Ban Ki Moon AIPONGEZA TANZANIA KWA ULIPAJI WA MICHANGO YAKE
![](http://4.bp.blogspot.com/-DjdzOO_je3U/U3v0dT23XbI/AAAAAAAFkFs/xd1ayJmaJn0/s72-c/unnamed.jpg)
Na Mwandishi Maalum Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki Moon, ametoa shukrani na pongezi za pekee kwa kuwa moja ya nchi 29 kati ya 193 ambazo hadi kufikia Mei Sita mwaka huu, zilikuwa zimelipia kwa ukamilifu na kwa wakati michango yake katika Umoja wa Mataifa. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni kati ya nchi hizi ambazo katibu Mkuu amezipongeza. Tanzania imelipa zaidi ya dola za kimarekani 450,000 kama sehemu ya michango yake kwa Chombo hicho cha Kimataifa. Na kwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-aGJZUqzDQwQ/VGwKc-Ay-GI/AAAAAAAGyJw/34z4hNqTe60/s72-c/unnamed%2B(23).jpg)
HAKUNA NCHI INAYOWEZA KUSIMAMA PEKE YAKE-BAN KI MOON
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-DXMdvHWwiYs/VUqICZfdL9I/AAAAAAAHVzI/3yy5CgZs1pI/s72-c/unnamed%2B(59).jpg)
WALINDA AMANI WAWILI WA TANZANIA WAPOTEZA MAISHA DRC, BAN KI MOON ALAANI VIKALI
![](http://2.bp.blogspot.com/-DXMdvHWwiYs/VUqICZfdL9I/AAAAAAAHVzI/3yy5CgZs1pI/s1600/unnamed%2B(59).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/--yAW_U7HC1o/U5FFjQUmkmI/AAAAAAAFn90/jExkY0uoElg/s72-c/unnamed1.jpg)
BAN KI MOON AZINDUA MWONGO WA NISHATI KWA WOTE (2014-2024 )
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-pNBdVlin5Lw/VbHEumWFvGI/AAAAAAAHrYs/5dS9hlmWL6c/s72-c/unnamed.jpg)
BAADA YA UCHAGUZI WA AMANI, BURUNDI BAN KI MOON ATAKA KUTEJEA KWA MAZUNGUMZO
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki Moon, amezitaka pande zinazopingana nchini Burundi kubaki watulivu na kurejea mara moja katika meza ya majadiliano jumuishi ya kisiasa ili kumaliza tofauti zao na kujadili changamoto zinazolikabili taifa lao.
Kwa mujibu wa Taarifa iliyotolewa na Msemaji wa Katibu Mkuu, Julai 23, Ban Ki Moon ametambua hali ya Amani na utulivu iliyotawala wakati wa uchaguzi wa Rais wa nchi hiyo ( Burundi )uliofanyika Julai 21...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-YWWBFQp9Rk4/XmK1NNSCJyI/AAAAAAALhpQ/tbDs_VgSsAkIUFbaIzEjVeu8poYbcLj_wCLcBGAsYHQ/s72-c/4bv725c801b30f1m2ds_800C450.jpg)
Mwakilishi wa WHO aipongeza Iran kwa mapambano yake dhidi ya Corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-YWWBFQp9Rk4/XmK1NNSCJyI/AAAAAAALhpQ/tbDs_VgSsAkIUFbaIzEjVeu8poYbcLj_wCLcBGAsYHQ/s640/4bv725c801b30f1m2ds_800C450.jpg)
Dr. Christoph Hamelmann ameashiria ziara na ukaguzi wake akiwa pamoja na wataalamu kutoka China katika hospitali na taasisi za afya nchini Iran na kusema: Wataalamu wa China wameathiriwa sana na huduma zinazotolewa katika hospitali hizo.
Mwakilishi wa WHO amesema kuwa, kuwepo vituo bora na madhubuti vya huduma...
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/74170000/jpg/_74170569_021804091.jpg)
9 years ago
BBCSwahili24 Aug
Ban Ki Moon ziarani Nigeria
10 years ago
BBCSwahili28 Oct
Ban Ki Moon ziarani Pembe ya Afrika
10 years ago
BBCSwahili02 Jun
Ban Ki-Moon alaani yanayojiri S.kusini