JE NI WAJIBU MWANAMKE KUMTUNZA MWANAUME KISHERIA?.
Na Bashir Yakub.Kisheria ndoa inapokuwa imefungwa kuna haki za msingi ambazo huibuka. Hizi huitwa haki za moja kwa moja ( automatic right). Huitwa haki za moja kwa moja kwakuwa hazina uhiari katika kutekelezwa kwake. Kuwapo kwa ndoa ndio kuwapo kwake na hivyo haihitaji mtu kuziomba. Kimsingi haki hizi zipo nyingi ambapo tutaona baadhi yake hapa huku makala yakijikita katika haki moja ya matunzo kwa wanandoa.
1.BAADHI YA HAKI ...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Global Publishers19 Dec
Nani ana wajibu wa kujishusha, mwanamke au mwanaume?-2
WIKI iliyopita tuliianza mada hii nzuri yenye elimu kuhusu mpango wa Mungu katika ndoa.
Tuliishia pale Mungu alipokuwa akitoa adhabu kwa nyoka. Adhabu hiyo pia aliitoa kwa mwanaume (Adam) na kwa mwanamke (Eva).
ENDELEA SASA…
Mwanamke aliambiwa atazaa kwa uchungu, huo ndiyo uhalisia. Hadi leo mwanamke anaendelea kuzaa kwa uchungu. Jukumu hilo ni la kwake, si la mwanaume. Mwanaume anatekeleza lile la kwake la kutafuta na kula kwa jasho.
Hii ina maana kubwa sana katika maisha yetu. Kweli...
10 years ago
Mwananchi22 Jan
Fahamu haki na wajibu wa mfanyakazi kisheria
10 years ago
Mwananchi19 Feb
Fahamu haki, wajibu wa mwanahisa kisheria
10 years ago
Mwananchi04 Dec
Mwanamke ana haki ya kumiliki mali kisheria
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yKWLMefqYBzAVcezIo62uF653oFqKXWtK-03iJZJmuLGoBpXEGkUc49EC9CgH2B1ZNsnq4CqI9L5QsMMdST5AwmmoDoxnihR/C.jpg?width=650)
NANI ANASTAHILI KUHONGWA, MWANAUME AU MWANAMKE?
10 years ago
Tanzania Daima05 Dec
Dk. Nagu: Mwanamke anahitaji jitihada za mwanaume
IMEELEZWA kuwa harakati za kumkomboa mwanamke katika suala la kugombea nafasi mbalimbali za uongozi, sio lake peke yake bali zinahitajika jitihada za wanaume pia. Kauli hiyo imetolewa jijini Dar es...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/4hNukqhfhE3I-o05amPWD0K1pFdHBqkEX28XpfT6SasrodH5UkbPGYV2vlGoyCT92V-nvru9QOPMgo*HmidInexJNNhKXWJb/1JIKE.jpg?width=650)
MAHAKAMA YAKUBALI ALIYEKUWA MWANAUME AWE MWANAMKE
10 years ago
Mwananchi06 Dec
Hivi kuna urafiki kati ya mwanaume na mwanamke?
11 years ago
Mwananchi14 Mar
Mwanamke hupevuka kiakili mapema kuliko mwanaume