SHEILA NA JULIUS WAKAMATA NONDO CHUO KIKUU CHA MARYLAND
Sheila na Julius wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kukamata nondo ya 2nd Masters ya MBA katika chuo kikuu cha Maryland nchini Marekani. Ndugu jamaa na marafiki wakiwa katika picha ya pamoja na Sheila Mgaza Sheila Mgaza akipata picha na marafiki zake. Sheila akiwa katika picha ya pamoja na ndugu, jamaa na marafiki. Picha zikiendelea. Wakati wa kukabidhiwa nondoz. Mama mzazi wa Sheila Baybe Mgaza akifurahia jambo ( Picha zote naTito Mazali)
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboMARIAM KALALA NYANG'ORO AKAMATA NONDO CHUO KIKUU CHA STRAYER, GEORGIA DOME.
9 years ago
Dewji Blog11 Sep
Mamlaka ya elimu yatoa ufadhili wa milioni 300 kwa Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia cha Mwalimu Julius K.Nyerere
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) Bw. Joel Laurent akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar Es Salaam kuhusu mikakati ya mamlaka hiyo katika kuboresha sekta ya elimu hapa nchini kupitia Mfuko wa Elimu. Kushoto ni Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia cha Mwalimu Julius K Nyerere Prof. Dominic Kambarage.
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia cha Mwalimu Julius K Nyerere Prof. Dominic Kambarage (wa pili kushoto) na Kaimu Mkurugenzi...
10 years ago
Vijimambo20 May
ALLY SHARIF AKAMATO NONDO CHUO KIKUU CHA VIRGINIA MASHARIBI(WEST VIRGINIA UNIVERSITY)
10 years ago
GPLCHUO KIKUU KISHIRIKI CHA USHIRIKA NA BIASHARA MOSHI (MUCCOBS) CHAWA CHUO KIKUU KAMILI
10 years ago
VijimamboELIMU HAINA MWISHO...BRIG GEN (RTD) ALAMBA NONDO ZA SHERIA LLB CHUO KIKUU HURIA AKIWA NA UMRI WA MIAKA 74
10 years ago
VijimamboMAHAFALI YA 5 YA CHUO KIKUU KIKUU CHA ST, JOHN DODOMA YAFANA.
10 years ago
VijimamboNAYLAH NA LISA WAKAMATA NONDO
10 years ago
MichuziWAZIRI MKUU AKAGUA CHUO KIKUU DAR NA CHUO KIKUU HURIA
Ametoa kauli hiyo jana usiku (Ijumaa, Oktoba 10, 2014) wakati akizungumza na wahadhiri, wakufunzi, wanafunzi na wanajumuiya ya Chuo Kikuu Huria (OUT) mara baada ya kuzindua jengo la ghorofa 10 linalojulikana kama Ghorofa la Elimu ya Masafa ya Huria (Open Distance...
10 years ago
MichuziMAHAFALI YA 10 CHUO KIKUU CHA TAIFA CHA ZANZIBAR (SUZA) LEO