Macmilan; shule inayotoa elimu bure kwa yatima
Tatizo la uwepo wa watoto wa mitaani nchini huenda lisingeendelea kukua kama nchi ingekuuwa na mkakati katika kuwasaidia hasa kuwapatia elimu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo14 Dec
Shule 11 kutohusika elimu bure
WIZARA ya Elimu, Sayansi na Ufundi imetoa waraka wa elimu kuhusu elimumsingi bila malipo na kutoa orodha ya shule za msingi 11 za Serikali ambazo hazihusiki na utoaji wa elimu bure uliotangazwa na Rais John Magufuli. Elimumsingi inajumuisha elimu ya awali, ya msingi na sekondari ambayo itaanza Januari mwakani.
9 years ago
Bongo509 Nov
Hii ndio taasisi inayotoa huduma ya matibabu bure jijini Dar

Taasisi ya Mkono wa Tumaini inayofanya kazi za kusaidia jamii kwa kutoa huduma za matibabu bure maeneo ya Kinondoni jijini Dar es Salaam, Jumamosi iliyopita, imeweza kuendelea la jukumu la kusaidia jamii ya watu wa Kinondoni hasa maeneo ya Kinondoni shamba na maeneo ya jirani kuwasaidia kupata unafuu kwa matibabu wale wasio na uwezo wa kumudu gharama za kuwaona madaktari.
Baadhi ya wananchi wa Kinondoni wakisubiri kupewa huduma na waataalam wa taasiso hiyo
Taasisi hiyo, inayofanya kazi...
9 years ago
Mwananchi01 Dec
Elimu bure ya Nyerere vs elimu bure ya Magufuli
9 years ago
Mwananchi01 Dec
Ahadi ya elimu bure, tujifunze kwa MMEM
10 years ago
Habarileo04 Feb
Elimu yajieleza michango kwa yatima
WIZARA ya Afya na Ustawi wa Jamii imesema haina utaratibu wa kutoa michango ya kugharamia elimu kwa watoto yatima wanaolelewa katika vituo vinavyomilikiwa na watu binafsi.
11 years ago
Michuzi08 Jul
WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO, Dr. SHUKURU KAWAMBWA, AIPONGEZA SHULE YA SEKONDARI " IMPERIAL" KWA JINSI ILIVYO JIPANGA KUTOA ELIMU BORA.
Shule ya Sekondari Imperial, iko Msolwa-Chalinze.
Shule imejengwa...
10 years ago
Michuzi
SERIKALI YA ZANZIBAR YAENDELEA KUTOA ELIMU BURE KWA WATOTO

LICHA ya kupanda kwa gharama za uendeshaji wa sekta ya elimu hapa Zanzibar na duniani kote, Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar itaendelea kuhakikisha elimu inaendelea kutolewa bure kwa watoto wa Zanzibar kama ilivyotangazwa na Marehemu Mzee Abeid...
10 years ago
Vijimambo19 Sep
SERA YA LOWASSA ELIMU YA JUU BURE ‪#‎HAIWEZEKANI‬ KWA SASA

HOJA ya UKAWA: ELIMU Bure mpaka chuo kikuu! Tanzania ina Vyuo vikuu 54. Tusidanganyike kama Watoto wadogo haiwezekani hata kidogo!!TAFAKARI: tutathmini tu watu wa Shahada ya kwanza! Mwaka 2014/2015 TCU inatarajia kudahili wanafunzi 48, 000.Kwa mwanafunzi mmoja chuo kikuu fani ya Sayansi ya asili (Natural Science) kwa mwaka mmoja anahitaji kiasi kisichopungua Tshs 5,500, 000 (tuition fees, stationary, meal and accommodation, field, Equipments n. k).
Kwa mwaka huu 2014/2015 TCU kwa sayansi...
10 years ago
Bongo Movies12 Apr
Pole Aunty Ezekiel kwa hili. Msamehe bure. Ni elimu tu.
Kweli mitandao ya kijamii ina kazi. Ukiwa na moyo mwepesi mitandao hii inaweza kuwa sio wazo zuri sana kwako.
Leo kupitia mtandao, mwanadada Aunty Ezekiel amepata na jambo ambalo kwa upande wetu tunaona si la kiungwana hata kidogo baada ya jamaa mmoja kuandika maneno yasio ya kibinadamu hata kidogo kwenye picha moja aliyoiweka mwanadada huyo ambaye ni mjamzito .
Aunty Ezekiel aliweka picha yake akiwa na Wema Sepetu ambaye hapo jana aliamua kufungua juu ya tatizo lake linalomsumbua la...