OFISI YA RAIS, TUME YA MIPANGO YAKAGUA MRADI WA MAKAA YA MAWE NGAKA
Viongozi na maofisa kutoka Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango na wale wa NDC wakipata maelezo kuhusu mradi wa makaa ya mawe Ngaka kutoka kwa Mtaalam wa Kudhibiti Ubora (Quality Control Superintendent) Bw. Boscow R. Mabena.
Timu kutoka Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango na NDC wakipata maelezo kutoka kwa Meneja wa Kikundi cha Wanawake cha Mbalawala, Bi. Joyce Haule juu ya matumizi ya makaa ya mawe majumbani. Makaa hayo hutumika majumbani kwa kutumia majiko maalum baada ya kubadilishwa kitaalam na kuwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Acmn5sLVKac/U7BMAGXGh9I/AAAAAAAFtdY/1tfHM-NquB4/s72-c/unnamed+(16).jpg)
VIONGOZI NA WATAALAM WA OFISI YA RAIS, TUME YA MIPANGO WAKAGUA MAENDELEO MRADI WA MAKAA YA MAWE MCHUCHUMA
![](http://3.bp.blogspot.com/-Acmn5sLVKac/U7BMAGXGh9I/AAAAAAAFtdY/1tfHM-NquB4/s1600/unnamed+(16).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-GqocaiTUQCA/U7G-HX1EGrI/AAAAAAAFt1I/55BTYP8B4cY/s72-c/unnamed+(7).jpg)
OFISI YA RAIS, TUME YA MIPANGO YAKAGUA MAENDELEO YA MRADI WA CHUMA LIGANGA MKOANI NJOMBE
![](http://4.bp.blogspot.com/-GqocaiTUQCA/U7G-HX1EGrI/AAAAAAAFt1I/55BTYP8B4cY/s1600/unnamed+(7).jpg)
10 years ago
VijimamboOFISI YA RAIS, TUME YA MIPANGO YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO
9 years ago
Press20 Dec
TUME YA MIPANGO OFISI YA RAIS YAKAGUA MIRADI YA VITUO VYA KUZALISHA UMEME VYA KIDATU NA KIHANSI
Bibi. Florence Mwanri, Kaimu Katibu Mtendaji, Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango (aliyevaa nguo nyeusi) akiangalia na kupata maelezo kutoka kwa Injinia wa kituo Bw. Rajabu Kindunda (wa tatu kulia) kuhusu Bwawa la Kidatu ambalo maji hukusanywa kutoka mto Rufiji kabla ya kutumika kwa ajili ya kuzalisha umeme. Wengine pamoja nae ni wataalamu kutoka Tume ya Mipango na TANESCO.
Bibi. Florence Mwanri, Kaimu Katibu Mtendaji, Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango (aliyevaa nguo nyeusi) akiangalia eneo la...
9 years ago
Michuzi20 Dec
OFISI YA RAIS, TUME YA MIPANGO YAKAGUA MIRADI YA VITUO VYA KUZALISHA UMEME VYA KIDATU NA KIHANSI
![SONY DSC](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/kid3.jpg)
![SONY DSC](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/kid4.jpg)
10 years ago
VijimamboWAZIRI NAGU ATEMBELEA OFISI YA RAIS, TUME YA MIPANGO
Waziri wa nchi (Ofisi ya Rais) Mahusiano na Uratibu, Mhe. Dkt. Mary Nagu amefanya ziara ya kujitambulisha kwa Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango ambayo ni moja taasisi anazoziratibu.
Akizungumza wakati wa ziara hiyo Dkt. Nagu alitoa wito kwa Tume ya Mipango ijielekeze katika kujibu changamoto kuu za kiuchumi zinazowakabili watanzania kwa sasa ikiwemo umaskini miongoni kwa Watanzania walioko vijijini, ukosefu wa wa viwanda vya kuongeza thamani mazao hasa kipindi hiki Tanzania...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-Y2mlQc0byE4/VXqRWXGijCI/AAAAAAAA_r4/JKP9Ezg80W0/s72-c/Bi.jpg)
(UNFPA) TANZANIA NA OFISI YA RAIS, TUME YA MIPANGO WAENDESHA WARSHA
![](http://2.bp.blogspot.com/-Y2mlQc0byE4/VXqRWXGijCI/AAAAAAAA_r4/JKP9Ezg80W0/s640/Bi.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-sAYwBmRuMZI/VXqRVVFHLcI/AAAAAAAA_rc/LCLW9mv6Uv4/s640/B2.jpg)
Shirika la Umoja wa...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-rB_EVCdkc9I/UwYg3Rc9TRI/AAAAAAAFOWg/X9tqv2UNy3Q/s72-c/DSC03973.jpg)
KAIMU MWAKILISHI MKAZI WA UNFPA ATEMBELEA OFISI YA RAIS, TUME YA MIPANGO
Hata hivyo, Bibi Khan alisema kuwa licha ya kuwa ongezeko la idadi ya watu linaathari mbalimbali kama lisipothibiwa, Tanzania inaweza kutuma fursa hiyo kwa kuwekeza kwa vijana kama...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-bMr-5ifq6QY/Uvi6LeCaypI/AAAAAAAFMIA/uBgkIbiiTDQ/s72-c/unnamed+(73).jpg)
BALOZI WA TANZANIA NCHINI MALAYSIA ATEMBELEA OFISI YA RAIS, TUME YA MIPANGO
Pamoja na mambo mengine waliozungumza, viongozi hao waliongelea diplomasia ya uchumi, maendeleo ya uchumi wa Tanzania na Malaysia kwa ujumla.
Dkt. Mlima aliteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, mwanzoni mwa mwezi Desemba mwaka jana kuwa Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kuala...