KIVUKO CHA MV KILOMBERO CHAKWAMA KWA SAA 6
![](http://api.ning.com:80/files/st-pA-4csCFTOeljWo89O8nd2*ijHsvIsZhOKa3WylmTOt*XJtiG732Nhg60V6DjB8wZZRblphxi05cxZmO9HASeagU3*7RR/13.gif)
Kivuko cha MV Kilombero kikiwa kazini. ABIRIA wengi wamekwama katika eneo la Mto Kilombero mkoani Morogoro baada ya kivuko cha MV Kilombero kukwama kwa takribani saa 6 sasa.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo08 Jan
Waziri Magufuli aagiza kivuko cha Kigongo-Busisi kufanya kazi saa 24
WAZIRI wa Ujenzi, Dk John Magufuli ameagiza uongozi kivuko cha Kigongo- Busisi mkoani hapa, kufanya kazi kwa saa 24 ili kumudu ongezeko kubwa la abiria watokao Geita, Kagera lililotokana na meli ya Mv Victoria kusitisha safari zake.
11 years ago
Tanzania Daima08 May
Kivuko chaua Kilombero
NAHODHA wa mtumbwi, Rajabu Lipindi maarufu kama Kidilu, mkazi wa Kijiji cha Lipagalala, amefariki dunia baada ya mtumbwi aliokuwamo kupinduka katika Mto Kilombero kutokana na upepo mkali. Kwa mujibu wa...
11 years ago
Tanzania Daima29 Apr
Kivuko Mto Kilombero chafungwa
KIVUKO cha Mto Kilombero, Morogoro juzi kilisombwa na maji na kumlazimu Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama wa wilaya hiyo na Ulanga, Francis Mitti, kupiga marufuku matumizi ya kivuko...
11 years ago
MichuziMAGUFULI AKAGUA UJENZI WA KIVUKO CHA MSANGAMKUU (MV. MTWARA), DARAJA LA KIGAMBONI PAMOJA NA UKARABATI WA KIVUKO CHA MV. KIGAMBONI
Awali, Dkt.Magufuli alianza kwa kukagua ujenzi wa kivuko kipya cha Msanga Mkuu maeneo ya Kurasini, kivuko hiki kinajengwa na mkandarasi mzalendo na kitakamilika ndani ya kipindi cha miezi miwili.
Aidha, Waziri wa Ujenzi amefanya ukaguzi wa ukarabati wa matengenezo makubwa ya kivuko cha MV.Kigamboni huko Kigamboni, ukarabati...
10 years ago
GPLGLOBAL YATOA MSAADA KWENYE KITUO CHA KULELEA WATOTO YATIMA CHAKWAMA
11 years ago
MichuziMATUKIO YA KUKATIKA KWA MAWASILIANO YA BARABARA YA KIVUKONI CHA KILOMBERO
10 years ago
Dewji Blog10 Sep
Kivuko cha MV Kigamboni kurejea kutoa huduma kwa wakazi wa Kigamboni
Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli akiongea na wajumbe mbalimbali waliofika katika uzinduzi wa kivuko cha Kigamboni jana jijini Dar es Salaam kinachofanyiwa matenganezo na Jeshi la Wanamaji maeneo ya Kurasini ,ambacho kinatarajiwa kuanza kutumika rasmi alhamisi wiki hii.
Mtendaji Mkuu Temesa Injinia Marceline Magesa akitoa neno la shukrani kwa Jeshi la Wanamaji waliwezesha matengenezo ya Mv Kigamboni jana jijini Dar es Salaam ambapo kinatarajiwa kuanza kutumiwa na wananchi wiki...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-llY5wG0_wro/U2wZ1fdnt6I/AAAAAAAFgYw/UDNMulECdqo/s72-c/unnamed+(9).jpg)
DC Hai atembelea kivuko cha mnepo cha Kiyungi, aahidi kukifanyia ukarabati
![](http://4.bp.blogspot.com/-llY5wG0_wro/U2wZ1fdnt6I/AAAAAAAFgYw/UDNMulECdqo/s1600/unnamed+(9).jpg)
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10