Kivuko Mto Kilombero chafungwa
KIVUKO cha Mto Kilombero, Morogoro juzi kilisombwa na maji na kumlazimu Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama wa wilaya hiyo na Ulanga, Francis Mitti, kupiga marufuku matumizi ya kivuko...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima08 May
Kivuko chaua Kilombero
NAHODHA wa mtumbwi, Rajabu Lipindi maarufu kama Kidilu, mkazi wa Kijiji cha Lipagalala, amefariki dunia baada ya mtumbwi aliokuwamo kupinduka katika Mto Kilombero kutokana na upepo mkali. Kwa mujibu wa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/st-pA-4csCFTOeljWo89O8nd2*ijHsvIsZhOKa3WylmTOt*XJtiG732Nhg60V6DjB8wZZRblphxi05cxZmO9HASeagU3*7RR/13.gif)
KIVUKO CHA MV KILOMBERO CHAKWAMA KWA SAA 6
9 years ago
Habarileo07 Sep
Magufuli aombwa kujenga tuta mto Kilombero
MGOMBEA ubunge wa Kilombero kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abubakari Asenga amemwomba mgombea urais wa chama hicho, Dk John Magufuli awajengee tuta pembeni ya mto Kilombero kuzuia mafuriko.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Y1a0jZiWzXs/VZr6dJgnHOI/AAAAAAAHnZ0/QxnZixGPUOM/s72-c/unnamed%2B%252849%2529.jpg)
UJENZI WA DARAJA LA MTO KILOMBERO WAENDELEA KWA KASI
![](http://2.bp.blogspot.com/-Y1a0jZiWzXs/VZr6dJgnHOI/AAAAAAAHnZ0/QxnZixGPUOM/s640/unnamed%2B%252849%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-mXsoyHjKjcQ/VZr6dN2Xu4I/AAAAAAAHnZ4/aELBnBSTLtU/s640/unnamed%2B%252854%2529.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PGAt7Wi4nOM/XvB9hXD-U6I/AAAAAAALu5g/FI-Pf67fc1EQhztpi-BvrUB14g2AONSQACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-22%2Bat%2B12.34.07%2BPM.jpeg)
SERIKALI YATATUA MGORORO ULIODUMU KWA MIAKA MINNE KATI YA WALIOKUWA WAFANYAKAZI WA UJENZI WA DARAJA LA MTO KILOMBERO PAMOJA NA MKANDARASI
Na Mwandishi Wetu
SERIKALI imetatua mgogoro wa wafanyakazi waliokuwa wanafanya kazi ya ujenzi katika daraja la Mto Kilombero kwenye kampuni ya kikandarasi ya China Railway 15 Group uliodumu kwa zaidi ya miaka minne na kuhakikisha haki inatendeka kwa kila mfanyakazi.
Mgogoro huo uliosimamiwa kikamilifu na Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Arch. Elius Mwakalinga, pamoja na wataalamu kutoka sekta hiyo kwa muda wa siku tatu.
Mwakalinga, ameagiza uongozi wa kampuni hiyo...
5 years ago
CCM Blog![](https://img.youtube.com/vi/bBE8eiH8od4/default.jpg)
GARI LATUMBUKIA MTO WAMI, DEREVA BADO YUPO CHINI YA MAJI. MTO UNA VIBOKO NA MAMBA (+ VIDEO)
![](https://millardayo.com/wp-content/uploads/2020/06/james-660x400.jpg)
11 years ago
MichuziMAGUFULI AKAGUA UJENZI WA KIVUKO CHA MSANGAMKUU (MV. MTWARA), DARAJA LA KIGAMBONI PAMOJA NA UKARABATI WA KIVUKO CHA MV. KIGAMBONI
Awali, Dkt.Magufuli alianza kwa kukagua ujenzi wa kivuko kipya cha Msanga Mkuu maeneo ya Kurasini, kivuko hiki kinajengwa na mkandarasi mzalendo na kitakamilika ndani ya kipindi cha miezi miwili.
Aidha, Waziri wa Ujenzi amefanya ukaguzi wa ukarabati wa matengenezo makubwa ya kivuko cha MV.Kigamboni huko Kigamboni, ukarabati...
10 years ago
BBCSwahili26 Sep
Chuo cha kidini chafungwa Kenya
10 years ago
Habarileo12 Nov
Chuo feki kilichotelekeza wanafunzi chafungwa rasmi
SAKATA la uwepo wa chuo bandia cha Kilimo na Mifugo cha Nice Dream kilichopo Ilemi jijini Mbeya, limechukua sura mpya baada ya serikali na ofisi ya Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE), kukifunga rasmi chuo hicho, huku wanafunzi wakiamriwa kurejea makwao ndani ya siku tatu.
Aidha, mmiliki wa chuo hicho anasakwa na jeshi la polisi kwa tuhuma za kuwatapeli fedha wanafunzi zaidi ya 46 kutoka mikoa mbalimbali nchini, ikiwamo Kagera (41), Mara (2), Mbeya (2) na mmoja kutoka Dar es...