TMA: Mvua kubwa, upepo mkali waja
MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa tahadhari ya kuwepo kwa mvua kubwa, upepo mkali na mawimbi makubwa katika Bahari ya Hindi. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa kwa vyombo...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/O0rRt4kCpsosVSyEJ5DD-WPBfcTxWvT9JJwOyGH6PkrrzIoTktFrqhcbzjiXdfZkYAGag5KEtUNAfwb*YGyzJ7npLunCICRk/TAHADHARI13012014hewa.jpg?width=750)
11 years ago
Tanzania Daima14 Jan
TMA yatahadharisha kuwapo mvua, upepo mkali
MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa tahadhari ya kuwapo kwa upepo mkali, mawimbi makubwa na mvua kubwa kati ya leo hadi Januari 16, mwaka huu. Kutokana na hali...
9 years ago
Michuzi29 Aug
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-A16bJ5lD2Xs/VPb_ZOXtqDI/AAAAAAAAQ0Q/r8_uVPDKRO4/s72-c/IMG_20150304_105648.jpg)
MVUA KUBWA ILIYOAMBATANA NA UPEPO MKALI YASABABISHA VIFO SHINYANGA
WATU 39 wamekufa, baada ya kuangukiwa na nyumba zao, kufuatia mvua kubwa ya mawe iliyoambatana na upepo mkali kunyesha wilayani Kahama mkoa wa Shinyanga, Jumanne usiku wa kuamkia leo Machi 4, 2015.
Akithibitisha taarifa hizo, kamanda wa polisi mkoa wa Shinyanga, Justus Kamugisha, alisema, maafa hayo yametokea katika kijiji cha Mwakata, kata ya Isaka, wilayani Kahama na kwamba watu wengine 60 wamejeruhiwa vibaya huku mifugo kadhaa, ikiwemo Ng'ombe, Mbuzi na kuku, navyo vimekumbwa na maafa....
Akithibitisha taarifa hizo, kamanda wa polisi mkoa wa Shinyanga, Justus Kamugisha, alisema, maafa hayo yametokea katika kijiji cha Mwakata, kata ya Isaka, wilayani Kahama na kwamba watu wengine 60 wamejeruhiwa vibaya huku mifugo kadhaa, ikiwemo Ng'ombe, Mbuzi na kuku, navyo vimekumbwa na maafa....
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/czF6wJsbSj3BSy15YIFodfP5OzkeQjZ3ocbl57NmIQlkklJHZ6cfhs07tqQfng2XDdy7QObvZMM5oGWPAewB-MwLR9Jd-Mq-/TMAA.jpg?width=750)
11 years ago
Michuzi10 Apr
11 years ago
Michuzi18 Apr
11 years ago
Mwananchi14 Jan
Hali ya Hewa: Upepo mkali waja Pwani
 Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini (TMA) imetoa tahadhari ya kutokea kwa upepo mkali katika mikoa ya Dar es Salaam, Pwani, Lindi Mtwara na Visiwa vya Unguja na Pemba na imewataka wananchi kuwa waangalifu.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania