UPEPO MKALI WAATHIRI NYUMBA KISIWA PANZA PEMBA
![](http://2.bp.blogspot.com/-NhPKvIMyVkw/VTkV6w22l2I/AAAAAAABsnY/r5EA_pF4mNg/s72-c/4593.jpg)
Viongozi wa Serikali ya Mkoa wa kusini Pemba wakiongozwa na mkuu wa mkoa huo Mhe:Mwanajuma Majid Abdalla na Mkuu wa Wilaya ya Mkaoni Mhe:Hemed Suleiman Abdalla, wakizungumza na mbunge wa jimbo la Mkanyageni Habibu Mnyaa wakati walipokuwa wakivuka kuelekea kisiwa Panza kwa lengo la kuwafariji wananchi waliopatwa na maafa ya nyumba zao kuezuliwa na upepe.
Miongoni mwa nyumba zilizokumbwa na maafa kufuatia upepo mkali uliovuma usiku wa kuamia Aprili 22 mwaka huu, huko katika kisiwa Panza Wilaya...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-m9JxFm4Dsrs/UyW45-41A8I/AAAAAAAFT-I/4_JUlxZ03TE/s72-c/unnamed+(32).jpg)
Upepo Mkali waathiri nyumba Kwaalamsha, Makadara na Mkele, Wilaya ya Mjini, Zanzibar
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-JmilZPSMaJc/VTqOJYMcDYI/AAAAAAAABO0/6BpnqO-vIGs/s72-c/Kimbunga.jpg)
FUNDRAISING YA WAHANGA WA KIMBUNGA YA KISIWA PANZA HUKO PEMBA
![](http://3.bp.blogspot.com/-JmilZPSMaJc/VTqOJYMcDYI/AAAAAAAABO0/6BpnqO-vIGs/s1600/Kimbunga.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-3qE177_qalA/VTqOJ3GkTtI/AAAAAAAABO4/OqO7oeGFxkc/s1600/Kimbunga1.jpg)
Anuani ya...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-ibYMQjLuoFE/VTkV-wn5YAI/AAAAAAABsng/cg1AsyopTYs/s72-c/4598.jpg)
FUND RAISING YA WAHANGA WA KIMBUNGA YA KISIWA PANZA HUKO PEMBA
![](http://3.bp.blogspot.com/-ibYMQjLuoFE/VTkV-wn5YAI/AAAAAAABsng/cg1AsyopTYs/s1600/4598.jpg)
Ahsante Mwenyekiti ZADIA Sheikh Omar/ Mkiti ZADIA 215 459 4449Unaweza kuchangia Online kwa kupitia link hizi hapahttp://www.gofundme.com/sv2k48OR PAY...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-OtjnUny52Vs/U6XOMnGMc4I/AAAAAAAFsLU/XM3MJDhSk5g/s72-c/748.jpg)
Balozi Seif Ali Iddi atembelea Kisiwa cha panza, Mkoa wa Kusini Pemba.
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-v2I0MdBSy2c/Vf7an9_y0lI/AAAAAAAH6WI/BFzZCwDgi44/s72-c/unnamed%2B%252852%2529.jpg)
Dkt. Shein azindua Mradi wa Umeme kijiji cha Kisiwa Panza Wilaya ya Mkoani, Mkoa wa Kusini Pemba
![](http://4.bp.blogspot.com/-v2I0MdBSy2c/Vf7an9_y0lI/AAAAAAAH6WI/BFzZCwDgi44/s640/unnamed%2B%252852%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-BHUBUyXIoJs/Vf7an9JH7bI/AAAAAAAH6WM/njFM7l8wuNI/s640/unnamed%2B%252853%2529.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-a8qz4QEFzEA/Xl_1EMH_dVI/AAAAAAAAm8M/vZG3f_qDRpYC656g0UmXs5f5eoDpZolJACLcBGAsYHQ/s72-c/536a1735-1f59-4858-baca-5f62377def14.jpg)
NYUMBA ZAIDI YA 20 ZAEZULIWA NA UPEPO MKALI KIMARA GOLANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-a8qz4QEFzEA/Xl_1EMH_dVI/AAAAAAAAm8M/vZG3f_qDRpYC656g0UmXs5f5eoDpZolJACLcBGAsYHQ/s640/536a1735-1f59-4858-baca-5f62377def14.jpg)
UPEPO mkali na mvua iliyoambatana na radi imesababisha nyumba zaidi ya 20 kuezuliwa mapaa huku Kaya 50 zikikosa makazi.
Tukio hilo la aina yake limetokea leo katika eneo la Kimara Golani kwa 'Bibi Rosta' mwandishi wa habari hizi ameshuhudia nyumba 19 zikiwa zimezuliwa paa za nyumba huku nyumba moja ikiwa imebomoka ukuta.
Katika tukio hilo nyumba mmoja iliyobomoka imeweza kujeruji mtu mmoja aliyekuwa ndani.
Mashuhuda:
"Tunashukuru mvua wakati inanyesha nyumba nyingi...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-UgMzM3FKlUw/VZVxEoPkJII/AAAAAAABz3c/3STdcvAdgBM/s72-c/918.jpg)
BALOZI SEIF ATEMBELEA KIJIJI CHA FUKUCHANI KUANGALIA MAAFA YALIYOWAKUMBA WANANCHI BAADA YA NYUMBA ZAO KUEZULIWA NA UPEPO MKALI
![](http://1.bp.blogspot.com/-UgMzM3FKlUw/VZVxEoPkJII/AAAAAAABz3c/3STdcvAdgBM/s640/918.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-KdABzFif3sI/VZVxJeOQxOI/AAAAAAABz4I/paElKTZBeW4/s640/941.jpg)
10 years ago
Habarileo06 Nov
‘Kisiwa cha Pemba si sehemu ya Kenya’
SERIKALI imekanusha madai yanayosambazwa na vyombo vya habari vya Kenya kwamba Kisiwa cha Pemba ni sehemu ya Kenya.
10 years ago
Habarileo01 Sep
TMA yahadharisha ujio wa upepo mkali
MAMLAKA ya Hali ya Hewa (TMA) imesema kutakuwa na upepo mkali unaoambatana na mawimbi makubwa katika maeneo yote ya ukanda wa Pwani kwa siku mbili kuanzia kesho.