Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Elimu yajieleza michango kwa yatima

Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Stephen KebweWIZARA ya Afya na Ustawi wa Jamii imesema haina utaratibu wa kutoa michango ya kugharamia elimu kwa watoto yatima wanaolelewa katika vituo vinavyomilikiwa na watu binafsi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

Serikali yafuta rasmi ada kwa elimu ya sekondari kidato cha kwanza hadi cha nne na michango yote katika elimu ya msingi

Serikali imeamua kutoa elimu pasipo malipo kwa elimu ya msingi kuanzia elimu ya awali hadi kidato cha nne, kuanzia mwaka wa masomo wa 2016 kama ilivyoahidi.  Azma hii ya serikali ni katika kutekeleza sera ya Elimu na Mafunzo ya mwaka 2014 ambayo ina lengo la kuhakikisha kwamba watoto wote wa Tanzania wanapata Elimu bila kikwazo ikiwemo ada au malipo.  Katika kutekeleza maamuzi hayo, ada zote zilizokuwa zikilipwa kwa ajili ya elimu ya kidato cha kwanza hadi cha nne zimefutwa.Pia, waraka wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Macmilan; shule inayotoa elimu bure kwa yatima

Tatizo la uwepo wa watoto wa mitaani nchini huenda lisingeendelea kukua kama nchi ingekuuwa na mkakati katika kuwasaidia hasa kuwapatia elimu.

 

10 years ago

Vijimambo

YUSUF FAKI AWASILISHA MICHANGO YA TAMCO YA ZAKATULFITRI KITUO CHA KULELEA WATOTO YATIMA CHA ALMADINA DAR

 Mwakilishi wa Tanzania Muslim Council ( TAMCO) Bwn. Yusf Faki akiwa katika picha ya pamoja na mlezi wa kituo cha kulelea watoto yatima cha Amadina Bi.Kuthum Yusuf siku ya Ijumaa July 17, 2015 siku Yusuf Faki alipowasilisha mchango wa Zakatulfitri kwa watoto hao kwa niaba ya TAMCO yenye makao makuu yao DMV. Kituo hicho cha kulelea watoto yatima kilichopo Tandale jijini Dar es Salaam kina watoto 68 wanaolelewa na Bi. Kulthum Yusuf na yeyote atakayeguswa na watoto hao anaweza kuwasilisha...

 

10 years ago

Michuzi

SAMAKI SAMAKI KUCHANGIA ELIMU KWA WATOTO YATIMA

Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii
Mgahawa wa Samaki Samaki umeanzisha mpango wa kuchangia Elimu kwa watoto yatima kwa kila mtu atakayekula katika migahawa ya samaki samaki itatolewa sh.1000 kwa bei halisi na sio kukatwa mteja.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam ,Afisa Mkuu wa Masoko wa Samaki Samaki,Edward Lusala amesema Samaki Samaki imefikisha miaka nane tangu kuanza kwake na wameona kuna umuhimu wa kuchangia katika kundi la watoto yatima.
Amesema kuwa wanawafundisha...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Yatima waomba ufadhili wa elimu

WATOTO yatima waliohitimu elimu ya awali katika shule ya Tegemeo Kagazi, wameiomba Serikali na taasisi mbalimbali kuwapatia ufadhili ili wajiunge na elimu ya msingi. Meneja wa Kituo cha Tumaini letu,...

 

11 years ago

Habarileo

SMZ yajieleza kuhamisha huduma za macho Mnazi Mmoja

WIZARA ya Afya imesema huduma za kitengo cha macho kwa wagonjwa wa hospitali ya Mnazi Mmoja zimehamishwa na kupelekwa Kibweni katika hospitali ya kijeshi ya KMKM.

 

9 years ago

Michuzi

MDAU ATOA SHUKRANI KWA MICHANGO YA MATIBABU

SHUKRANIHabari Ndugu zetu Watanzania mlio ndani na nje ya nchi nawasalimu.
Natumaini wote mko salama.Kwa niaba ya Dada yetu Ndugu yetu Mtanzania Mwenzetu AMINA ALLY JUMA na Familia yake yote kwa ujumla, Leo tunarudi kwenu kwa SHUKRANI ZA DHATI kwa Moyo kwa kujitolea kwenu kwa hali na Mali na Sala zenu.
Tangu Mwezi uliopita tulikuja kwenu kwa ajili ya kuomba msaada kwa ajili ya Dada yetu AMINA anayesumbuliwa na maradhi ya Saratani ya Damu (ACUTE AMELOID LEUKEMIA) Ambaye kwa sasa yuko nchini...

 

11 years ago

Michuzi

Ban Ki Moon AIPONGEZA TANZANIA KWA ULIPAJI WA MICHANGO YAKE

Na Mwandishi Maalum  Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki Moon, ametoa shukrani na pongezi za pekee kwa kuwa moja ya nchi 29 kati ya 193 ambazo hadi kufikia Mei Sita mwaka huu, zilikuwa zimelipia kwa ukamilifu na kwa wakati michango yake katika Umoja wa Mataifa.  Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni kati ya nchi hizi ambazo katibu Mkuu amezipongeza. Tanzania imelipa zaidi ya dola za kimarekani 450,000 kama sehemu ya michango yake kwa Chombo hicho cha Kimataifa.  Na kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani