Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Diwani akerwa na michango shuleni

DIWANI wa Kata ya Hanga wilayani hapa, Kassim Ntara (CCM), amelalamikia kuwepo kwa michango mingi inayofikia hadi Sh 300,000 badala ya Sh 20,000 wanayotozwa wazazi katika shule za sekondari za Kata.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Diwani asaidia uji shuleni

DIWANI wa Levelosi, Ephata Nanyaro (CHADEMA), ametoa msaada wa unga, mahindi na sukari kwenye Shule ya Msingi Levelosi ili kuwawezesha wanafunzi kupata uji nyakati za mchana baada ya serikali kushindwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Diwani Nanyaro atekeleza ahadi ya mlo shuleni

DIWANI wa Levelosi, jijini Arusha, Ephata Nanyaro, (CHADEMA), ametoa msaada wa unga wa mahindi na sukari vyenye thamani ya zaidi ya sh 750,000 kwenye Shule ya Msingi Levelosi ili kuwawezesha...

 

9 years ago

Habarileo

‘Wabaneni waajiri wanaochelewesha michango’

MAMLAKA ya Usimamizi na Udhibiti wa Mifuko ya Hifadhi ya Jamii (SSRA), imeikumbusha mifuko hiyo kuhakikisha inawabana waajiri wanaochelewesha michango ya wanachama wao kwa kuwa sheria inaruhusu.

 

10 years ago

Mwananchi

Michango ya kampeni yawaliza wagombea CCM

>Michango ya kampeni za kujinadi kwa wananchi katika majimbo mbalimbali nchini imelalamikiwa na baadhi ya wanachama wa CCM wanaowania kuteuliwa kugombea ubunge.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Msigwa: Walimu gomeni michango ya lazima

MBUNGE wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa (CHADEMA), amewataka walimu wa Halmashauri ya Manispaa Iringa, wagome kulipa michango ya lazima kwa ajili ya ujenzi wa maabara. Msigwa, alitoa kauli hiyo...

 

10 years ago

Habarileo

Elimu yajieleza michango kwa yatima

Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Stephen KebweWIZARA ya Afya na Ustawi wa Jamii imesema haina utaratibu wa kutoa michango ya kugharamia elimu kwa watoto yatima wanaolelewa katika vituo vinavyomilikiwa na watu binafsi.

 

9 years ago

Habarileo

Halmashauri zakumbushwa shule kuachana na michango

HALMASHAURI za jiji la Dar es Salaam zimetakiwa kutenga fungu ili kusaidia kupunguza michango mashuleni na kuendana na agizo lililotolewa na rais kuhusu elimu kutolewa bure kuanzia mwaka 2016.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Adha ya michango na ugumu wa maisha wa kujitakia

NIPO kazini, mfanyakazi mwenzangu ananiletea kadi ya kuomba mchango wa harusi ya mdogo wake. Papo hapo nakumbuka siku hiyo ndiyo ya mwisho ya kuwasilisha michango kwa ajili ya sherehe ya...

 

10 years ago

GPL

MIE TENA MICHANGO YA HARUSI, HAPANA!

BAADA ya matukio ya harusi ya Jumamosi iliyopita natoa onyo ole wake atakayeniomba mchango wa harusi, sitaki utani. Labda kwanza nikueleze jinsi tulivyopata misukosuko sana kwenye uchangiaji wa ile harusi, maana siku hizi hakuna pa kukimbilia, kila asubuhi unaamshwa saa kumi na mbili na meseji kwenye simu; “Ndugu rafiki na jamaa wa familia ya Pingapinga inakukumbusha kuwa harusi ya mtoto wao imekaribia hivyo mchango wako...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani