Upepo waezua nyumba 30 Makadara, Bububu
UPEPO mkali ulioambatana na ngurumo na mvua, umesababisha nyumba za wananchi kadhaa kuezuliwa mabati na miti kuanguka.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima14 Jan
Upepo waezua nyumba 45
ZAIDI ya kaya 45 zimekosa makazi baada ya nyumba zao kuezuliwa mapaa na upepo mkali ulioambatana na mvua ya mawe, hali iliyosababisha wakose mahali pa kuishi. Majanga hayo yalitokea mwishoni...
11 years ago
MichuziUpepo Mkali waathiri nyumba Kwaalamsha, Makadara na Mkele, Wilaya ya Mjini, Zanzibar
11 years ago
Habarileo23 Dec
Walioharibiwa nyumba na upepo wapewa msaada
IDARA ya Huduma za Maendeleo ya Jamii na Maafa ya Kanisa Katoliki (CARITAS) Jimbo la Sumbawanga mkoani Rukwa imetoa msaada kwa wakazi wa kijiji cha Kakese ambao nyumba zao ziliharibiwa vibaya na upepo mkali na kusababisha zaidi ya familia 30 kukosa makazi hivi karibuni.
10 years ago
VijimamboUPEPO MKALI WAATHIRI NYUMBA KISIWA PANZA PEMBA
5 years ago
CCM BlogNYUMBA ZAIDI YA 20 ZAEZULIWA NA UPEPO MKALI KIMARA GOLANI
UPEPO mkali na mvua iliyoambatana na radi imesababisha nyumba zaidi ya 20 kuezuliwa mapaa huku Kaya 50 zikikosa makazi.
Tukio hilo la aina yake limetokea leo katika eneo la Kimara Golani kwa 'Bibi Rosta' mwandishi wa habari hizi ameshuhudia nyumba 19 zikiwa zimezuliwa paa za nyumba huku nyumba moja ikiwa imebomoka ukuta.
Katika tukio hilo nyumba mmoja iliyobomoka imeweza kujeruji mtu mmoja aliyekuwa ndani.
Mashuhuda:
"Tunashukuru mvua wakati inanyesha nyumba nyingi...
11 years ago
MichuziFamilia yaishi chooni ni baada ya nyumba yao kuezuliwa na upepo wilayani Hai, Kilimanjaro
Nyumba ambayo familia ya Aziza Maohamed ilikuwa ikiishi awali kabla ya kuezuliwa na upepo mkali ulioambatana na mvua katika kitongoji cha Kijweni...
9 years ago
MichuziOFISI YA WAZIRI MKUU YAKAGUA UJENZI WA NYUMBA ZA WAATHIRIKA WA MAAFA YA MVUA YA MAWE NA UPEPO MWAKATA
10 years ago
Dewji Blog18 Feb
Makamu wa Rais Dkt. Bilal awajulia hali wananchi walioangukiwa na nyumba zao kwa upepo na mvua kubwa Msoga
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiongozana na Mbunge wa Chalinze, Ridhiwani Kikwete (wa pili kulia), Waziri wa Ujenzi, Dkt. John Magufuli na baadhi ya Viongozi, wakati alipowasili Kitongoji cha Mnazi Mmoja, Msoga jana kwa ajili ya kuwafariji wananchi waliokubwa na maafa kwa kuangukiwa na nyumba zao kutokana na Mvua kubwa iliyoambatana na upepo mkali iliyonyesha juzi. Katika tukio hilo jumla ya watu 12 walijeruhiwa na jumla ya nyumba 128...
10 years ago
VijimamboBALOZI SEIF ATEMBELEA KIJIJI CHA FUKUCHANI KUANGALIA MAAFA YALIYOWAKUMBA WANANCHI BAADA YA NYUMBA ZAO KUEZULIWA NA UPEPO MKALI