BALOZI WA TANZANIA NCHINI MALAYSIA ATEMBELEA OFISI YA RAIS, TUME YA MIPANGO
![](http://3.bp.blogspot.com/-bMr-5ifq6QY/Uvi6LeCaypI/AAAAAAAFMIA/uBgkIbiiTDQ/s72-c/unnamed+(73).jpg)
Balozi wa mpya wa Tanzania nchini Malaysia, Dkt. Aziz Ponary Mlima leo asubuhi ametembelea Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango na kukutana na viongozi wa Ofisi hiyo.
Pamoja na mambo mengine waliozungumza, viongozi hao waliongelea diplomasia ya uchumi, maendeleo ya uchumi wa Tanzania na Malaysia kwa ujumla.
Dkt. Mlima aliteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, mwanzoni mwa mwezi Desemba mwaka jana kuwa Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kuala...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboWAZIRI NAGU ATEMBELEA OFISI YA RAIS, TUME YA MIPANGO
Waziri wa nchi (Ofisi ya Rais) Mahusiano na Uratibu, Mhe. Dkt. Mary Nagu amefanya ziara ya kujitambulisha kwa Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango ambayo ni moja taasisi anazoziratibu.
Akizungumza wakati wa ziara hiyo Dkt. Nagu alitoa wito kwa Tume ya Mipango ijielekeze katika kujibu changamoto kuu za kiuchumi zinazowakabili watanzania kwa sasa ikiwemo umaskini miongoni kwa Watanzania walioko vijijini, ukosefu wa wa viwanda vya kuongeza thamani mazao hasa kipindi hiki Tanzania...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-rB_EVCdkc9I/UwYg3Rc9TRI/AAAAAAAFOWg/X9tqv2UNy3Q/s72-c/DSC03973.jpg)
KAIMU MWAKILISHI MKAZI WA UNFPA ATEMBELEA OFISI YA RAIS, TUME YA MIPANGO
Hata hivyo, Bibi Khan alisema kuwa licha ya kuwa ongezeko la idadi ya watu linaathari mbalimbali kama lisipothibiwa, Tanzania inaweza kutuma fursa hiyo kwa kuwekeza kwa vijana kama...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bTQ94SQ5wOJIGJLl3rwaGsMPE0i2PNLxc1a2BalBvcfFrP72f1giOlfPs5ulXzG1qvA7JqZ8*8BqRzWpXrgN*UkUq9uD1Zum/1.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE AWAAPISHA BALOZI MPYA WA TANZANIA NCHINI MALAYSIA NA KAMISHA WA TUME YA USULUHISHI, IKULU JIJINI DAR LEO
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-Y2mlQc0byE4/VXqRWXGijCI/AAAAAAAA_r4/JKP9Ezg80W0/s72-c/Bi.jpg)
(UNFPA) TANZANIA NA OFISI YA RAIS, TUME YA MIPANGO WAENDESHA WARSHA
![](http://2.bp.blogspot.com/-Y2mlQc0byE4/VXqRWXGijCI/AAAAAAAA_r4/JKP9Ezg80W0/s640/Bi.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-sAYwBmRuMZI/VXqRVVFHLcI/AAAAAAAA_rc/LCLW9mv6Uv4/s640/B2.jpg)
Shirika la Umoja wa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Q7T2q86GkzXWpjaERRj20yX5zey-MhDdSHFmyK5PNe6grMN*tQ0YkvPqG4Xze8HtRbOsYBbZAnm*0QiWiF19LGDqbbz0Hvei/1k1.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE AMUAPISHA BALOZI MPYA WA TANZANIA URUSI, NAIBU KATIBU MTENDAJI WA TUME YA MIPANGO
11 years ago
Dewji Blog15 May
Rais Kikwete amuapisha Balozi mpya wa Tanzania Urusi, Naibu Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango leo
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akimuapisha Luteni Generali Wyjones Kisamba kuwa Balozi wa Tanzania nchini Urusi Ikulu jijini Dar es salaam leo Mei 15, 2014.
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akimkabidhi makabrasha baada ya kumuapisha Luteni Generali Wyjones Kisamba kuwa Balozi wa Tanzania nchini Urusi Ikulu jijini Dar es salaam.
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akimuapisha Mhe Paul Thomas Sangawe kuwa Naibu Katibu Mtendaji Tume ya Mipango Ikulu jijini Dar es salaam.
Rais Dkt Jakaya...
10 years ago
VijimamboOFISI YA RAIS, TUME YA MIPANGO YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO