HAKUNA NCHI INAYOWEZA KUSIMAMA PEKE YAKE-BAN KI MOON
![](http://1.bp.blogspot.com/-aGJZUqzDQwQ/VGwKc-Ay-GI/AAAAAAAGyJw/34z4hNqTe60/s72-c/unnamed%2B(23).jpg)
Na Mwandishi Maalum, New York Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki Moon, amesema, kutokana na dunia kukabiliwa na matatizo mengi na ambayo yanatokea kwa wakati mmoja.Kuanzia mlipuko wa Ebola, vita na machafuko , ugadi, uhalifu wa kupangwa na mabadiliko ya tabia nchi. Hakuna nchi ambayo inaweza kujidai kwamba inaweza kusimama peke yake. Ameyasema hayo siku ya jumanne wakati alipokuwa akibadilishana mawazo na wajumbe wa Kamati ya Maandalizi ya Mkutano wa Nne wa Dunia...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-I26kTZuhyY0/VdpU44XREXI/AAAAAAAADKw/t1zw5lxJF2g/s72-c/2015-08-22%2B12.59.00.jpg)
"Muumbaji wa ndoa ni Mungu peke yake............Hakuna mwalimu wa ndoa hapa duniani" - Tumaini Kilangwa
![](http://3.bp.blogspot.com/-I26kTZuhyY0/VdpU44XREXI/AAAAAAAADKw/t1zw5lxJF2g/s640/2015-08-22%2B12.59.00.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-DjdzOO_je3U/U3v0dT23XbI/AAAAAAAFkFs/xd1ayJmaJn0/s72-c/unnamed.jpg)
Ban Ki Moon AIPONGEZA TANZANIA KWA ULIPAJI WA MICHANGO YAKE
5 years ago
MichuziCHUGAZO-HAKUNA MWANAUME ANAKUWA JUU BILA KUSIMAMA KWENYE MABEGA YA MWANAMKE
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-FfJnxUXLJj0/XvXscg-zclI/AAAAAAALvjA/zonwijo43usXSk-CO5Sg4BJ0xvJJfxHhgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200625-WA0526.jpg)
MKUU WA MKOA WA ARUSHA IDD KIMANTA AMTAKA DC BALELE KUSIMAMA VEMA KUHAKIKISHA HAKUNA HATI CHAFU MONDULI
MKUU wa Mkoa wa Arusha Idd Kimanta amemueleza Mkuu wa Wilaya ya Monduli ACP Edward Balele kuwa Wilaya ya Monduli haijawai kupata hati chafu tokea Serikali ya awamu ya tano iingie madarakani, hivyo amemtaka aendelee kusimamia vyema ili hati chafu isiwepo..
Kimanta ameyasema hayo alipokuwa akimkabidhi ofisi Mkuu huyo wa Wilaya katika ofisi za Wilaya ya Monduli na kisha kuzungumza na watumishi wa ofisi ya mkuu wa Wilaya na halmashauri.Amemtaka Mkuu uyo wa...
10 years ago
Raia Tanzania27 Jul
Zitto: ACT itasimama peke yake
KIONGOZI wa chama cha ACT – Wazalendo, Zitto Kabwe, amesema chama hicho hakitaungana na kingine chochote kutokana na misingi waliyojiwekea.
Akizungumza na wanachama wa ACT wenye nia ya kugombea nafasi za ubunge mkoani Dar Zitto alisema chama hicho kuungana na chama chenye misingi tofauti kutapoteza maana ya kuwapo kwake.
“Tukifanya hivyo hakutakuwa na sababu ya kuwapo kwa ACT – Wazalendo,” alisema Zitto.
Alisema ACT itasafiri peke yake katika Uchaguzi Mkuu ujao kwa kuwa vyama...
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/74170000/jpg/_74170569_021804091.jpg)
9 years ago
BBCSwahili24 Aug
Ban Ki Moon ziarani Nigeria
9 years ago
Habarileo20 Aug
Ligi bara kumnufaisha bingwa peke yake
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) jana lilitoa ratiba ya Ligi Kuu Tanzania Bara inayotarajiwa kuanza Septemba 12 mwaka huu na ambayo safari hii bingwa pekee ndiye ataiwakilisha nchi kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika.
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-fZD8B-F9Jp4/Vd3jl7foUEI/AAAAAAAAlTg/ffViQLUH6vg/s72-c/b1.jpg)
MAGUFULI ASIMAMIA SHOW PEKE YAKE TUNDUMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-fZD8B-F9Jp4/Vd3jl7foUEI/AAAAAAAAlTg/ffViQLUH6vg/s640/b1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-17n1kE5t1Uk/Vd3YOO1ksGI/AAAAAAAAlSI/XrWZX6ef9F4/s640/b2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-F1jENiWjxJg/Vd3YPKYXyfI/AAAAAAAAlSU/diIF2gfgXj8/s640/b3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-zB2AFK_qdLk/Vd3YQkzn7dI/AAAAAAAAlSc/aUycWtNRep8/s640/b5.jpg)