Sumaku yanasa wezi wa nondo
SUMAKU maalumu zilizofungwa kwenye lango la kuingia kwenye mradi wa ujenzi wa daraja la Kigamboni, zimesaidia kukamata wezi wa nondo na misumari.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ykZ*wTWqMzb*fIbzElr8*704Fe30CcvGRGMYpKV3Jzo5eS4o188ehK2MwnX*DjDwv3xeh6qJl9vaM24rARAVdGIsDwhhm1S7/Dawa.gif?width=650)
OFM YANASA YANASA DAWA ZIKIUZWA KIHOLELA
10 years ago
Mwananchi20 Oct
Unyanyasaji wa kijinsia “Tuwatume wezi wawakamate wezi wenzao”
11 years ago
Dewji Blog09 Apr
WAZIRI Muhongo amesema wananchi wanaotoa taarifa za uongo kulipwa fidia ni wezi sawa na wezi wa maofisini wa mali za Umma
Mbunge wa jimbo la Iramba Magharibi na Naibu Waziri wa Fedha, Mh. Mwingulu Nchemba, akizungumza kwenye mkutano wa hadhara katika kijiji cha Kaselya wilaya ya Iramba.Wa kwanza kulia ni Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo na wa pili kushoto ni Mkuu wa wilaya ya Iramba Yahaya Nawanda.
Na.Nathaniel Limu-Singida
WAZIRI wa NIishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo (MB), amesema wananchi wanaotoa taarifa za uongo ili waweze kulipwa fidia wakati hawastahili, ni wezi sawa na...
10 years ago
Bongo Movies02 Apr
Kutokana na Ushiriki Hafifu wa Wasanii Kwenye Msiba Wa Diffender, Sumaku Asema Haya
Mwenyekiti wa Chama cha Wachekeshaji (Tanzanian Comedian Association) Habib Mkamba ‘Sumaku’ amewapongeza wasanii hao kwa kujitolea katika kumuuguza msanii mwenzao hadi kifo chake Fadhil Said almaarufu kama Diffender, amedai kuwa pamoja na kutengwa na wasanii wengine lakini walijitoa.
Nawashukru na kuwapongeza kwa wale wasanii wa Komedi ambao tumejitoa kupigania afya ya marehemu Difenda, niliwahi kusema kila anapofariki mwenzetu kuna mwingine yupo njiani tusiposhirikiana ni...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-oZl3CBaGzKw/XsUTphtOcQI/AAAAAAALq7s/Os5icxy3NhksrjdGrItW0zZLm28RB3nlwCLcBGAsYHQ/s72-c/1%2Bb.jpg)
COSTECH yamwezesha Mbunifu wa umri wa miaka 80 katika kutengeneza nishati ya umeme wa sumaku
![](https://1.bp.blogspot.com/-oZl3CBaGzKw/XsUTphtOcQI/AAAAAAALq7s/Os5icxy3NhksrjdGrItW0zZLm28RB3nlwCLcBGAsYHQ/s640/1%2Bb.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-pYzEjtG3sgU/XsUTpv9bo0I/AAAAAAALq7w/pplHvwdHgokUYjRDkf5hbMEhRQ_MG8hoACLcBGAsYHQ/s640/3%2Bb.jpg)
TUME ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) yamwezesha Mbunifu mwenye umri wa miaka 80 katika kutengeneza nishati ya umeme...
11 years ago
Mwananchi20 May
Bukoba yanasa wahamiaji 400
11 years ago
Tanzania Daima05 Jun
Azam yanasa kifaa Ferroviarrio
UONGOZI wa mabingwa wa soka Tanzania Bara, Azam FC, umeendelea kusaka nyota kuimarisha kikosi chao, ambapo hivi sasa wako mbioni kumnasa mshambuliaji wa Ferroviarrio de Beira ya Msumbiji, Manuel Correia....
9 years ago
Mtanzania16 Sep
Sheria ya mtandao yanasa watano
Asifiwe George na Ester Mnyika, Dar es Salaam
JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, linawashikilia watu watano kwa tuhuma za kutumia vibaya mitandao ya kijamii kufanya uhalifu wa kutengeneza habari za uongo na uzushi dhidi ya viongozi au watu maarufu.
Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake jana, Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Kamishna Suleimani Kova alisema watu hao wamekuwa wakitumia vibaya majina ya watu maarufu hasa wanasiasa.
Kova alitaja majina...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rYXJV*jyRSlygLmryaKBo50Qnd3di7PFjJ16UJk9hBdftoKgkAV-UOqYpwbzynwOgCk6eqFkYHLLnKqCycnO-oAd8O4aXaht/OFM.gif?width=650)
OFM YANASA MABAAMEDI WAKIUZWA!