Angel Locsin: Mrembo mkali zaidi nchini Ufilipino
Ucheshi na ukarimu ni sifa za msingi walizonazo watu wa Ufilipino. Lakini kingine cha ziada walichojaaliwa watu wa taifa hili, ni uwepo wa warembo wenye kuvutia.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili26 Feb
Katika harusi ya pamoja nchini Ufilipino wanadoa walazimika kuvaa barakoa
Katika harusi ya pamoja nchini Ufilipino wanadoa walazimika kuvaa barakoa kwa hofu ya ugonjwa wa Corona
10 years ago
BBCSwahili09 Jun
Ubaguzi wamuandama mrembo zaidi Japan
Malkia wa urembo nchini Japan akanwa na wajapan kwa sababu babake ana asili ya Kiafrika
11 years ago
BBCSwahili24 Apr
Lupita:Mwanamke mrembo zaidi 2014
Jarida maarufu la People nchini Marekani limemtangaza Mkenya Lupita Nyong’o kama mwanamke mrembo zaidi duniani mwaka 2014.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-a8qz4QEFzEA/Xl_1EMH_dVI/AAAAAAAAm8M/vZG3f_qDRpYC656g0UmXs5f5eoDpZolJACLcBGAsYHQ/s72-c/536a1735-1f59-4858-baca-5f62377def14.jpg)
NYUMBA ZAIDI YA 20 ZAEZULIWA NA UPEPO MKALI KIMARA GOLANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-a8qz4QEFzEA/Xl_1EMH_dVI/AAAAAAAAm8M/vZG3f_qDRpYC656g0UmXs5f5eoDpZolJACLcBGAsYHQ/s640/536a1735-1f59-4858-baca-5f62377def14.jpg)
UPEPO mkali na mvua iliyoambatana na radi imesababisha nyumba zaidi ya 20 kuezuliwa mapaa huku Kaya 50 zikikosa makazi.
Tukio hilo la aina yake limetokea leo katika eneo la Kimara Golani kwa 'Bibi Rosta' mwandishi wa habari hizi ameshuhudia nyumba 19 zikiwa zimezuliwa paa za nyumba huku nyumba moja ikiwa imebomoka ukuta.
Katika tukio hilo nyumba mmoja iliyobomoka imeweza kujeruji mtu mmoja aliyekuwa ndani.
Mashuhuda:
"Tunashukuru mvua wakati inanyesha nyumba nyingi...
10 years ago
Bongo505 Dec
Kristina Pimenova: Mtoto wa miaka 9 ndiye msichana mrembo zaidi duniani (picha)
Jarida la Women Daily lilimtaja Kristina Pimenova, mtoto mwenye miaka 9 kuwa msichana mrembo zaidi duniani. Kristina, kutoka Urusi alianza masuala ya modelling akiwa na miaka minne na tayari ameshafanya kazi na wabinifu wakubwa wa mavazi wakiwemo Roberto Cavalli na Benetton. Tayari ameshaokava pia jarida la Vogue Bambini. Tazama picha zake zaidi.
10 years ago
Bongo523 Dec
Picha: Yupi mrembo zaidi? Model kwenye video ya ‘Pacha Wangu’ au yule wa ‘Ntampata Wapi’
Diamond Platnumz na Rich Mavoko ni miongoni mwa wasanii waliotoa video kali mwaka huu. Pamoja na Mdogo Mdogo na Bum Bum, Ntampata Wapi imekuwa video iliyopokelewa vizuri zaidi mwaka huu. Naye Rich Mavoko amefanikiwa kuwa na video kali zaidi katika career yake, Pacha Wangu. Zote Ntampata Wapi na Pacha Wangu zimetumia mamodel warembo wa Afrika […]
9 years ago
Bongo503 Oct
Picha: Mtoto wa Lamar (Nisha) na mtoto wa Gelly wa Rhymes (Queen) nani mrembo zaidi?
Producer wa Fishcrab, Lamar na muimbaji Gelly wa Rhymes, ni miongoni mwa mastaa wenye watoto. Bahati nzuri wawili hao wana watoto wa kike warembo kweli kweli. Na sasa tunakuuliza, nani mrembo zaidi? Nisha wa Lamar au Queen wa Gelly? Queen Nisha Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata […]
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania