WanaCCM watahadharishwa na wagombea wanaoanza kampeni kabla ya wakati
![](http://3.bp.blogspot.com/-yrerSPc4zHs/VOGfT7fBtfI/AAAAAAABlSk/HzGtAHAMxfs/s72-c/813.jpg)
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa Balozi Seif Ali Iddi akiwa sambamba na Mwenyekiti Mstaafu wa CCM Taifa Mzee Ali Hassan Mwinyi wakikata utepe kuashiria kuzinduliwa kwa Jengo la Ofisi ya Tawi la CCM la Kijiji cha Ghana Jimboni Uzini Mkoa wa Kusini Unguja.
Balozi Seif akiwa na Mjumbe wa Kamati ya Siasa ya Mkoa wa Kusini Unguja aliyepo Kati kati Dr. Idriss Muslim Hijja na Mwakilishi wa Jimbo la Uzini Mh. Moh’d Raza wakifurahia mazingira safi ya Ofisi Mpya ya CCM Tawi la Ghana mara baada ya...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-LNuc1IkWRw0/XkVrVy39BoI/AAAAAAALdRk/0qE4JR4Y8ecnNUk8tP6HvK1ZnLxk1qlpQCLcBGAsYHQ/s72-c/23.jpg)
SAMIA SULUHU HASSAN AWAONYA WANA CCM WALIOANZA KAMPENI KABLA YA WAKATI,ASEMA WANAYO MAJINA YAO
![](https://1.bp.blogspot.com/-LNuc1IkWRw0/XkVrVy39BoI/AAAAAAALdRk/0qE4JR4Y8ecnNUk8tP6HvK1ZnLxk1qlpQCLcBGAsYHQ/s320/23.jpg)
9 years ago
Dewji Blog18 Oct
Viongozi wa vyama vya siasa, wagombea na washabiki watahadharishwa Singida
Mkuu wa wilaya ya Singida, Bwana Saidi Amanzi akisisitiza jambo wakati wa ufungaji wa mafunzo ya wiki moja kwa wanawake wanaojihusisha na kilimo cha mboga mboga wilayani Singida.
Mkuu wa wilaya ya Singida, Bwana Saidi Amanzi(aliyekaa katikati) akiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa mafunzo ya wiki moja kwa wakulima wa mboga mboga wilaya ya Singida vijijini waliohudhuria mafunzo hayo kwenye majengo ya Shirika la kuhudumia viwanda vidogo (SIDO)Mkoani Singida.
Mmoja wa washiriki wa...
10 years ago
Habarileo19 Jun
Pinda ataka WanaCCM kutobagua wagombea
MGOMBEA wa Urais kupitia CCM, Waziri Mkuu, Mizengo Pinda amewataka wanachama wa chama hicho tawala mkoani Njombe kuendelea kujitokeza kwa wingi na kuendelea kuwadhamini wagombea mbalimbali waliochukua fomu na watakaochukua fomu za kugombea nafasi ya Urais bila kubagua mgombea yoyote.
10 years ago
Mwananchi12 Jul
January,makamba,wanaCCM,halmashauri,Taifa,January,Membe,wagombea,mapinduzi,chama,maoni,Amina,Migiro
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-YZ5P2mK3A2U/VZFi_IKv73I/AAAAAAAHloI/Jo7tvucQweI/s72-c/MMGL0058.jpg)
LOWASSA AHITIMISHA ZIARA YA KUTAFUTA WANACCM WA KUMDHAMINI MKOANI MOROGORO LEO, ADHAMINIWA NA WANACCM 104,038
![](http://2.bp.blogspot.com/-YZ5P2mK3A2U/VZFi_IKv73I/AAAAAAAHloI/Jo7tvucQweI/s640/MMGL0058.jpg)
10 years ago
Mwananchi14 Oct
Sababu za kuenea Kiswahili kabla na wakati wa ukoloni
10 years ago
Habarileo27 May
CCM yawaita 16 kwa kuanza kampeni kabla
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma kimewaita kwenye Kamati ya Kanuni na Maadili wanachama wake 16 kwa kuvunja miiko ya chama hicho kwa kuanza kampeni kabla ya wakati.
10 years ago
Mwananchi28 Jul
Michango ya kampeni yawaliza wagombea CCM
10 years ago
Mwananchi24 Jun
Wagombea urais wahamishia kampeni bungeni