Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CHUGAZO-HAKUNA MWANAUME ANAKUWA JUU BILA KUSIMAMA KWENYE MABEGA YA MWANAMKE

Mkuu wa Idara ya Ujenzi wa Nguvu za Pamoja (TAPO) TGNP Grace Kisetu akifungua warsha ya kuhusu ufuatiliaji wa kazi za uhamasishaji wa jamii juu ya umuhimu wa wanawake kushiriki katika nafasi na michakato ya maamuzi na uongozi leo Jumamosi Februari 15,2020 katika Ukumbi wa Vijana Center Mjini Shinyanga. Picha zote na Kadama Malunde 1 blog.Mkuu wa Idara ya Ujenzi wa Nguvu za Pamoja (TAPO) TGNP Grace Kisetu akifungua warsha ya kuhusu ufuatiliaji wa kazi za uhamasishaji wa jamii juu ya umuhimu...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Hakuna Mwanaume Rijali Anayeweza kuwa na Mwanamke Mmoja tu

Kwa wale nitakaowakwaza naomba mniwie radhi lakini kweli hata mimi hainipendezi kuyasema haya ila ni vema tu niwaeleze dada zangu kwasababu ukweli unaoumiza ni bora, kuliko uongo unaofurahisha.Hakuna mwanaume riijali anayeweza kuwa na mwanamke mmoja, eidha awe ameoa au hata kama hajaoa. Hakuna mwanaume wa aina hiyo Karne hii, usijidanganye kukimbilia kwenye ndoa ukiamini kwamba baada ya kuolewa utajimilikisha huyo mwanaume aliyekuoa, never.
"Mchele mmoja mapishi mbalimbali", utakuta wewe...

 

9 years ago

MillardAyo

Ukienda bila shati na viatu mgahawani Australia hakuna huduma.. wala hawatanii kwenye hii..!!

Kuna wakati Vyuo vikuu Tanzania ilibidi zianze kutangazwa na kupitishwa kanuni za mavazi ambayo wanafunzi wanatakiwa kuvaa, ule uhuru ulifanya wengine kuvaa mpaka nguo ambazo sio sahihi kuvaa hadharani !! Pata picha ni mgahawani na bado hauruhusiwi kuvaa nguo za aina fulani. Mgahawa huo wa McDonald ulipo maeneo ya Oak Wood, Melbourne Australia waliweka tangazo la […]

The post Ukienda bila shati na viatu mgahawani Australia hakuna huduma.. wala hawatanii kwenye hii..!! appeared first on...

 

10 years ago

Michuzi

HAKUNA NCHI INAYOWEZA KUSIMAMA PEKE YAKE-BAN KI MOON

Na Mwandishi Maalum, New York  Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki Moon, amesema, kutokana na dunia kukabiliwa na matatizo mengi na ambayo yanatokea kwa wakati mmoja.Kuanzia mlipuko wa Ebola, vita na machafuko , ugadi, uhalifu wa kupangwa na mabadiliko ya tabia nchi.  Hakuna nchi ambayo inaweza kujidai kwamba inaweza kusimama peke yake. Ameyasema hayo siku ya jumanne wakati alipokuwa akibadilishana mawazo na wajumbe wa Kamati ya Maandalizi ya Mkutano wa Nne wa Dunia...

 

5 years ago

Michuzi

MKUU WA MKOA WA ARUSHA IDD KIMANTA AMTAKA DC BALELE KUSIMAMA VEMA KUHAKIKISHA HAKUNA HATI CHAFU MONDULI

Na Woinde Shizza , Michuzi Tv-Monduli

MKUU wa Mkoa wa Arusha Idd Kimanta amemueleza Mkuu wa Wilaya ya Monduli ACP Edward Balele kuwa Wilaya ya Monduli haijawai kupata hati chafu tokea Serikali ya awamu ya tano iingie madarakani, hivyo amemtaka aendelee kusimamia vyema ili hati chafu isiwepo..

Kimanta ameyasema hayo alipokuwa akimkabidhi ofisi Mkuu huyo wa Wilaya katika ofisi za Wilaya ya Monduli na kisha kuzungumza na watumishi wa ofisi ya mkuu wa Wilaya na halmashauri.Amemtaka Mkuu uyo wa...

 

10 years ago

GPL

NANI ANASTAHILI KUHONGWA, MWANAUME AU MWANAMKE?

NAMSHUKURU sana Mungu kwa kuweza kunikutanisha na wewe rafiki wa safu hii. Nafurahi kupata meseji zenu ambazo zinaonesha jinsi gani mliguswa na mada ya wiki iliyopita iliyokuwa na ujumbe wenye tafsiri ya kujiongeza pale unapoona umpendaye hapokei simu, hajibu meseji, mapenzi yamepungua.
Nilishauri kama ukiona mpenzi wako ana sifa hizo, ujiongeze haraka na kuchukua hatua. Hakuna haja ya kuendelea kukaa na mtu ambaye tayari hana...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Dk. Nagu: Mwanamke anahitaji jitihada za mwanaume

IMEELEZWA kuwa harakati za kumkomboa mwanamke katika suala la kugombea nafasi mbalimbali za uongozi, sio lake peke yake bali zinahitajika jitihada za wanaume pia. Kauli hiyo imetolewa jijini Dar es...

 

9 years ago

Michuzi

JE NI WAJIBU MWANAMKE KUMTUNZA MWANAUME KISHERIA?.

Na  Bashir  Yakub.Kisheria  ndoa inapokuwa  imefungwa   kuna  haki  za  msingi  ambazo  huibuka.  Hizi  huitwa  haki  za  moja  kwa  moja  ( automatic  right). Huitwa  haki  za  moja  kwa  moja   kwakuwa   hazina  uhiari  katika  kutekelezwa  kwake.  Kuwapo  kwa  ndoa  ndio  kuwapo  kwake  na  hivyo  haihitaji  mtu  kuziomba. Kimsingi  haki  hizi  zipo  nyingi  ambapo  tutaona  baadhi  yake hapa   huku  makala  yakijikita  katika   haki  moja ya  matunzo  kwa  wanandoa.


1.BAADHI  YA  HAKI ...

 

10 years ago

GPL

IRENE PAUL AISHI NA MWANAUME BILA NDOA

Na Rhoda Josiah Angelina Jolie wa Bongo’ Irene Paul amekiri kuwa kwa sasa hajaolewa ila anaishi na mwanaume kwa kumpikia na kumpakulia. Angelina Jolie wa Bongo, 'Irene Paul'. Akiongea hivi karibuni, Irene ambaye mara nyingi ni mchoyo wa kuyaanika maisha yake ya kimapenzi alisema; “Sipendi watu wajue kuhusu maisha yangu nje ya sanaa. Kwa kifupi sijaolewa ila sitafuti mpenzi kwani nina mtu ambaye tuko siriasi...

 

10 years ago

GPL

MAHAKAMA YAKUBALI ALIYEKUWA MWANAUME AWE MWANAMKE

Audrey Mbugua akiwa nje ya mahakama ya awali. MAHAKAMA Kuu imeamuru Baraza la Kitaifa la Mitihani Kenya (KNEC), libadilishe jina cheti cha mlalamikaji ambaye amekuwa akipigana atambuliwe kuwa mwanamke. Jaji Weldon Korir jana Jumanne aliagiza KNEC impe cheti kipya…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani