Diwani akerwa na michango shuleni
DIWANI wa Kata ya Hanga wilayani hapa, Kassim Ntara (CCM), amelalamikia kuwepo kwa michango mingi inayofikia hadi Sh 300,000 badala ya Sh 20,000 wanayotozwa wazazi katika shule za sekondari za Kata.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima06 Mar
Diwani asaidia uji shuleni
DIWANI wa Levelosi, Ephata Nanyaro (CHADEMA), ametoa msaada wa unga, mahindi na sukari kwenye Shule ya Msingi Levelosi ili kuwawezesha wanafunzi kupata uji nyakati za mchana baada ya serikali kushindwa...
11 years ago
Tanzania Daima12 May
Diwani Nanyaro atekeleza ahadi ya mlo shuleni
DIWANI wa Levelosi, jijini Arusha, Ephata Nanyaro, (CHADEMA), ametoa msaada wa unga wa mahindi na sukari vyenye thamani ya zaidi ya sh 750,000 kwenye Shule ya Msingi Levelosi ili kuwawezesha...
9 years ago
Habarileo29 Aug
‘Wabaneni waajiri wanaochelewesha michango’
MAMLAKA ya Usimamizi na Udhibiti wa Mifuko ya Hifadhi ya Jamii (SSRA), imeikumbusha mifuko hiyo kuhakikisha inawabana waajiri wanaochelewesha michango ya wanachama wao kwa kuwa sheria inaruhusu.
10 years ago
Mwananchi28 Jul
Michango ya kampeni yawaliza wagombea CCM
10 years ago
Tanzania Daima14 Nov
Msigwa: Walimu gomeni michango ya lazima
MBUNGE wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa (CHADEMA), amewataka walimu wa Halmashauri ya Manispaa Iringa, wagome kulipa michango ya lazima kwa ajili ya ujenzi wa maabara. Msigwa, alitoa kauli hiyo...
10 years ago
Habarileo04 Feb
Elimu yajieleza michango kwa yatima
WIZARA ya Afya na Ustawi wa Jamii imesema haina utaratibu wa kutoa michango ya kugharamia elimu kwa watoto yatima wanaolelewa katika vituo vinavyomilikiwa na watu binafsi.
9 years ago
Habarileo15 Nov
Halmashauri zakumbushwa shule kuachana na michango
HALMASHAURI za jiji la Dar es Salaam zimetakiwa kutenga fungu ili kusaidia kupunguza michango mashuleni na kuendana na agizo lililotolewa na rais kuhusu elimu kutolewa bure kuanzia mwaka 2016.
10 years ago
Tanzania Daima11 Oct
Adha ya michango na ugumu wa maisha wa kujitakia
NIPO kazini, mfanyakazi mwenzangu ananiletea kadi ya kuomba mchango wa harusi ya mdogo wake. Papo hapo nakumbuka siku hiyo ndiyo ya mwisho ya kuwasilisha michango kwa ajili ya sherehe ya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yhCsS*vRHKiJzJamMipvW40Q0t-uBCf3WqClm8JU-U0g437q2mGQR4Cmoy5sAJct-WvjcxB7Dqk0WXUxHU6kyKE2bfpU*N8D/CHEKANAKITIME.jpg)
MIE TENA MICHANGO YA HARUSI, HAPANA!