Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CCM yawaita 16 kwa kuanza kampeni kabla

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma kimewaita kwenye Kamati ya Kanuni na Maadili wanachama wake 16 kwa kuvunja miiko ya chama hicho kwa kuanza kampeni kabla ya wakati.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Taarifa ya CCM juu ya Wanaofanya Kampeni Kabla Ya Muda

Katibu wa NEC,Itikadi na Uenezi,Nape Nnauye.

 

5 years ago

Michuzi

WANACHAMA WA CCM LUDEWA MKOANI NJOMBE WAASWA KUACHA KUCHAFUANA NA KUFANYA KAMPENI KABLA YA MUDA


Na Shukrani Kawogo-Michuzi TV, Njombe.

Wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wenye nia ya kugombea nafasi mbalimbali za uongozi wilayani Ludewa Mkoani Njombe ikiwemo nafasi ya ubunge wametakiwa kuacha kuchafuana na kufanya kampeni kabla ya nafasi hizo kutangazwa kuwa wazi kwani kwa watakaobainika watachukuliwa hatua kali za kisheria ikiwemo kukatwa majina yao .

Hayo aliyasema katibu wa chama hicho wilayani humo Bakari Mfaume na kuongeza kuwa kumekuwa na matamanio kwa baadhi ya wanachama...

 

5 years ago

Michuzi

SAMIA SULUHU HASSAN AWAONYA WANA CCM WALIOANZA KAMPENI KABLA YA WAKATI,ASEMA WANAYO MAJINA YAO

Na Said Mwishehe,Michuzi Globu ya jamiiMAKAMU wa Rais Samia Suluhu Hassan amewaambia wanachama wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) huu ni mwaka wa Uchaguzi Mkuu na tayari kuna watu wameanza kujipitisha kwenye kata na majimbo kabla ya wakati, hivyo ametoa onyo kwa yoyote anayejipitisha mapema atachukuliwa hatua kwa mujibu wa kanuni na miongozo ya Chama hicho.Mama Samia ameyasema hayo leo Februari 13,2020 kwenye mkutano wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dar es Salaam. Mkutano huo ulihudhuria na...

 

5 years ago

CCM Blog

DK. MAGUFULI NA DK. SHEIN WATETA KABLA YA KUANZA KIKAO CHA KAMATI KUU YA HALMASHAURI KUU YA CCM, IKULU YA CHAMEINO MJINI DODOMA, LEO


Mwenyekiti wa CCM Rais Dk. John Magufuli akiwa na Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM, Rais wa Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein muda mfupi kabla ya kuanza kufanyika Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya  CCM katika Ikulu ya Chamwino mkoani Dodoma, leo.

 

11 years ago

Michuzi

KABLA YA KUANZA KWA MTANANGE WA WATANI WA JADI SIMBA NA YANGA-SOMO LATOLEWA KUHUSU MALARIA NO MORE

 Wasanii mahiri wanaounda kundi la THT wakiimba wimbo wa Malaria No More  kabla ya mechi kuanza ya watani wa jadi Simba na Yanga.Wakati Vodacom Tanzania  kushirikiana na Taasisi ya Malaria No More na THTwalipokuwa wakitangaza namba maalumu ambayo wateja wanaotumia huduma za kampuni hiyo wanaweza kuitumia kupata taarifa zinazohusiana na ugonjwa wa malaria. Ili mteja kuweza kupata taarifa hizo zinazohusisha jinsi ya kujikinga, tiba na masuala mengine mbalimbali ya Malaria anachopaswa mteja...

 

9 years ago

Dewji Blog

CCM kufunga kampeni zake kwa kishindo, Magufuli, Mgombea mwenza na Rais Kikwete kufunga kampeni Mkoani Mwanza

magufuli3

Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwa kwenye gari pamoja na Mgombea mwenza (picha  ya Maktaba yetu wakati wa kampeni zinazoendelea za wagombea hao).

CCM inapenda kutoa taarifa kuhusu masuala kadhaa kwa wanachama, wapenzi na mashabiki wake na kwa umma wa Watanzania.

Kufunga Kampeni

CCM itafunga kampeni zake kwa utaratibu mpya na kwa kishindo.  Kampeni za CCM zitafungwa Kitaifa kwa mikutano mikubwa ya kampeni katika mikoa mitano. Mikutano hiyo itaongozwa na viongozi...

 

10 years ago

Vijimambo

KAMPENI YA " NDIO ! FUSO NI FAIDA " KWA MIKOA ZAIDI YA 11 KUANZA LEO TAREHE 24 JULY ,2015 ,JIJINI DAR


Ndio! FusoniFaida is back!
Diamond Motors Limited is the country’s leading automobile distributor and the sole distributor of Mitsubishi Fuso Truck and Bus Corporation (MFTBC) in Tanzania. They will once again be launching the campaign, Ndio! FusoniFaida where over a 26-day 11 region Test Drive andRoad Show in which they will be showcasing the FJ and launching the FZ; Fuso medium and heavy-duty truck which are suitable for the purpose of mining, agriculture, construction, logistics and...

 

9 years ago

Vijimambo

TAARIFA YA TATHIMINI YA KAMPENI ZA UCHAGUZI KWA WAGOMBEA KWA TIKETI YA CCM.

MWENENDO WA KAMPENI ZA CCM
Hadi jana, tarehe 16 September 2015, Mgombea Urais wa CCM, Dr. John Pombe Magufuli, alikuwa amekwishafanya kampeni katika mikoa 12 na Majimbo 94. Amekwishafanya mikutano mikubwa ya hadhara 76 na mikutano ya barabarani 381. Amekwishatembea, kwa gari, jumla ya kilomita 13,720. Kwa ujumla amekwishakutana, moja kwa moja, na asilimia zaidi ya 30 ya wapiga kura. Kwa kuwa baadhi ya mikutano yetu inatangazwa moja kwa moja na redio za kijamii na luninga, wapiga kura...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani