Mamlaka ya elimu yatoa ufadhili wa milioni 300 kwa Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia cha Mwalimu Julius K.Nyerere
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) Bw. Joel Laurent akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar Es Salaam kuhusu mikakati ya mamlaka hiyo katika kuboresha sekta ya elimu hapa nchini kupitia Mfuko wa Elimu. Kushoto ni Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia cha Mwalimu Julius K Nyerere Prof. Dominic Kambarage.
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia cha Mwalimu Julius K Nyerere Prof. Dominic Kambarage (wa pili kushoto) na Kaimu Mkurugenzi...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi28 Mar
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6vIMLmuhUcqn1OZaI42Q9bIzJJeh09OWCEyIQTXbrXLJgyHyh*60yuv-Tbme1FtllPVfh5jngTV0gmJ3QEs9cVmbN6-yvs9n/tanzania.jpg)
UTEUZI WA WAJUMBE WA BARAZA LA CHUO KIKUU CHA SAYANSI NA TEKNOLOJIA MBEYA
11 years ago
Mwananchi01 Jul
TEKNOLOJIA: Chuo Kikuu cha Sayansi Mbeya kufunza utengenezaji wa roboti
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Z6l2sXPN8Fc/VTo7iZvvkJI/AAAAAAAAGyg/xc3ta91epWc/s72-c/P4249105.jpg)
MFUKO WA CHANGAMOTO ZA MILLENIA (MCAT) YAKABIDHIN RASMI KAMBI YA KANDA ILIYOPO MKOANI RUKWA KWA CHUO KIKUU CHA SAYANSI NA TEKNOLOJIA MBEYA (MUST
![](http://2.bp.blogspot.com/-Z6l2sXPN8Fc/VTo7iZvvkJI/AAAAAAAAGyg/xc3ta91epWc/s1600/P4249105.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-O7J3-G72ChQ/U8TeTm-UjnI/AAAAAAAF2Q8/5GYTwLfOfS8/s72-c/20140714_115209.jpg)
Profesa Mark Mwandosya akutana uongozi wa Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya leo
![](http://1.bp.blogspot.com/-O7J3-G72ChQ/U8TeTm-UjnI/AAAAAAAF2Q8/5GYTwLfOfS8/s1600/20140714_115209.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-h1w3Cm5bV_M/U8TeT1ZzB2I/AAAAAAAF2RA/5y9N6nIhQfg/s1600/20140714_132113.jpg)
9 years ago
Dewji Blog20 Nov
Katibu Mkuu Wizara ya Elimu anogesha mahafali ya 10 ya Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Dar es Salaam
10 years ago
Habarileo08 Dec
Chuo Kikuu cha St. John’s kuanzisha mfuko wa Ufadhili
CHUO Kikuu cha St. John’s cha mjini hapa kitaanzisha mfuko wa ufadhili wa wanafunzi kwa ajili ya kusaidia sehemu ya gharama kwa wanafunzi wenye sifa wasio na uwezo wa kujilipia ada na wasiopata fedha za Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu.
10 years ago
VijimamboSHEILA NA JULIUS WAKAMATA NONDO CHUO KIKUU CHA MARYLAND
9 years ago
Vijimambo14 Oct
LEO NI MIAKA 16 YA KUMBUKUMBU YA KIFO CHA MWALIMU JULIUS NYERERE
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2912672/highRes/1147061/-/maxw/600/-/l336uv/-/Nyerere.jpg)
By Pius Msekwa
Ni dhahiri kwamba Mwalimu Nyerere anakumbukwa kwa mambo mengi ya msingi aliyoyapa kipaumbele wakati wa uongozi wake. Jambo mojawapo alilisema Julai 29 Julai, 1985, kwamba: “Kazi iliyokuwa muhimu kuliko zote kwangu mimi, ilikuwa ni kujenga Taifa lenye umoja kwa msingi wa heshima na usawa wa binadamu”.
Lakini yapo mambo mengine mengi ya uongozi wake ambayo...