mona lisa: mchoro maarufu kuliko yote duniani
![](http://1.bp.blogspot.com/-LxiVNXJsXI8/U_A7vhRsxmI/AAAAAAAGAIU/juFEhqLkx4w/s72-c/Mona_Lisa%2C_by_Leonardo_da_Vinci%2C_from_C2RMF_retouched.jpg)
Mona Lisa (pia huitwa La Giocconda ambayo kwa Kitaliano ina maana ya furaha au mwanamke mwenye furaha tele) ni mchoro wa mwanzoni mwa karne ya kumi na sita uliochorwa na mchoraji mashuhuri duniaLeonardo da Vinci. Inaaminika kuwa ni mmoja kati ya michoro mashuhuri duniani. Mchoro huu unapatikana katika jumba la maonyesha (makumbusho) la mjini Paris maarufu kama Louvre. Nat King Cole aliutungia wimbo mchoro huu ambao sifa zake si za kawaida
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili25 May
Mona Lisa: Kwa nini mwanamke huyu anajulikana kwa 'kupigwa busu' nyingi zaidi duniani
5 years ago
RFI24 Feb
Rubik's Cube Mona Lisa fetches 480,000 euros at Paris auction
11 years ago
BBCSwahili06 May
Je ANC ni maarufu kuliko Rais Zuma?
11 years ago
Mwananchi05 Feb
‘Mwanza ni chafu kuliko majiji yote’
10 years ago
Mwananchi15 Jan
Burj Khalifa:Jengo refu kuliko yote dunia
10 years ago
CloudsFM19 Feb
Kumbe! Mr Blue ni maarufu nchini Kenya kuliko Ali Kiba na Diamond
Mkali wa Hip Hop Bongo,Mr.Blue ametajwa kuwa ndiye msanii maarufu na anayependwa nchini Kenya ukilinganisha na mastaa maarufu wa hapa Bongo,Diamond Platinum na Ali Kiba.
Mdau wa muziki (burudani) kutoka nchini Kenya ambaye pia ni msanii aitwaye Gnex Lee Lennox amezungumza na Clouds Fm amesema kuwa Mr.Blue ametengeneza soko la muziki wake tangu zamani nchini humo tofauti za wasanii wengine wa Bongo.
Aidha ameongeza ngoma za Mr. Blue zimekuwa zikipigwa kwenye vituo vya redio pamoja na kwamba...
10 years ago
Dewji Blog20 Jun
Makamba atunzwa kwao apata wadhamini kuliko mikoa yote aliyopita
Mh January Makamba alikua katika mkoa wa Tanga alipokulia na kuzaliwa, wakazi wengi wa Tanga Walijitokeza Kumpokea kwa Shangwe nyingi.
Wananchi wa mkoa wa Tanga wamejitokeza watu wengi kumdhamini kuliko mikoa yote aliyopita ambapo jumla ya watu 15,043 wamejitokeza kwenye ofisi kuu za Chama cha Mapinduzi CCM mkoani humo kwa ajili ya kutafuta wadhamini wa fomu kuomba kuteuliwa na chama hicho kuwania urais wa Tanzania kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, 2015……Fuatilia matukio...
10 years ago
Bongo531 Dec
Linex: Nimeingiza mkwanja mrefu mwaka 2014 kuliko miaka yote
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Yhnzwe_roIo/VaNMjXnQQHI/AAAAAAAHpP0/khTHknzd7ZQ/s72-c/unnamed%2B%252820%2529.jpg)