Diwani asaidia uji shuleni
DIWANI wa Levelosi, Ephata Nanyaro (CHADEMA), ametoa msaada wa unga, mahindi na sukari kwenye Shule ya Msingi Levelosi ili kuwawezesha wanafunzi kupata uji nyakati za mchana baada ya serikali kushindwa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi06 Dec
Diwani CCM asaidia uchaguzi wa mitaa
10 years ago
Habarileo05 Feb
Diwani akerwa na michango shuleni
DIWANI wa Kata ya Hanga wilayani hapa, Kassim Ntara (CCM), amelalamikia kuwepo kwa michango mingi inayofikia hadi Sh 300,000 badala ya Sh 20,000 wanayotozwa wazazi katika shule za sekondari za Kata.
11 years ago
Tanzania Daima12 May
Diwani Nanyaro atekeleza ahadi ya mlo shuleni
DIWANI wa Levelosi, jijini Arusha, Ephata Nanyaro, (CHADEMA), ametoa msaada wa unga wa mahindi na sukari vyenye thamani ya zaidi ya sh 750,000 kwenye Shule ya Msingi Levelosi ili kuwawezesha...
11 years ago
GPL
SHETTA AMWAGIWA UJI WA MOTO
11 years ago
Tanzania Daima11 Aug
Aunguzwa na uji kisa wivu wa mapenzi
MSICHANA Jackline Lasway maarufu kwa jina la Pendo, mkazi wa eneo la Minga Manispaa ya Singida, amenusurika kifo baada ya kumwagiwa uji wa moto na mke wa tajiri wake wa...
11 years ago
Habarileo11 Aug
Amwagiwa uji wa moto wivu wa mapenzi
MTUMISHI wa ndani, Jacquiline Lasway (22), mkazi wa Minga mjini hapa amelazwa katika Hospitali ya Mkoa wa Singida baada ya kumwagiwa uji wa moto na mke wa mwajiri wake kwa kile kinachodaiwa ni wivu wa mapenzi.
10 years ago
BBCSwahili10 Sep
Wanafunzi watumia Uji kutengeneza Pombe
10 years ago
Mtanzania14 Aug
Nonini asaidia albino
NA BADI MCHOMOLO
MKALI wa wimbo wa ‘Wanajishuku’ aliomshirikisha Dj Pierra Makena na Chege kutoka Tanzania, Hubert Nakitare ‘Nonini’ wa Kenya, ametumia kiasi kikubwa cha fedha zake kununua nguo na miwani kwa ajili ya kuwasaidia albino.
Hata hivyo, msanii huyo amewataka wasanii wenzake na watu maarufu wajitokeze kuwasaidia walemavu badala ya kutumia fedha zao katika matukio ya ulevi na anasa nyingine.
“Watu maarufu wanatakiwa wajitolee kwa jamii zao, wakiwemo walemavu, si kutumia fedha zao...
10 years ago
Vijimambo15 Jan
MIRIAM KINUNDA NA UPISHI WAKE WA UJI WA PILIPILI MANGA
Modern Swahili Recipes For The West, cookbook is now Available at Amazon World-wide. Check Amazon in your country. Also in USA you can get at Walmart and Barnes and Noble Online or ask your nearest store. Now on sale at Amazon USA http://www.amazon.com/dp/0988735903/ Thank you Miriam Kinunda Author of Taste of Tanzania Cookbook