Elimu yajieleza michango kwa yatima
WIZARA ya Afya na Ustawi wa Jamii imesema haina utaratibu wa kutoa michango ya kugharamia elimu kwa watoto yatima wanaolelewa katika vituo vinavyomilikiwa na watu binafsi.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-mtvGQMaGEL0/VlqYSW9M6SI/AAAAAAAII4U/eUoUCys3Nd8/s72-c/1.png)
Serikali yafuta rasmi ada kwa elimu ya sekondari kidato cha kwanza hadi cha nne na michango yote katika elimu ya msingi
11 years ago
Mwananchi21 Jan
Macmilan; shule inayotoa elimu bure kwa yatima
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-9loswBi6oew/VavQxUEn_MI/AAAAAAADzv0/xv8AshGfOqo/s72-c/9d3024ddf6b6f24e3d563f51874d2316.jpg)
YUSUF FAKI AWASILISHA MICHANGO YA TAMCO YA ZAKATULFITRI KITUO CHA KULELEA WATOTO YATIMA CHA ALMADINA DAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-9loswBi6oew/VavQxUEn_MI/AAAAAAADzv0/xv8AshGfOqo/s640/9d3024ddf6b6f24e3d563f51874d2316.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-r86mgXobb40/VRVqvff7RVI/AAAAAAAHNp4/qnCS4F4w94M/s72-c/1.jpg)
SAMAKI SAMAKI KUCHANGIA ELIMU KWA WATOTO YATIMA
Mgahawa wa Samaki Samaki umeanzisha mpango wa kuchangia Elimu kwa watoto yatima kwa kila mtu atakayekula katika migahawa ya samaki samaki itatolewa sh.1000 kwa bei halisi na sio kukatwa mteja.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam ,Afisa Mkuu wa Masoko wa Samaki Samaki,Edward Lusala amesema Samaki Samaki imefikisha miaka nane tangu kuanza kwake na wameona kuna umuhimu wa kuchangia katika kundi la watoto yatima.
Amesema kuwa wanawafundisha...
10 years ago
Tanzania Daima24 Oct
Yatima waomba ufadhili wa elimu
WATOTO yatima waliohitimu elimu ya awali katika shule ya Tegemeo Kagazi, wameiomba Serikali na taasisi mbalimbali kuwapatia ufadhili ili wajiunge na elimu ya msingi. Meneja wa Kituo cha Tumaini letu,...
11 years ago
Habarileo14 Dec
SMZ yajieleza kuhamisha huduma za macho Mnazi Mmoja
WIZARA ya Afya imesema huduma za kitengo cha macho kwa wagonjwa wa hospitali ya Mnazi Mmoja zimehamishwa na kupelekwa Kibweni katika hospitali ya kijeshi ya KMKM.
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-UCUcmFxhvhc/Vk8Wh6xtH0I/AAAAAAAIHIM/aCIdooVG_SI/s72-c/IMG-20151109-WA0004.jpg)
MDAU ATOA SHUKRANI KWA MICHANGO YA MATIBABU
![](http://1.bp.blogspot.com/-UCUcmFxhvhc/Vk8Wh6xtH0I/AAAAAAAIHIM/aCIdooVG_SI/s320/IMG-20151109-WA0004.jpg)
Natumaini wote mko salama.Kwa niaba ya Dada yetu Ndugu yetu Mtanzania Mwenzetu AMINA ALLY JUMA na Familia yake yote kwa ujumla, Leo tunarudi kwenu kwa SHUKRANI ZA DHATI kwa Moyo kwa kujitolea kwenu kwa hali na Mali na Sala zenu.
Tangu Mwezi uliopita tulikuja kwenu kwa ajili ya kuomba msaada kwa ajili ya Dada yetu AMINA anayesumbuliwa na maradhi ya Saratani ya Damu (ACUTE AMELOID LEUKEMIA) Ambaye kwa sasa yuko nchini...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-3DaUejesC5M/VGYeGmSZ4dI/AAAAAAAGxOQ/VPqsFsyGQcU/s72-c/TIC%2BADVERT%2BSWAHILI%2BVERSION.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-DjdzOO_je3U/U3v0dT23XbI/AAAAAAAFkFs/xd1ayJmaJn0/s72-c/unnamed.jpg)
Ban Ki Moon AIPONGEZA TANZANIA KWA ULIPAJI WA MICHANGO YAKE