Wolper asaidia wananchi wa Golani Kimara
Wolper asaidia wananchi wa Golani Kimara
“Kuanzia mwaka juzi nimekua na desturi ya kushirikiana na watu siku yangu muhimu ya kuzaliwa
Mwaka juzi nilipata nafasi ya kukaa na watoto yatima na mwaka jana kituo cha wazee
Mwaka huu nimeamua kugusa maisha ya watu wengi zaidi
Kwahivyo kwa kutafakari jinsi gani tatizo la maji ni kubwa, nimeamua kutumia kidogo nilichonacho kujenga kisima chenye uwezo wa kuhudumia watu 3500 katika shule ya msingi eneo la Golani Kimara.
Wananchi wa huku wamekua...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-a8qz4QEFzEA/Xl_1EMH_dVI/AAAAAAAAm8M/vZG3f_qDRpYC656g0UmXs5f5eoDpZolJACLcBGAsYHQ/s72-c/536a1735-1f59-4858-baca-5f62377def14.jpg)
NYUMBA ZAIDI YA 20 ZAEZULIWA NA UPEPO MKALI KIMARA GOLANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-a8qz4QEFzEA/Xl_1EMH_dVI/AAAAAAAAm8M/vZG3f_qDRpYC656g0UmXs5f5eoDpZolJACLcBGAsYHQ/s640/536a1735-1f59-4858-baca-5f62377def14.jpg)
UPEPO mkali na mvua iliyoambatana na radi imesababisha nyumba zaidi ya 20 kuezuliwa mapaa huku Kaya 50 zikikosa makazi.
Tukio hilo la aina yake limetokea leo katika eneo la Kimara Golani kwa 'Bibi Rosta' mwandishi wa habari hizi ameshuhudia nyumba 19 zikiwa zimezuliwa paa za nyumba huku nyumba moja ikiwa imebomoka ukuta.
Katika tukio hilo nyumba mmoja iliyobomoka imeweza kujeruji mtu mmoja aliyekuwa ndani.
Mashuhuda:
"Tunashukuru mvua wakati inanyesha nyumba nyingi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-SgkBaTlylcE/Xt0UQcJl0KI/AAAAAAALs7k/R60KJhVa2MsUjPZLvfw2mm8RdHYWq5FtwCLcBGAsYHQ/s72-c/67421f47-7347-4ba0-b7ab-f4896db111d1.jpg)
RC Wangabo asaidia nguvu za wananchi katika utekelezaji wa mwaka wa mtoto Rukwa.
![](https://1.bp.blogspot.com/-SgkBaTlylcE/Xt0UQcJl0KI/AAAAAAALs7k/R60KJhVa2MsUjPZLvfw2mm8RdHYWq5FtwCLcBGAsYHQ/s640/67421f47-7347-4ba0-b7ab-f4896db111d1.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo akishiriki na Wananchi katika kusafisha eneo la Shule ya Msingizi Shikizi ya kijiji cha Majengo.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/6249e815-a4c1-45d7-a77d-31b1d5975a98.jpg)
Katika kuhakikisha kila mtoto anapata haki ya kusoma bila ya...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-fGS1rujof6U/XmNFuy83TKI/AAAAAAACIQU/VHYpQ9_L5DM0lCsbmI9ujXQ-rQQM_sqTACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200307_093907_752.jpg)
DC UBUNGO ATEMBELEA KATA ZA KIMARA NA SARANGA KUONA ATHARI NA KUWAPA POLE WANANCHI KWA MAAFA YA MVUA YALIYOWAPATA
![](https://1.bp.blogspot.com/-fGS1rujof6U/XmNFuy83TKI/AAAAAAACIQU/VHYpQ9_L5DM0lCsbmI9ujXQ-rQQM_sqTACLcBGAsYHQ/s400/IMG_20200307_093907_752.jpg)
Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Kisare Makori ametembelea Kata za Kimara na Saranga ili kuona athari na kuwapa pole wananchi kutokana maafa yaliyotokana na mvua kubwa iliyonyesha katika maeneo ya Wilaya ya Ubungo, jijini Dar es Salaam, juzi.
Mkuu wa Wilaya aliongozana na viongozi mbalimbali akiwemo Kaimu Katibu Tawala wa Wilaya ya Ubungo Diana Nkarage.
DC Makori aliwaambia wananchi wa Mtaa wa Golani Kata ya Kimara kuwa amefika kwao ili kujuliana hali na kuwapa pole wale wote...
9 years ago
Mtanzania14 Aug
Nonini asaidia albino
NA BADI MCHOMOLO
MKALI wa wimbo wa ‘Wanajishuku’ aliomshirikisha Dj Pierra Makena na Chege kutoka Tanzania, Hubert Nakitare ‘Nonini’ wa Kenya, ametumia kiasi kikubwa cha fedha zake kununua nguo na miwani kwa ajili ya kuwasaidia albino.
Hata hivyo, msanii huyo amewataka wasanii wenzake na watu maarufu wajitokeze kuwasaidia walemavu badala ya kutumia fedha zao katika matukio ya ulevi na anasa nyingine.
“Watu maarufu wanatakiwa wajitolee kwa jamii zao, wakiwemo walemavu, si kutumia fedha zao...
10 years ago
Bongo Movies15 Jan
Wolper Alia na Wolper “FEKI” Kwa Kuwachuna Watu Kwa Kutumia Jina Lake!!
"Jacq fake huyu anaomba pesa sana na kajisajili Jacq Massawe na na mie jina langu ni Jacq Wolper Massawe so kuweni makini na kama mkiweza nisaidieni kumwambia chochote kwani inaniweka pabaya sana mimi kiukweli naweza kujakutana na mtu akanikaba kwakumchuna bila mafanikio hahahha aichekeshi ila huo ndo ukweli kwamba ananitafutia matatizo huyu binadam naukimpigia nisaut i yangu kabisa na ananijua kuliko navyojijua yani kila napoenda anajua.
Huyu jamani anaomba sana pesa tigo pesa na whatsap...
11 years ago
Tanzania Daima06 Mar
Diwani asaidia uji shuleni
DIWANI wa Levelosi, Ephata Nanyaro (CHADEMA), ametoa msaada wa unga, mahindi na sukari kwenye Shule ya Msingi Levelosi ili kuwawezesha wanafunzi kupata uji nyakati za mchana baada ya serikali kushindwa...
10 years ago
Mwananchi06 Dec
Diwani CCM asaidia uchaguzi wa mitaa
11 years ago
Tanzania Daima21 Feb
Koka asaidia vikundi vya ujasiriamali
MBUNGE wa Kibaha Mjini, Silvestry Koka, ametumia zaidi ya sh milioni 150 kuwezesha vikundi vya ujasiriamali vilivyopo katika jimbo lake, ikiwa ni pamoja na vikundi vya wanawake na vijana. Koka...