Upepo Mkali waathiri nyumba Kwaalamsha, Makadara na Mkele, Wilaya ya Mjini, Zanzibar
![](http://1.bp.blogspot.com/-m9JxFm4Dsrs/UyW45-41A8I/AAAAAAAFT-I/4_JUlxZ03TE/s72-c/unnamed+(32).jpg)
Na Othman Khamis Ame wa OMPR Jamii Nchini imetahadharishwa kuwa makini katika kipindi hichi kilichoanza cha msimu wa mvua za masika ambacho kimezoeleka kuwa na matukio mbali mbali ya maafa yanayoleta athari kwa wananachi. Tahadhari hiyo imetolewa na Mwenyekiti wa Kamati ya Taifa ya Maafa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi wakati akiwafariji wananchi waliokumbwa na maafa kufuatia Upepo Mkali ulioambatana na mvua jana jioni katika maeneo ya Kwaalamsha, Makadara na Mkele ndani ya Wilaya ya Mjini....
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-NhPKvIMyVkw/VTkV6w22l2I/AAAAAAABsnY/r5EA_pF4mNg/s72-c/4593.jpg)
UPEPO MKALI WAATHIRI NYUMBA KISIWA PANZA PEMBA
![](http://2.bp.blogspot.com/-NhPKvIMyVkw/VTkV6w22l2I/AAAAAAABsnY/r5EA_pF4mNg/s1600/4593.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ibYMQjLuoFE/VTkV-wn5YAI/AAAAAAABsng/cg1AsyopTYs/s1600/4598.jpg)
11 years ago
Habarileo29 Mar
Upepo waezua nyumba 30 Makadara, Bububu
UPEPO mkali ulioambatana na ngurumo na mvua, umesababisha nyumba za wananchi kadhaa kuezuliwa mabati na miti kuanguka.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-a8qz4QEFzEA/Xl_1EMH_dVI/AAAAAAAAm8M/vZG3f_qDRpYC656g0UmXs5f5eoDpZolJACLcBGAsYHQ/s72-c/536a1735-1f59-4858-baca-5f62377def14.jpg)
NYUMBA ZAIDI YA 20 ZAEZULIWA NA UPEPO MKALI KIMARA GOLANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-a8qz4QEFzEA/Xl_1EMH_dVI/AAAAAAAAm8M/vZG3f_qDRpYC656g0UmXs5f5eoDpZolJACLcBGAsYHQ/s640/536a1735-1f59-4858-baca-5f62377def14.jpg)
UPEPO mkali na mvua iliyoambatana na radi imesababisha nyumba zaidi ya 20 kuezuliwa mapaa huku Kaya 50 zikikosa makazi.
Tukio hilo la aina yake limetokea leo katika eneo la Kimara Golani kwa 'Bibi Rosta' mwandishi wa habari hizi ameshuhudia nyumba 19 zikiwa zimezuliwa paa za nyumba huku nyumba moja ikiwa imebomoka ukuta.
Katika tukio hilo nyumba mmoja iliyobomoka imeweza kujeruji mtu mmoja aliyekuwa ndani.
Mashuhuda:
"Tunashukuru mvua wakati inanyesha nyumba nyingi...
10 years ago
Michuzi18 Dec
MKUU WA WILAYA YA MAKETE AONGOZA KAMATI YA ULINZI NA USALAMA KUKAGUA ENEO LILILOKUMBWA NA MADHARA YA UPEPO MKALI
Ametoa agizo hilo hivi karibuni wakati alipotembelea eneo lililopata maafa ya kuezuliwa nyumba na upepo mkali ulioambatana na mvua na kugundua kuwa ujenzi hafifu wa nyumba zao nao umechangia kwa kiasi kikubwa hasara hiyo
"Wananchi wanajenga nyumba...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-UgMzM3FKlUw/VZVxEoPkJII/AAAAAAABz3c/3STdcvAdgBM/s72-c/918.jpg)
BALOZI SEIF ATEMBELEA KIJIJI CHA FUKUCHANI KUANGALIA MAAFA YALIYOWAKUMBA WANANCHI BAADA YA NYUMBA ZAO KUEZULIWA NA UPEPO MKALI
![](http://1.bp.blogspot.com/-UgMzM3FKlUw/VZVxEoPkJII/AAAAAAABz3c/3STdcvAdgBM/s640/918.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-KdABzFif3sI/VZVxJeOQxOI/AAAAAAABz4I/paElKTZBeW4/s640/941.jpg)
9 years ago
Dewji Blog11 Dec
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif asimamisha ujenzi wa nyumba ya ghorofa mjini Unguja, Zanzibar
![](http://2.bp.blogspot.com/-0nuV9SbdKiE/VmlorIz03FI/AAAAAAABqQ0/DFgD6fOieeA/s640/IMG_9802.jpg)
Balozi Seif akipokea malalamiko ya Wakaazi wa Mtaa wa Mlandege wakimshutumu Mmiliki wa Kiwanja cha jengo la Ghorofa Bwana Anuari Abdulla anayejenga pamoja na eneo la wazi.
![](http://3.bp.blogspot.com/-Z0emXn-nKP8/VmloqRi39GI/AAAAAAABqQs/DyEiHs_q1pc/s640/IMG_9805.jpg)
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif akiwasili mtaa wa Mlandege kukagua kiwanja cha nyumba ya Ghorofa kinacholalamikiwa na Wakaazi wa Mtaa huo kwamba kimevamia pia eneo la wazi linalotumika kwa shughuli za Kijamii.
![](http://3.bp.blogspot.com/-0oT66RidQow/VmlorIgM87I/AAAAAAABqQw/TcMtR1tGsmc/s640/IMG_9808.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ey1aJLw5_tk/VmlovowkR_I/AAAAAAABqRE/vcjf3f24OLg/s640/IMG_9812.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-arNSaVzHaek/Vmlo1OkrwsI/AAAAAAABqRU/tNe2AoFEegc/s640/IMG_9818.jpg)
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif akiwasili mtaa wa Mlandege kukagua kiwanja...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Urm9DTB2_8s/VGnQFT39NKI/AAAAAAAGxxE/9kgfQ7MVJWk/s72-c/unnamed%2B(51).jpg)
Dkt. Shein afungua Mkutano wa Mabalozi wa Nyumba kumi Wilaya ya Mjini Unguja
![](http://4.bp.blogspot.com/-Urm9DTB2_8s/VGnQFT39NKI/AAAAAAAGxxE/9kgfQ7MVJWk/s1600/unnamed%2B(51).jpg)
10 years ago
GPL10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/iRGkQSu08culx3Y8uHgmI7sMVyYke5wRuQjf2jryXkjfaFUSGC8LTGkdAVvt0QWFWAeoJjMXtpJjLSdAJC*aNkg4K*mnLtoZ/1.jpg?width=650)
UPEPO MKALI ENEO LA POSTA DAR