NYUMBA ZAIDI YA 20 ZAEZULIWA NA UPEPO MKALI KIMARA GOLANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-a8qz4QEFzEA/Xl_1EMH_dVI/AAAAAAAAm8M/vZG3f_qDRpYC656g0UmXs5f5eoDpZolJACLcBGAsYHQ/s72-c/536a1735-1f59-4858-baca-5f62377def14.jpg)
NA ANDREW CHALE, DAR
UPEPO mkali na mvua iliyoambatana na radi imesababisha nyumba zaidi ya 20 kuezuliwa mapaa huku Kaya 50 zikikosa makazi.
Tukio hilo la aina yake limetokea leo katika eneo la Kimara Golani kwa 'Bibi Rosta' mwandishi wa habari hizi ameshuhudia nyumba 19 zikiwa zimezuliwa paa za nyumba huku nyumba moja ikiwa imebomoka ukuta.
Katika tukio hilo nyumba mmoja iliyobomoka imeweza kujeruji mtu mmoja aliyekuwa ndani.
Mashuhuda:
"Tunashukuru mvua wakati inanyesha nyumba nyingi...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-NhPKvIMyVkw/VTkV6w22l2I/AAAAAAABsnY/r5EA_pF4mNg/s72-c/4593.jpg)
UPEPO MKALI WAATHIRI NYUMBA KISIWA PANZA PEMBA
![](http://2.bp.blogspot.com/-NhPKvIMyVkw/VTkV6w22l2I/AAAAAAABsnY/r5EA_pF4mNg/s1600/4593.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ibYMQjLuoFE/VTkV-wn5YAI/AAAAAAABsng/cg1AsyopTYs/s1600/4598.jpg)
9 years ago
Bongo Movies16 Dec
Wolper asaidia wananchi wa Golani Kimara
Wolper asaidia wananchi wa Golani Kimara
“Kuanzia mwaka juzi nimekua na desturi ya kushirikiana na watu siku yangu muhimu ya kuzaliwa
Mwaka juzi nilipata nafasi ya kukaa na watoto yatima na mwaka jana kituo cha wazee
Mwaka huu nimeamua kugusa maisha ya watu wengi zaidi
Kwahivyo kwa kutafakari jinsi gani tatizo la maji ni kubwa, nimeamua kutumia kidogo nilichonacho kujenga kisima chenye uwezo wa kuhudumia watu 3500 katika shule ya msingi eneo la Golani Kimara.
Wananchi wa huku wamekua...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-m9JxFm4Dsrs/UyW45-41A8I/AAAAAAAFT-I/4_JUlxZ03TE/s72-c/unnamed+(32).jpg)
Upepo Mkali waathiri nyumba Kwaalamsha, Makadara na Mkele, Wilaya ya Mjini, Zanzibar
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-UgMzM3FKlUw/VZVxEoPkJII/AAAAAAABz3c/3STdcvAdgBM/s72-c/918.jpg)
BALOZI SEIF ATEMBELEA KIJIJI CHA FUKUCHANI KUANGALIA MAAFA YALIYOWAKUMBA WANANCHI BAADA YA NYUMBA ZAO KUEZULIWA NA UPEPO MKALI
![](http://1.bp.blogspot.com/-UgMzM3FKlUw/VZVxEoPkJII/AAAAAAABz3c/3STdcvAdgBM/s640/918.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-KdABzFif3sI/VZVxJeOQxOI/AAAAAAABz4I/paElKTZBeW4/s640/941.jpg)
10 years ago
GPL10 years ago
Habarileo01 Sep
TMA yahadharisha ujio wa upepo mkali
MAMLAKA ya Hali ya Hewa (TMA) imesema kutakuwa na upepo mkali unaoambatana na mawimbi makubwa katika maeneo yote ya ukanda wa Pwani kwa siku mbili kuanzia kesho.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/iRGkQSu08culx3Y8uHgmI7sMVyYke5wRuQjf2jryXkjfaFUSGC8LTGkdAVvt0QWFWAeoJjMXtpJjLSdAJC*aNkg4K*mnLtoZ/1.jpg?width=650)
UPEPO MKALI ENEO LA POSTA DAR
11 years ago
Tanzania Daima12 Apr
TMA: Mvua kubwa, upepo mkali waja
MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa tahadhari ya kuwepo kwa mvua kubwa, upepo mkali na mawimbi makubwa katika Bahari ya Hindi. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa kwa vyombo...