Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WanaCCM watahadharishwa na wagombea wanaoanza kampeni kabla ya wakati


Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa Balozi Seif Ali Iddi akiwa sambamba na Mwenyekiti Mstaafu wa CCM Taifa Mzee Ali Hassan Mwinyi wakikata utepe kuashiria kuzinduliwa kwa Jengo la Ofisi ya Tawi la CCM la Kijiji cha Ghana Jimboni Uzini Mkoa wa Kusini Unguja.Balozi Seif akiwa na Mjumbe wa Kamati ya Siasa ya Mkoa wa Kusini Unguja aliyepo Kati kati Dr. Idriss Muslim Hijja na Mwakilishi wa Jimbo la Uzini Mh. Moh’d Raza wakifurahia mazingira safi ya Ofisi Mpya ya CCM Tawi la Ghana mara baada ya...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

SAMIA SULUHU HASSAN AWAONYA WANA CCM WALIOANZA KAMPENI KABLA YA WAKATI,ASEMA WANAYO MAJINA YAO

Na Said Mwishehe,Michuzi Globu ya jamiiMAKAMU wa Rais Samia Suluhu Hassan amewaambia wanachama wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) huu ni mwaka wa Uchaguzi Mkuu na tayari kuna watu wameanza kujipitisha kwenye kata na majimbo kabla ya wakati, hivyo ametoa onyo kwa yoyote anayejipitisha mapema atachukuliwa hatua kwa mujibu wa kanuni na miongozo ya Chama hicho.Mama Samia ameyasema hayo leo Februari 13,2020 kwenye mkutano wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dar es Salaam. Mkutano huo ulihudhuria na...

 

9 years ago

Dewji Blog

Viongozi wa vyama vya siasa, wagombea na washabiki watahadharishwa Singida

SAM_0134

Mkuu wa wilaya ya Singida, Bwana Saidi Amanzi akisisitiza jambo wakati wa ufungaji wa mafunzo ya wiki moja kwa wanawake wanaojihusisha na kilimo cha mboga mboga wilayani Singida.

SAM_0141

Mkuu wa wilaya ya Singida, Bwana Saidi Amanzi(aliyekaa katikati) akiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa mafunzo ya wiki moja kwa wakulima wa mboga mboga wilaya ya Singida vijijini waliohudhuria mafunzo hayo kwenye majengo ya Shirika la kuhudumia viwanda vidogo (SIDO)Mkoani Singida.

SAM_0125

Mmoja wa washiriki wa...

 

10 years ago

Habarileo

Pinda ataka WanaCCM kutobagua wagombea

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda.MGOMBEA wa Urais kupitia CCM, Waziri Mkuu, Mizengo Pinda amewataka wanachama wa chama hicho tawala mkoani Njombe kuendelea kujitokeza kwa wingi na kuendelea kuwadhamini wagombea mbalimbali waliochukua fomu na watakaochukua fomu za kugombea nafasi ya Urais bila kubagua mgombea yoyote.

 

10 years ago

Mwananchi

January,makamba,wanaCCM,halmashauri,Taifa,January,Membe,wagombea,mapinduzi,chama,maoni,Amina,Migiro

Wagombea wa urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) wametoa maoni yao kwa kupitishwa katika tano bora.

 

10 years ago

Michuzi

LOWASSA AHITIMISHA ZIARA YA KUTAFUTA WANACCM WA KUMDHAMINI MKOANI MOROGORO LEO, ADHAMINIWA NA WANACCM 104,038

Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward Lowassa akisalimiana na Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Morogoro Mjini, Fikiri Juma, pindi alipowasili kwenye Ofisi za CCM Mkoa wa Morogoro, leo Juni 29, 2015 kwa ajili ya kukabidhiwa orodha ya majina ya WanaCCM waliomdhani ili apate ridhaa ya chama chake kuwania Urais wa Tanzania kwenye Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, 2015. Kulia ni Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Morogoro, Innocent Kalageris. Mh. Lowassa...

 

10 years ago

Mwananchi

Sababu za kuenea Kiswahili kabla na wakati wa ukoloni

Ukuaji na ueneaji ni maneno mawili yenye maana zinazokaribiana lakini zinazotofautiana. Ukuaji humaanisha ongezeko la msamiati katika lugha na ueneaji ni uongezekaji wa matumizi ya lugha kieneo.

 

10 years ago

Habarileo

CCM yawaita 16 kwa kuanza kampeni kabla

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma kimewaita kwenye Kamati ya Kanuni na Maadili wanachama wake 16 kwa kuvunja miiko ya chama hicho kwa kuanza kampeni kabla ya wakati.

 

10 years ago

Mwananchi

Michango ya kampeni yawaliza wagombea CCM

>Michango ya kampeni za kujinadi kwa wananchi katika majimbo mbalimbali nchini imelalamikiwa na baadhi ya wanachama wa CCM wanaowania kuteuliwa kugombea ubunge.

 

10 years ago

Mwananchi

Wagombea urais wahamishia kampeni bungeni

Harakati za wagombea urais wa Jamhuri ya Muungano kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), jana zilihamia katika ukumbi wa Bunge ambapo kila mmoja wao alikuwa akitafuta mbinu za kusalimiana na wabunge.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani