ( kushoto ) akiangalia eneo la maji lililijaa katika mto Kilombero mei 5, mwaka huu, wakati Mkuu huyo wa Mkoa na kamati yake ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa ilipotembelea eneo la Kivukoni kuona madhara ya mafuriko.
Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera, akiwa ndani ya boti kwenye mto Kilombero , mei 5, mwaka huu ,tayari kuanza safari ya kurejea eneo sehemu ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-qAqCPlHf3MA/UvJPvQnUvYI/AAAAAAAFLBI/6UKvibNV4w4/s72-c/Vodacom-Logo.jpg)
Taarifa ya kukatika kwa Mawasiliano ya Vodacom
![](http://1.bp.blogspot.com/-qAqCPlHf3MA/UvJPvQnUvYI/AAAAAAAFLBI/6UKvibNV4w4/s1600/Vodacom-Logo.jpg)
Kukatika kwa Mkonga huo kumesababisha vituo vyetu vya kutoa huduma za mawasiliano vilivyopo Oysterbay na mbezi juu kushindwa kufanya kazi kutokana na vituo hivyo kutegemeana...
11 years ago
GPLTAARIFA YA KUKATIKA KWA MAWASILIANO YA VODACOM
11 years ago
Habarileo31 May
Ufinyu wa bajeti wakwamisha barabara ya Kivukoni -Makutano
SERIKALI kwa sasa haina mpango wa kuijenga kwa kiwango cha lami barabara ya kutoka Kivukoni Kinesi -Makutano Kinesi hadi Kuruya katika barabara kuu ya Mwanza hadi Sirari kutokana na ufinyu wa bajeti ya serikali.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-E0jCD6ZrPlc/UxR7DQiaVCI/AAAAAAAFQys/y5swYSrOd9s/s72-c/IMG_2763.jpg)
TASWIRA YA BARABARA YA KIVUKONI FRONT JIJINI DAR ES SALAAM LEo
![](http://1.bp.blogspot.com/-E0jCD6ZrPlc/UxR7DQiaVCI/AAAAAAAFQys/y5swYSrOd9s/s1600/IMG_2763.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-FqZ6szqbug4/UxR7DifudlI/AAAAAAAFQyw/UB_O_FRe1QM/s1600/IMG_2764.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Gr507tF21ck/UxNENuoAhxI/AAAAAAAFQjg/NHKqiQLDTn0/s72-c/b1.jpg)
BARABARA YA KIMARA HADI KIVUKONI WAENDELA, KUKAMILIKA NDANI YA MIEZI SITA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/st-pA-4csCFTOeljWo89O8nd2*ijHsvIsZhOKa3WylmTOt*XJtiG732Nhg60V6DjB8wZZRblphxi05cxZmO9HASeagU3*7RR/13.gif)
KIVUKO CHA MV KILOMBERO CHAKWAMA KWA SAA 6
9 years ago
Habarileo18 Nov
Marekani yasaidia ukarabati wa barabara Kilombero Vijijini
SERIKALI ya Marekani kupitia Shirika lake la Maendeleo (USAID), imeidhinisha Sh bilioni 2.4 kwa halmashauri ya wilaya ya Kilombero mkoani Morogoro kwa ajili ya kukarabati barabara za vijijini zenye urefu wa kilometa 37.3 kwa kiwango cha changarawe.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-zX_90Q8EEHw/UxCOrHhgxAI/AAAAAAAFQSE/FDJmBi1IL2o/s72-c/unnamed+(45).jpg)
DR.MAGUFULI AKAGUA MRADI WA MABASI YAENDAYO KASI (BRT) JIJINI DAR ES SALAAM: BARABARA YA KIMARA HADI KIVUKONI KUKAMILIKA NDANI YA MIEZI SITA
11 years ago
Tanzania Daima31 Dec
Kituo cha Kivukoni kurejea — Sumatra
MAMLAKA ya Udhibiti wa Usafiri wa Majini na Nchi Kavu (Sumatra), imewataka wananchi kutosikiliza uvumi kuwa kituo cha daladala Kivukoni hakitarudishwa hadi utakapoanza utaratibu wa mabasi yaendayo kasi. Akizungumza na...