Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Yatima waomba ufadhili wa elimu

WATOTO yatima waliohitimu elimu ya awali katika shule ya Tegemeo Kagazi, wameiomba Serikali na taasisi mbalimbali kuwapatia ufadhili ili wajiunge na elimu ya msingi. Meneja wa Kituo cha Tumaini letu,...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Mamlaka ya elimu yatoa ufadhili wa milioni 300 kwa Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia cha Mwalimu Julius K.Nyerere

user comment

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) Bw. Joel Laurent akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar Es Salaam kuhusu mikakati ya mamlaka hiyo katika kuboresha sekta ya elimu hapa nchini kupitia Mfuko wa Elimu. Kushoto ni Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia cha Mwalimu Julius K Nyerere Prof. Dominic Kambarage.

2

Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia cha Mwalimu Julius K Nyerere Prof. Dominic Kambarage (wa pili kushoto) na Kaimu Mkurugenzi...

 

10 years ago

Michuzi

ACACIA KUKUSANYA DOLA 200,000 KWA AJILI YA UFADHILI WA ELIMU KWA WATOTO MASKINI, NI KUPITIA KUPANDA MLIMA KILIMANJARO

 KAMPUNI ya ACACIA inayojishughulisha na uchimbaji na utafutaji madini, imezindua kampeni ya kukusanya fedha kupitia kupanda mlima Kilimanjaro, leo Jumatatu Juni 22, 2015, ambapo fedha hizo zitakwenda kusaidia sekta ya elimu kwenye maeneo yanayozunguka migodi mitatu inayomilikiwa na kampouni hiyo ya North Mara, Bulyanhulu na Buzwagi.

Akizungumza muda mfupi kabla ya kuanza kwa safari ya kupanda mlima Kilimanjaro kwenye lango la Machame,iliyo shirikisha watu 21, Afisa Mtendaji Mkuu wa kampuni...

 

10 years ago

Habarileo

Elimu yajieleza michango kwa yatima

Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Stephen KebweWIZARA ya Afya na Ustawi wa Jamii imesema haina utaratibu wa kutoa michango ya kugharamia elimu kwa watoto yatima wanaolelewa katika vituo vinavyomilikiwa na watu binafsi.

 

11 years ago

Mwananchi

Macmilan; shule inayotoa elimu bure kwa yatima

Tatizo la uwepo wa watoto wa mitaani nchini huenda lisingeendelea kukua kama nchi ingekuuwa na mkakati katika kuwasaidia hasa kuwapatia elimu.

 

10 years ago

Michuzi

SAMAKI SAMAKI KUCHANGIA ELIMU KWA WATOTO YATIMA

Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii
Mgahawa wa Samaki Samaki umeanzisha mpango wa kuchangia Elimu kwa watoto yatima kwa kila mtu atakayekula katika migahawa ya samaki samaki itatolewa sh.1000 kwa bei halisi na sio kukatwa mteja.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam ,Afisa Mkuu wa Masoko wa Samaki Samaki,Edward Lusala amesema Samaki Samaki imefikisha miaka nane tangu kuanza kwake na wameona kuna umuhimu wa kuchangia katika kundi la watoto yatima.
Amesema kuwa wanawafundisha...

 

5 years ago

Michuzi

TAASISI YA TUMAINI LA MTOTO YATOA ELIMU, MSAADA KATIKA KITUO CHA KULELEA WATOTO YATIMA CHA CHUKUWAMA

TAASISI isiyo ya kiserikali ya Tumaini la Mtoto imetoa elimu na msaada wa vitu mbalimbali katika kituo cha kulelea watoto yatima cha CHUKUWAMA kilichopo Mwenge jijini Dar es Salaam.
Akitoa elimu kwa watoto wa kituo hicho Mkurugenzi Taasisi ya Tumaini la Mtoto, Maziku Kuwandu amesema kuwa Watoto waliopo kwenye vituo vyao vya kulelewa wamekuwa hawapati elimu ya kujikinga na Virusi vya Corona (Covid 19) ndio maana wachukua fursa hiyo kuwapa elimu watoto hao.
"Taasisi ya Tumaini la Mtoto kupitia...

 

10 years ago

Michuzi

Waziri wa Elimu atembelea Banda la Mamlaka ya Elimu Tanzania kwenye maonyesho ya Elimu mjini Dodoma

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa akimsikiliza Kaimu Mkurugenzi wa Uhamasishaji rasilimali wa Mamlaka ya Elimu Tanzania, Sylvia Lupembe, alipotembelea Banda la Mamlaka ya Elimu Tanzania Jumatano Tarehe 13 Mei 2015.

 

11 years ago

Mwananchi

WTZ wahamasishwa kusaka ufadhili kilimo

Watanzania wenye mawazo ya biashara katika sekta ya kilimo wamehamasishwa kushiriki shindano la awamu ya tatu ya dirisha la ufadhili wa kilimo cha biashara, kuendeleza sekta hiyo inayowagusa wengi hasa vijijini.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Karimjee yatoa ufadhili magonjwa ya saratani

MADAKTARI wawili Watanzania, Dk. Rehema Laiti na Dk. Shakilu Kayungo, wamepatiwa ufadhili wa masomo ya Shahada za Uzamili ya magonjwa ya Saratani kwa watoto katika Chuo Kikuu Kishiriki cha Afya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani