Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NAYLAH NA LISA WAKAMATA NONDO

Naylah Sebo na Lisa Shariff wakionyesha vyeti vyao baada ya kuhitimu masomo katika kiwango kinachotambulika kama 6th Grade katika shule ya msingi ya Kingsford iliyopo jimbo la Maryland nchini Marekani.

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

SHEILA NA JULIUS WAKAMATA NONDO CHUO KIKUU CHA MARYLAND

Sheila na Julius wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kukamata nondo ya 2nd Masters ya MBA katika chuo kikuu cha Maryland nchini Marekani. Ndugu jamaa na marafiki wakiwa katika picha ya pamoja na Sheila Mgaza Sheila Mgaza akipata picha na marafiki zake. Sheila akiwa katika picha ya pamoja na ndugu, jamaa na marafiki. Picha zikiendelea. Wakati wa kukabidhiwa nondoz. Mama mzazi wa Sheila Baybe Mgaza akifurahia jambo ( Picha zote naTito Mazali)

 

9 years ago

Mtanzania

Mambo 5 Usiyoyajua kuhusu MABESTE,LISA

mabesteNA CHRISTOPHER MSEKENA

MARA nyingi tunapenda kuwafahamu watu maarufu nje ya maisha yao ya sanaa, licha ya kutamani kuwafahamu
imekuwa ngumu kutokana na mastaa hao kutoonekana mara kwa mara kitaa kwa lengo la kuongeza mvuto
kwenye jamii.
Swaggaz wiki limetua maskani mwa nyota wa muziki wa rap, Venance  maarufu kama Mabeste na ametuambia
mambo yake kumi ambayo hujawahi kuyasikia popote, kama uliyasikia basi hapa anakueleza vizuri.

ALIVYOJUANA NA PANCHO

Mabeste anasema yeye na Pancho walikuwa...

 

11 years ago

Dewji Blog

9 years ago

Jamaica Observer

Dr Lisa Vasciannie among observers for today's Tanzania election


Jamaica Observer
Dr Lisa Vasciannie among observers for today's Tanzania election
Jamaica Observer
ONE Jamaican academic is serving as a member of the Commonwealth Observer Group for Tanzania's General Election scheduled for today. Dr Lisa Vasciannie, lecturer in International Relations at the Department of Government, University of the West ...
Observers' role is crucial in General ElectionDaily News | The National Newspaper (press release) (blog)

all 4

 

10 years ago

Michuzi

mona lisa: mchoro maarufu kuliko yote duniani

Mona Lisa (pia huitwa La Giocconda ambayo kwa Kitaliano ina maana ya furaha au mwanamke mwenye furaha tele) ni mchoro wa mwanzoni mwa karne ya kumi na sita uliochorwa na mchoraji mashuhuri duniaLeonardo da Vinci. Inaaminika kuwa ni mmoja kati ya michoro mashuhuri duniani. Mchoro huu unapatikana katika jumba la maonyesha (makumbusho) la mjini Paris maarufu kama Louvre. Nat King Cole aliutungia wimbo mchoro huu ambao sifa zake si za kawaida

 

9 years ago

Bongo5

Mabeste na mpenzi wake Lisa wajichora tattoo za majina yao

Rapper Mabeste pamoja mpenzi wake Lisa Fickenscher kila mmoja amejichora tatoo ya jina la mwenzake ili kuonyesha jinsi gani wawili hao wanapenda. Kupitia Instagram, Lisa ameweka picha ya tattoo hiyo ya mpenzi wake na kuandika: What Else Do I Need In This Life?? Thanks Bae!! I Love You Every Second Of My Life Mabeste, I […]

 

5 years ago

RFI

Rubik's Cube Mona Lisa fetches 480,000 euros at Paris auction

Rubik's Cube Mona Lisa fetches 480,000 euros at Paris auction  RFIView Full coverage on Google News

 

9 years ago

Bongo5

Video: Meneja na mke wa Mabeste, Lisa apanga kuwakutanisha mastaa wa kike kwenye mchezo wa ‘Rede’

Lisa Mabeste

Kama wewe ni msichana una miaka zaidi ya 25 kwa sasa na enzi za utoto wako hukuwahi kucheza mchezo wa ‘Rede’, utakuwa ulikosa starehe kubwa.

Rede ni mchezo waliokuwa wakicheza wasichana ambapo wawili hukaa huku na kule na mmoja kuwa katikati akijitahidi kuijaza chupa mchanga huku akikwepa mpira anaopondwa na wawili hao.

Meneja na mke wa rapper Mabeste, Lisa Karl Fickenscher amesema anataka kuurudisha mchezo huo kwa kuandaa tamasha litakalohusisha mastaa mbalimbali wa kike na mashabiki...

 

11 years ago

Habarileo

Sumaku yanasa wezi wa nondo

NondoSUMAKU maalumu zilizofungwa kwenye lango la kuingia kwenye mradi wa ujenzi wa daraja la Kigamboni, zimesaidia kukamata wezi wa nondo na misumari.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani