Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


mona lisa: mchoro maarufu kuliko yote duniani

Mona Lisa (pia huitwa La Giocconda ambayo kwa Kitaliano ina maana ya furaha au mwanamke mwenye furaha tele) ni mchoro wa mwanzoni mwa karne ya kumi na sita uliochorwa na mchoraji mashuhuri duniaLeonardo da Vinci. Inaaminika kuwa ni mmoja kati ya michoro mashuhuri duniani. Mchoro huu unapatikana katika jumba la maonyesha (makumbusho) la mjini Paris maarufu kama Louvre. Nat King Cole aliutungia wimbo mchoro huu ambao sifa zake si za kawaida

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Mona Lisa: Kwa nini mwanamke huyu anajulikana kwa 'kupigwa busu' nyingi zaidi duniani

Wakati fulani katika karne ya 19, mwili wa msichana mdogo ambaye alikuwa amekufa maji uliokolewa katika mto Seine.

 

5 years ago

RFI

Rubik's Cube Mona Lisa fetches 480,000 euros at Paris auction

Rubik's Cube Mona Lisa fetches 480,000 euros at Paris auction  RFIView Full coverage on Google News

 

11 years ago

BBCSwahili

Je ANC ni maarufu kuliko Rais Zuma?

Uchaguzi unaponukia Afrika Kusini, kuna dalili kuwa waafrika weusi wangali wanakienzi chama cha ANC

 

11 years ago

Mwananchi

‘Mwanza ni chafu kuliko majiji yote’

Mwanza. Kamati ya Bunge ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, imesema taarifa ya miradi ya maendeleo ya Jiji la Mwanza  ni mbaya kuliko za majiji mengine yote. Hivyo imetoa siku 90 kwa halmashauri hiyo kuandaa taarifa mpya na sahihi.

 

10 years ago

Mwananchi

Burj Khalifa:Jengo refu kuliko yote dunia

Kwa hesabu za haraka haraka, urefu wa mita 829.8 (sawa na futi 2,722) ni sawa sawa na viwanja vinane vya mpira wa miguu.

 

10 years ago

CloudsFM

Kumbe! Mr Blue ni maarufu nchini Kenya kuliko Ali Kiba na Diamond

Mkali wa Hip Hop Bongo,Mr.Blue ametajwa kuwa ndiye msanii maarufu na anayependwa nchini Kenya ukilinganisha na mastaa maarufu wa hapa Bongo,Diamond Platinum na Ali Kiba.

Mdau wa muziki (burudani) kutoka nchini Kenya ambaye pia ni msanii aitwaye Gnex Lee Lennox amezungumza na Clouds Fm amesema kuwa Mr.Blue ametengeneza soko la muziki wake tangu zamani nchini humo tofauti za wasanii wengine wa Bongo.

Aidha ameongeza ngoma za Mr. Blue zimekuwa zikipigwa kwenye vituo vya redio pamoja na kwamba...

 

10 years ago

Dewji Blog

Makamba atunzwa kwao apata wadhamini kuliko mikoa yote aliyopita

Mh January Makamba alikua katika mkoa wa Tanga alipokulia na kuzaliwa, wakazi wengi wa Tanga Walijitokeza Kumpokea kwa Shangwe nyingi.

Wananchi wa mkoa wa Tanga wamejitokeza watu wengi kumdhamini kuliko mikoa yote aliyopita ambapo jumla ya watu 15,043 wamejitokeza kwenye ofisi kuu za Chama cha Mapinduzi CCM mkoani humo kwa ajili ya kutafuta wadhamini wa fomu kuomba kuteuliwa na chama hicho kuwania urais wa Tanzania kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, 2015……Fuatilia matukio...

 

10 years ago

Bongo5

Linex: Nimeingiza mkwanja mrefu mwaka 2014 kuliko miaka yote

Mwaka 2014 umekuwa wenye neema kuliko miaka yote kwa Linex Sunday Mjeda kwakuwa anadai ameingiza mkwanja mrefu zaidi. Linex ameiambia Bongo5 kuwa anafikiri yeye ni msanii pekee aliyefanya matangazo mengi ya biashara ya redio kuliko wasanii wote wa Tanzania. “Toka nimeanza kufanya Bongo Flava, hakuna mwaka nimefanikiwa kama mwaka huu,” amesema Linex. “Mwaka huu nimefanya […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani