Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BAN KI MOON AZINDUA MWONGO WA NISHATI KWA WOTE (2014-2024 )

Na Mwandishi Maalum, New York   Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki Moon, jana alhamisi amezindua rasmi mwongo wa Nishati Endelevu kwa wote (SE4ALL) wakati wa mkutano unaohudhuriwa na wajumbe zaidi wa 1,000 wakiwamo zaidi ya mawaziri 20 wa Nishati 20 wafanyabishara, mashirika ya kimataifa yakiwamo ya fedha na Asasi zisizokuwa za kiserikali. Ujumbe wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Mkutano huu ulioanza Juni 4 na utamalizika Juni 6, unaongozwa na Waziri wa ...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MAWAZIRI WA NISHATI WAJADILI KUHUSU NISHATI ENDELEVU KWA WOTE

Sehemu ya Wajumbe wa Mkutano wa Mawaziri kuhusu nishati, mkutano ambao ulifunguliwa na Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Bw. Jan Eliasson siku ya Jumatano.Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Mhe. Charles Kitwanga akiwa katika Ukumbi wa Mikutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, unapofanyika mkutano wa Mawaziri wa Nishati kutoka mataifa mbalimbali duniani, mkutano ambao pia unawashirikisha wadau na wataalamu wanaohusika sekta ya nishati.
Na Mwandishi Maalum, New York
Naibu ...

 

10 years ago

Michuzi

MAWAZIRI WA NISHATI WAJADILI NISHATI ENDELEVU KWA WOTE.

Na Mwandishi Maalum, New York Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Mhe.Charles Kitwanga ( Mb), ni miongoni mwa mawaziri kutoka mataifa mbalimbali duniani wanaohudhuria mkutano wa kila mwaka kuhusu Nishati Endelevu kwa Wote (SE4All) Mkutano huu unafanyika hapa Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa, ambao siku ya jumatano mawaziri wameanza kujadili na kubadilisha uzefu kuhusu eneo hilo la nishati ambalo linaelezwa kuwa ni muhimu kwa maendeleo endelevu kijamii, kiuchumi na ...

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI WA NISHATI NA MADINI GEORGE SIMBACHAWENE AFUNGUA MKUTANO WA KUJADILI NISHATI ENDELEVU NCHINI KWA WOTE

 Waziri wa Nishati na Madini  George Simbachawene akifungua mkutano  kwa ajili ya  kujadili nishati endelevu  nchini kwa wote ( Tanzania Sustainable  Energy for  All)  ulioshirikisha  sekta binfasi,  wataamu  kutoka Wizara ya Nishati na Madini pamoja na wadau wa nishati nchini.  Mkutano huo uliofanyika katika hoteli ya   Protea jijini  Dar es Salaam  lengo lake lilikuwa ni kubadilishana uzoefu kwa ajili ya kuboresha  sekta ya umeme  nchini. 

 Meneja   Hifadhi kutoka Shirika la WWF Nchini Dk....

 

5 years ago

Aljazeera.Com

Earthbound: Coronavirus dents NASA's 2024 return to moon

Earthbound: Coronavirus dents NASA's 2024 return to moon  Aljazeera.comNASA shuts down 2 more rocket facilities after engineer tests positive for Covid-19, in 'major setback' to 2024 Moon flight hopes  RTNASA delays work on Moon rocket during virus pandemic  BBC NewsSpaceX, NASA aim for historic crew launch in mid-May despite coronavirus outbreak  Space.comSpace to Ground: In Times of Adversity: 03/20/2020  NASA JohnsonView Full coverage on Google...

 

11 years ago

Michuzi

Ban Ki Moon AIPONGEZA TANZANIA KWA ULIPAJI WA MICHANGO YAKE

Na Mwandishi Maalum  Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki Moon, ametoa shukrani na pongezi za pekee kwa kuwa moja ya nchi 29 kati ya 193 ambazo hadi kufikia Mei Sita mwaka huu, zilikuwa zimelipia kwa ukamilifu na kwa wakati michango yake katika Umoja wa Mataifa.  Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni kati ya nchi hizi ambazo katibu Mkuu amezipongeza. Tanzania imelipa zaidi ya dola za kimarekani 450,000 kama sehemu ya michango yake kwa Chombo hicho cha Kimataifa.  Na kwa...

 

10 years ago

Michuzi

BAADA YA UCHAGUZI WA AMANI, BURUNDI BAN KI MOON ATAKA KUTEJEA KWA MAZUNGUMZO

Na Mwandishi Maalum, New York.
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki Moon, amezitaka pande zinazopingana nchini Burundi kubaki watulivu na kurejea mara moja katika meza ya majadiliano jumuishi ya kisiasa ili kumaliza tofauti zao na kujadili changamoto zinazolikabili taifa lao.
Kwa mujibu wa Taarifa iliyotolewa na Msemaji wa Katibu Mkuu, Julai 23, Ban Ki Moon ametambua hali ya Amani na utulivu iliyotawala wakati wa uchaguzi wa Rais wa nchi hiyo ( Burundi )uliofanyika Julai 21...

 

11 years ago

BBC

Viewpoint: CAR needs help - Ban Ki-Moon

UN chief says CAR 'must not become another Rwanda'

 

9 years ago

BBCSwahili

Ban Ki Moon ziarani Nigeria

Katibu mkuu wa umoja wa mataifa Ban Ki-moon amewasili jana nchini Nigeria kuanza ziara ya siku mbili.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ban Ki Moon ziarani Pembe ya Afrika

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki Moon yuko nchini Ethiopia kujadili mlipuko wa Ebola.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani