Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kimbunga chaua Ufilipino

Waokoaji Kaskazini mwa Ufilipino wanachimbua ardhini kwa lengo kutafuta mamia ya wachimba madini, baada ya kukumbwa na kimbunga.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Kimbunga chaangusha miti Ufilipino

Kimbunga Hagupit kinaeleka eneo la kaskazini Magharibi mwa ufilipino kikiwa na upepo unaovuma kwa kasi ya kilomita 200 kwa saa.

 

9 years ago

BBCSwahili

Kimbunga Koppu, chaikumba Ufilipino

Kimbunga kikali kiitwacho, Koppu kimeikumba Ufilipino na kusababisha mvua kubwa,huku upepo ukienda kwa kasi ya kilomita 200 kwa saa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kimbunga Noul kupiga Ufilipino kaskazini

Wakazi wa kaskazini mwa Ufilipino wanajiandaa kuwasili kwa kimbunga ambacho kimesababisha kufutiliwa mbali kwa safari za ndege na usafiri wa baharini.

 

9 years ago

BBCSwahili

Kimbunga chaua watu 43 Marekani

Watu 43 wameuawa katika kipindi cha siku tano zilizopita kutokana na kimbunga maeneo ya kusini na magharibi mwa Marekani.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kimbunga Gonzalo chaua Uingereza

Mwanamke mmoja amefariki dunia baada ya kuangukiwa na mti kutokana na upepo mkali jijini London, Uingereza.

 

10 years ago

GPL

KIMBUNGA CHAUA 6 NCHINI INDIA

Upepo mkali ukivuma leo katika ufukwe wa Gopalpur huko Orissa, India. Taswira kutoka katika Hoteli ya Park iliyopo Visakhapatnam wakati kimbunga hicho kikipita. WATU sita wamepoteza maisha nchini India baada ya kimbunga kiitwacho Hudhud kupiga eneo la pwani ya India kikiwa na…

 

10 years ago

Mwananchi

Kimbunga chaua wawili, 30 wajeruhiwa kisiwani Goziba

Watu wawili wamefariki dunia baada ya kimbunga kupiga katika Kisiwa cha Goziba na kusababisha baadhi ya mitumbwi kupinduka katika Ziwa Victoria.

 

10 years ago

Mwananchi

Angel Locsin: Mrembo mkali zaidi nchini Ufilipino

Ucheshi na ukarimu ni sifa za msingi walizonazo watu wa Ufilipino. Lakini kingine cha ziada walichojaaliwa watu wa taifa hili, ni uwepo wa warembo wenye kuvutia.

 

9 years ago

Vijimambo

Rais Kikwete apokea Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi wa Ufilipino

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete (kushoto) akipokea Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi wa Ufilipino nchini Tanzania mwenye makazi nchini Kenya, Mhe. Bayani V. Mangibin. Hafla hiyo imefanyika Ikulu Dar es Salaam tarehe 28 Oktoba, 2015. Balozi Mangibin akizaini kitabu cha wageni mara baada ya kuwasili Ikulu Jijini Dar es Salaam Balozi Mangibin (kulia) akisalimiana na Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Liberatta...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani