SERIKALI YA ZANZIBAR YAENDELEA KUTOA ELIMU BURE KWA WATOTO
![](http://3.bp.blogspot.com/-68HsBfSrG1Q/VX6TTvdMdWI/AAAAAAAHffc/YoiS6WSTceY/s72-c/pho.jpg)
STATE HOUSE ZANZIBAROFFICE OF THE PRESS SECRETARYPRESS RELEASE Zanzibar 14.6.2015
LICHA ya kupanda kwa gharama za uendeshaji wa sekta ya elimu hapa Zanzibar na duniani kote, Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar itaendelea kuhakikisha elimu inaendelea kutolewa bure kwa watoto wa Zanzibar kama ilivyotangazwa na Marehemu Mzee Abeid...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-1woumhtlWhk/XuC3vvFcFII/AAAAAAALtUk/yLSOcgWn_PUXf6uhfkiky7mFItSIqG0UwCLcBGAsYHQ/s72-c/1-13-768x589.jpg)
Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) Inatekeleza Haki za Binadamu Kwa Kutoa Afya na Elimu Bure- Dkt.Shein
![](https://1.bp.blogspot.com/-1woumhtlWhk/XuC3vvFcFII/AAAAAAALtUk/yLSOcgWn_PUXf6uhfkiky7mFItSIqG0UwCLcBGAsYHQ/s640/1-13-768x589.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/2-1-1-1024x683.jpg)
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt.Ali Mohamed Shein akizungumza na Ujumbe wa Watendaji wa juu wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (pichani), walipomtembelea Ofisini kwake Ikulu Zanzibar, kutoka kulia ni Mwenyekiti wa Tume hiyo, Jaji...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-JSDaAJaULeE/XuDQUhL8oVI/AAAAAAAC7PE/qAQLnI_jlFg4LMuEp2G214XuSCjHZmsUwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
DKT. SHEIN: SERIKALI YA MAPINDUZI ZANZIBAR (SMZ) INATEKELEZA HAKI ZA BINAADAMU KWA KUTOA AFYA NA ELIMU BURE
![](https://1.bp.blogspot.com/-JSDaAJaULeE/XuDQUhL8oVI/AAAAAAAC7PE/qAQLnI_jlFg4LMuEp2G214XuSCjHZmsUwCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Akizungumza alipokutana na ujumbe wa watendaji wa juu wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Ikulu Zanzibar, Dkt. Shein alisema kuwa Serikali inatakeleza kwa vitendo dhana ya utawala bora ikiwa ni utekelezaji wa dhana iliyoasisiwa na Hayati. Abeid...
9 years ago
Dewji Blog15 Sep
Serikali yaendelea kutoa elimu ya Sheria ya makosa ya mtandao kwa Maafisa Habari
Mkurugenzi msaidizi Idara ya Habari (MAELEZO) Bi Zamaradi Kawawa akifurahia jambo na Mkuu wa Masuala ya Siasa na Habari wa Umoja wa nchi za Ulaya (EU) nchini Tanzania Bi Luana Reale wakati wa warsha ya Maafisa Mawasiliano Serikalini kuhusu Sheria ya makosa ya mtandao ya mwaka 2015 (cybercrime Act 2015. iliyofanyika jana Jijini Dar es salaam.(Picha zote na Frank Mvungi-Maelezo).
10 years ago
Vijimambo23 Mar
Madaktari Kutoa huduma bure kwa watoto Tanzania.
![](http://sacobserver.com/wp-content/uploads/2014/01/black-mother-child-healthcare-doctor.jpg)
10 years ago
VijimamboOFISI YA TAIFA YA UKAGUZI YAENDELEA KUTOA ELIMU KWA UMMA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/V7mcip*tK2TopBDqVaXJYPgwYlfP0fnEe1IY8GFVA*iA4gB7jMF0u0cXKSFhisXA2wXfS1t7lALwnvvvlGmNMyRTWcVMB3a8/001.jpg?width=650)
NHIF YAENDELEA KUTOA ELIMU KWA VIONGOZI WA SACCOS ZA WAJASIRIAMALI MANSIPAA YA ILALA
10 years ago
Habarileo13 Jan
SMZ kutoa elimu bure
SERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) imefuta ada ya wanafunzi wa shule za msingi, ikiwa ni utekelezaji wa dhamira ya mapinduzi ya kuwapatia wanafunzi wote elimu bure, kama ilivyoasisiwa na Rais wa Kwanza wa Zanzibar, Abeid Amaan Karume.
9 years ago
StarTV11 Oct
CHADEMAÂ ya ahidi kutoa elimu bure
Mgombea Ubunge Jimbo la Songea kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Joseph Fuime amesema chama chake kikiingia madarakani kitahakikisha elimu inatolewa bure kutoka Shule ya Msingi hadi Chuo kikuu.
Fuime amesema Tanzania ni nchi yenye rasilimali nyingi hasa za Madini lakini hazitumiki ipasavyo kuwasaidia wananchi badala yake yananufaisha watu wachache.
Mgombea Ubunge Jimbo la Songea kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Joseph Fuime amesema imefika wakati sasa...
10 years ago
StarTV14 Jan
Serikali kutoa elimu kwa wakulima wadogo wa Pamba.
Na Gloria Matola,
Pwani Bagamoyo.
Serikali imejipanga kuendelea kuwaelimisha wakulima wadogo wadogo wa zao la pamba waliopo wilayani Bagamoyo mkoani Pwani ili wafikie hatua ya kulifanya zao hilo kuwa la kibiashara zaidi ikiwa ni sehemu ya kukabiliana na hali ya umasikini uliokithiri kwenye ukanda wa Mashariki.
Hayo yameelezwa kwenye ziara ya Bodi ya Pamba kwa kushirikiana na Chama kikuu cha Ushirika mkoa wa Pwani CORECU na TACOGA lengo likiwa ni kuwahamasisha wakulima wa zao hilo kurejea...