Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kivuko chaua Kilombero

NAHODHA wa mtumbwi, Rajabu Lipindi maarufu kama Kidilu, mkazi wa Kijiji cha Lipagalala, amefariki dunia baada ya mtumbwi aliokuwamo kupinduka katika Mto Kilombero kutokana na upepo mkali. Kwa mujibu wa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Kivuko Mto Kilombero chafungwa

KIVUKO cha Mto Kilombero, Morogoro juzi kilisombwa na maji na kumlazimu Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama wa wilaya hiyo na Ulanga, Francis Mitti, kupiga marufuku matumizi ya kivuko...

 

10 years ago

GPL

KIVUKO CHA MV KILOMBERO CHAKWAMA KWA SAA 6

Kivuko cha MV Kilombero kikiwa kazini. ABIRIA wengi wamekwama katika eneo la Mto Kilombero mkoani Morogoro baada ya kivuko cha MV Kilombero kukwama kwa takribani saa 6 sasa.…

 

11 years ago

Michuzi

MAGUFULI AKAGUA UJENZI WA KIVUKO CHA MSANGAMKUU (MV. MTWARA), DARAJA LA KIGAMBONI PAMOJA NA UKARABATI WA KIVUKO CHA MV. KIGAMBONI

Waziri wa Ujenzi Dkt. John Pombe Magufuli leo amefanya ziara ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa Daraja la Kigamboni ambalo ujenzi wake utakamilka ifikapo Juni mwaka 2015.
Awali, Dkt.Magufuli alianza kwa kukagua ujenzi wa kivuko kipya cha Msanga Mkuu maeneo ya Kurasini, kivuko hiki kinajengwa na mkandarasi mzalendo na kitakamilika ndani ya kipindi cha miezi miwili.
Aidha, Waziri wa Ujenzi amefanya ukaguzi wa ukarabati wa matengenezo makubwa ya kivuko cha MV.Kigamboni huko Kigamboni, ukarabati...

 

9 years ago

Mwananchi

Kipindupindu chaua 17 Mwanza

Ugonjwa wa kipindupindu umeendelea kuleta maafa mkoani hapa, baada ya kusababisha vifo vya watu 17 na wengine 268 kulazwa katika vituo mbalimbali vya afya tangu Septemba, mwaka huu.

 

11 years ago

GPL

KIFUSI CHAUA 21 INDIA

Muonekano wa maporomoko India. Zaidi ya watu 200 wanahofiwa kukwama katika maporomoko ya udongo nchini India,huku 20 wakithibitishwa kufariki dunia katika kijiji cha Malin karibu na mji wa Pune lilikotokea janga hilo. Kazi ya uokoaji inaendelea katika eneo hilo huku hali ya hewa mbaya ikidaiwa kuchelewesha harakati hizo. Vikosi vya uokoaji vimeendelea na kazi ya kuwanusuru waliofukiwa na maporomoko ya udogo huo, japo...

 

9 years ago

Habarileo

Kipindupindu chaua 2 Dodoma

WAKAZI wawili wa wilaya ya Kongwa mkoani hapa, wamefariki dunia baada ya kuugua ugonjwa wa kipindupindu.

 

9 years ago

Mwananchi

Kipindupindu chaua 21 Mwanza

Watu 21 wamefariki dunia na wengine 670 kulazwa katika kambi mbalimbali kutokana na kuugua kipindupindu tangu kilichoibuka mkoani Mwanza Septemba.

 

10 years ago

Habarileo

‘Kipanya’ chaua watu 10

Watu kumi akiwemo mama na mwanawe wamekufa na wengine wanane kujeruhiwa baada ya gari aina ya Toyota Hiace waliyokuwa wanasafiria kugongana na lori katika mji mdogo wa Mbalizi, Wilaya ya Mbeya Vijijini.

 

9 years ago

BBCSwahili

Kimbunga chaua Ufilipino

Waokoaji Kaskazini mwa Ufilipino wanachimbua ardhini kwa lengo kutafuta mamia ya wachimba madini, baada ya kukumbwa na kimbunga.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani