Michango ya kampeni yawaliza wagombea CCM
>Michango ya kampeni za kujinadi kwa wananchi katika majimbo mbalimbali nchini imelalamikiwa na baadhi ya wanachama wa CCM wanaowania kuteuliwa kugombea ubunge.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi29 Jul
WAGOMBEA UBUNGE CCM WAKAMILISHA KAMPENI ZAO KATIKA KATA 25 JIJINI ARUSHA


10 years ago
GPL
CCM WAZINDUA KAMPENI ZA KUWAWANADI WAGOMBEA WAKE KATIKA MTAA WA OSTERBAY,JIJINI DAR
10 years ago
Vijimambo
TAARIFA YA TATHIMINI YA KAMPENI ZA UCHAGUZI KWA WAGOMBEA KWA TIKETI YA CCM.

Hadi jana, tarehe 16 September 2015, Mgombea Urais wa CCM, Dr. John Pombe Magufuli, alikuwa amekwishafanya kampeni katika mikoa 12 na Majimbo 94. Amekwishafanya mikutano mikubwa ya hadhara 76 na mikutano ya barabarani 381. Amekwishatembea, kwa gari, jumla ya kilomita 13,720. Kwa ujumla amekwishakutana, moja kwa moja, na asilimia zaidi ya 30 ya wapiga kura. Kwa kuwa baadhi ya mikutano yetu inatangazwa moja kwa moja na redio za kijamii na luninga, wapiga kura...
10 years ago
Mwananchi24 Jun
Wagombea urais wahamishia kampeni bungeni
10 years ago
Michuzi
WAGOMBEA 38 NAFASI ZA UBUNGE WALIYOWEKEWA PINGAMIZI KUENDELEA NA KAMPENI.

Na Anitha Jonas – MAELEZO.TUME ya Taifa ya Uchaguzi nchini imefuta rufaa 38 za wagombea nafasi za ubunge kati ya 54 zilizowasilishwa kupinga baadhi ya wagombea hao kwa kuwatuhumu kutotimiza vigezo mbalimbali na kusema wagombea hao wanaweza kuendelea na Kampeni majimboni mwao.
Kauli hiyo ilitolewa jana jijini Dar es Salaam Mkurugenzi wa Uchaguzi Bw.Kailima Ramadhan kwenye mkutano na waandishi wa habari.Alisema kuwa baada ya...
10 years ago
Mzalendo Zanzibar02 Sep
NEC yaruhusu wagombea Ubunge waliopingwa kuendelea na kampeni
Damian Lubuva – Mwenyekiti NEC Tuesday, September 1, 2015 Na Anitha Jonas – Habari/Maelezo via blogu ya Serikali TUME ya Taifa ya Uchaguzi nchini imefuta rufaa 38 za wagombea nafasi za ubunge kati ya 54 zilizowasilishwa […]
The post NEC yaruhusu wagombea Ubunge waliopingwa kuendelea na kampeni appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Vijimambo
WanaCCM watahadharishwa na wagombea wanaoanza kampeni kabla ya wakati


10 years ago
Vijimambo21 Sep
KAMPENI ZA CCM ZAPAMBA MOTO,MWIGULU,LOVENESS MAMUYA WASHIRIKI UFUNGUZI WA KAMPENI KISESA-MEATU





