Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pole Aunty Ezekiel kwa hili. Msamehe bure. Ni elimu tu.

Kweli mitandao ya kijamii ina kazi. Ukiwa na moyo mwepesi mitandao hii inaweza kuwa sio wazo zuri sana kwako.

Leo kupitia mtandao, mwanadada Aunty Ezekiel amepata na jambo ambalo kwa upande wetu tunaona si la kiungwana hata kidogo baada ya jamaa mmoja kuandika maneno yasio ya kibinadamu hata kidogo kwenye picha moja aliyoiweka mwanadada huyo ambaye ni mjamzito .

Aunty Ezekiel aliweka picha yake akiwa na Wema Sepetu ambaye hapo jana aliamua kufungua juu ya tatizo lake linalomsumbua la...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Cassim Mganga, Aunty Ezekiel watembelea mjengo mweupe, Aunty asaini kitabu ubalozi wa Tanzania nchini Marekani, Washington, Dc

IMG_5858

Aunty akitia saini kitabu cha wageni alipotembelea Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani siku ya Jumanne Sept 16, 2014.

 Aunty Ezekiel akipata picha ndani ya mjengo wa Ubalozi wa Tanzania Washington, DC  Aunty akipata picha nje ya mjengo wa Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani.  Aunty na Cassim Mganga wakipata menu ndani ya jiji la Washington, DC.  Cassim Mganga akipata picha nje ya mjengo mweupe wa Obama

Aunty Ezekiel akipata picha nje ya mjengo wa Obama.

IMG_5896

Shabiki akipata picha...

 

11 years ago

Michuzi

CASSIM MGANGA, AUNTY EZEKIEL WATEMBELEA MJENGO MWEUPE, AUNTY ATIA SAINII KITABU UBALOZI WA TANZANIA NCHINI MAREKANI, WASHINGTON, DC



 Aunty akitia saini kitabu cha wageni alipotembelea Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani siku ya Jumanne Sept 16, 2014. Aunty Ezekiel akipata picha ndani ya mjengo wa Ubalozi wa Tanzania Washington, DC Aunty akipata picha nje ya mjengo wa Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani. Aunty na Cassim Mganga wakipata menu ndani ya jiji la Washington, DC Shabiki akipata picha na wasanii Aunty na Cassim Mganga  Shabiki akipata picha na wasanii Aunty na Cassim Mganga

 

10 years ago

Bongo Movies

Mashabiki Wamshabulia Aunty Ezekiel kwa Nguo Anazovaa!

Baadhi ya mashabiki  wa staa wa Bongo Movies, Aunty Ezekiel wameonyesha kuchukizwa na nguo anzaovaa staa huyo ukizingatia kwasasa ni mjamzito.

Kwa mara kadhaa Aunty amekuwa akibandika picha mtandaoni akiwa amevaa nguo ambazo "followers" na mashabiki wamekuwa wakisema hazifai kuvaliwa na mwanamke mjamzito, kitu ambacho aunty mwenyewe na baadhi ya mashabiki wamekuwa mara zote wakisema ni sawa kitu ambacho mara zote husababisha mabshano na hadi kutoleana lugha chafu.

Mbali na wengi kusema...

 

10 years ago

CloudsFM

Mashabiki wamemjia juu Aunty Ezekiel,kisa pombe, kuvaa nguo za kubana ambazo hazistahili kwa mjamzito.

Mashabiki wamemjua juu staa wa filamu za Kibongo,Aunty Ezekiel baada ya kupost picha kwenye mtandao wa Instagram akiwa ameshika chupa ya pombe na kuvaa nguo ambazo hazistahili kuvaa mama mjamzito. godfreymtenga Ila uangalie mavazi wakati wa ujauzito.hiyo kaptula hapana vaa vigauni

stakishobo19 Aunt my kama hako ni kabia achana nacho bwana usitusumbulie kababy ketu jamani vumilia kwanza

kiria_lazaro Umshka pombe, inamadhara kwa mtto in u fucking stomach


mariousmiley Anti naona unatumia...

 

11 years ago

CloudsFM

AUNTY EZEKIEL MJAMZITO?

Habari zimeenea kuwa staa wa filamu za Kibongo,Aunty Ezekiel kuwa ni mjamzito,kupitia mtandao wa Instagram baadhi ya mashabiki wake wamekuwa wakimuuliza kuwa kama ni mjamzito kutokana na muonekano wa tumbo lake kwa sasa kuwa ni kubwa kama linavyoonekana kwenye picha wakati akimlisha keki msanii mwenzake JB wakati wa sherehe ya kuadhimisha miaka kadhaa ya kuzaliwa.Baadhi ya maswali yalikuwa hivi: mamibeuty wow mum kijacho look gud my dia congrlnt@auntyezekiel jweekendy_girl Mbona km mama...

 

11 years ago

Mwananchi

Aunty Ezekiel afunguka

Mwigizaji wa filamu nchini, Aunty Ezekiel amekanusha uvumi ulioenea kuwa alikwenda nchini Marekani akifuatana na Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu .

 

9 years ago

Mwananchi

Elimu bure ya Nyerere vs elimu bure ya Magufuli

Nakubaliana na Rais John Magufuli kuwa Watanzania wanahitaji maarifa. Nakubaliana naye kuwa watoto wa maskini wanahitaji elimu, tena elimu yenye maarifa siyo kurundikana darasani tu pasipo maarifa wala kujifunza.

 

10 years ago

Bongo Movies

Aunty Ezekiel Hataki Kufuatiliwa

STAA wa Bongo Movie ambaye kwa sasa ni mama wa mtoto mmoja Aunty Ezekiel amesema huwa anakerwa na watu ambao wanapenda kufuatilia mahusiano yake na baba mtoto wake Moses Iyobo, dansa wa Diamond Platinumz.

Aunty Ezekiel alisema, kuna baadhi ya watu wanapenda kumfuatilia mahusiano yake na kudai yeye amemzidi umri dansa huyo kitu ambacho hapendezwi nacho.

Alisema huwa anawashangaa sana baadhi ya watu ambao wanashidwa kufanya mambo yao na kumjadili maisha yake.

 “Jamani mimi sipendi maneno ya...

 

10 years ago

Bongo Movies

Aunty Ezekiel Amkingia Kifua Iyobo

KUFUATIA kuwepo kwa madai na minong’ono mingi ya msanii wa filamu Bongo, Aunt Ezekiel kumzidi umri mzazi mwenzake, Moses Iyobo, muigizaji huyo ‘amewaka’ na kuwataka watu wasiingilie uhusiano wao na kwamba suala la umri kwao ni namba tu.

‘Akibananishwa ukutani’ na mwandishi wetu kwa maswali magumu hivi karibuni, Aunt alisema amekuwa akiumizwa na maneno yanayoendelea juu ya kumzidi umri Iyobo, na kusema hayuko tayari kuona uhusiano huo ukivunjwa kwa maneno ya aliowaita “wakosa kazi”.

“Kwani...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani