OFISI YA WAZIRI MKUU YAKAGUA UJENZI WA NYUMBA ZA WAATHIRIKA WA MAAFA YA MVUA YA MAWE NA UPEPO MWAKATA
![](http://2.bp.blogspot.com/-OW2MOxjTk2I/VePLe-FUY4I/AAAAAAAH1Hs/zYMpXyZGFz4/s72-c/unnamed%2B%25288%2529.jpg)
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Dkt. Florens Turuka (mwenye miwani) akimsikiliza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Msalala, Patrick Karangwa wakati alipokagua ujenzi wa nyumba za waathirika wa maafa Kijijini Mwakata, Kahama, tarehe 30 Agosti, 2015.
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Dkt. Florens Turuka akimsikiliza mwenyekiti Kijiji cha Mwakata wilayani Kahama, Ezekieli Ramadhani akitafsiri kwa Kiswahili shukrani zizokuwa zikitolewa kwa kisukuma na Bi. Rugumba Msenga kwa serikali...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-AVJizIDbgq4/VXAETTMxFLI/AAAAAAAHb3k/At7oKeWt7jY/s72-c/unnamed%2B%252871%2529.jpg)
OFISI YA WAZIRI MKUU YAKAGUA GHALA LA KUHIFADHI VIFAA VYA MAAFA MKOANI SHINYANGA
![](http://1.bp.blogspot.com/-AVJizIDbgq4/VXAETTMxFLI/AAAAAAAHb3k/At7oKeWt7jY/s640/unnamed%2B%252871%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-KG-p7QbJM8w/VXAETYJEpRI/AAAAAAAHb3g/q88GtlOOAgU/s640/unnamed%2B%252872%2529.jpg)
10 years ago
MichuziOFISI YA WAZIRI MKUU IDARA YA MAAFA --YATOA MAFUNZO YA MENEJIMENTI YA MAAFA
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
10 years ago
VijimamboACCESS BANK WATOA MISAADA KWA WAJASILIAMALI WAO WA MVUA YA MAWE MWAKATA
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/NILch8FjIRE/default.jpg)
Wakazi wa mkoa wa Iringa wagundua dawa ya kuzuia mvua za mawe pamoja na mvua za upepo mkali
Waumi ni wa pentekoste mkoani Singida wamefanya ibada maalumu ya kumuombea Rais Magufuli ili aendelee kutumbua majipu: https://youtu.be/1dRmKUcqGHg
Waumini wa dini ya kiislamu wajitoa kusaidia wasiojiweza katika kuadhimisha sikukuu ya kuzaliwa Mtume Muhammad (S.A.W) https://youtu.be/-sI1j96PQ4E
Viongozi wa kamati ya Shehia visiwani Unguja...
11 years ago
MichuziOFISI YA RAIS, TUME YA MIPANGO YAKAGUA MRADI WA MAKAA YA MAWE NGAKA
10 years ago
MichuziNAIBU KATIBU MKUU OFISI YA WAZIRI MKUU AKAGUA MRADI WA KUPUNGUZA ATHARI ZA MAAFA YA UKAME WILAYANI KISHAPU
11 years ago
Habarileo22 Feb
Milioni 100/- zahitajika Lindi kwa waathirika wa mvua, upepo
JUMLA ya Sh milioni 100 zinahitajika kufanya ukarabati wa shule za msingi, sekondari na zahanati wilayani Kilwa mkoani Lindi zilizoezuliwa bati na majengo kuharibiwa kutokana na mvua kali zilizoambatana na upepo mwezi huu.
10 years ago
Michuzi20 Mar
Benki ya Posta yawapa msaada waathirika wa mvua ya mawe Kahama
![Meneja wa Benki ya Posta Tawi la Shinyanga Lawrence Munisi (kulia) akimkabidhi Mkuu wa Wilaya ya Kahama na Mwenyekiti wa Kamati ya Maafa Benson Mpesya (kushoto) msaada wa tani saba na nusu za saruji kwa waathirika wa mafuriko yaliyotokana na mvua yam awe yaliyotokea kijiji cha Mwakata Wilaya ya Kahama.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/03/Maafa-1.png)
![Mkuu wa Wilaya ya Kahama na Mwenyekiti wa Kamati ya Maafa Benson Mpesya (kulia) akitoa shukrani kwa Benki ya Posta mara baada ya kupokea msaada wa tani saba na nusu za mifuko ya saruji zilizotolewa na benki hiyo.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/03/Maafa-2.png)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-hIBB5Bp5Jk8/VQMR6FEz24I/AAAAAAAHKI4/bEpNleVA9q8/s72-c/k1.jpg)
RAIS KIKWETE AWAPA POLE WAFIWA NA WAATHIRIKA WA MVUA YA MAWE KAHAMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-hIBB5Bp5Jk8/VQMR6FEz24I/AAAAAAAHKI4/bEpNleVA9q8/s1600/k1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-HgSy7DNV8_M/VQMR6fNugWI/AAAAAAAHKJA/aBEVzmoYwD8/s1600/k2.jpg)