Taarifa ya CCM juu ya Wanaofanya Kampeni Kabla Ya Muda
![](http://2.bp.blogspot.com/-nH5J27ID5U0/UwNj8gysPSI/AAAAAAAFNzc/f8n047o4J7U/s72-c/1+(1).jpg)
Katibu wa NEC,Itikadi na Uenezi,Nape Nnauye.
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-cwmbHT58lMc/XpatbGYzeDI/AAAAAAALm_o/Hvs9BdltRbIm4rPCvhSCaK_GxoxEcRPLACLcBGAsYHQ/s72-c/7066cc2d-7b52-427b-a960-1944637a0e26.jpg)
WANACHAMA WA CCM LUDEWA MKOANI NJOMBE WAASWA KUACHA KUCHAFUANA NA KUFANYA KAMPENI KABLA YA MUDA
Na Shukrani Kawogo-Michuzi TV, Njombe.
Wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wenye nia ya kugombea nafasi mbalimbali za uongozi wilayani Ludewa Mkoani Njombe ikiwemo nafasi ya ubunge wametakiwa kuacha kuchafuana na kufanya kampeni kabla ya nafasi hizo kutangazwa kuwa wazi kwani kwa watakaobainika watachukuliwa hatua kali za kisheria ikiwemo kukatwa majina yao .
Hayo aliyasema katibu wa chama hicho wilayani humo Bakari Mfaume na kuongeza kuwa kumekuwa na matamanio kwa baadhi ya wanachama...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar23 Oct
Taarifa ya CCM Juu ya Kufunga Kampeni Zake katika Mikoa Mbalimbali.
Friday, October 23, 2015 Taarifa ya CCM Juu ya Kufunga Kampeni Zake katika Mikoa Mbalimbali. CCM inapenda kutoa taarifa kuhusu masuala kadhaa kwa wanachama, wapenzi na mashabiki wake na kwa umma wa Watanzania. Kufunga Kampeni CCM […]
The post Taarifa ya CCM Juu ya Kufunga Kampeni Zake katika Mikoa Mbalimbali. appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
CCM Blog01 Nov
TAARIFA YA CCM JUU YA KUFUNGA KAMPENI ZAKE KATIKA MIKOA MBALI MBALI
CCM inapenda kutoa taarifa kuhusu masuala kadhaa kwa wanachama, wapenzi na mashabiki wake na kwa umma wa Watanzania.Kufunga KampeniCCM itafunga kampeni zake kwa utaratibu mpya na kwa kishindo. Kampeni za CCM zitafungwa Kitaifa kwa mikutano mikubwa ya kampeni katika mikoa mitano. Mikutano hiyo itaongozwa na viongozi wa CCM Kitaifa waliopo madarakani na wastaafu. Mikoa hiyo na viongozi watakaoongoza mikutano hiyo ni kama ifuatavyo:1. Mwanza – Ndugu Jakaya Mrisho Kikwete, Mwenyekiti wa CCM,...
10 years ago
Habarileo27 May
CCM yawaita 16 kwa kuanza kampeni kabla
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma kimewaita kwenye Kamati ya Kanuni na Maadili wanachama wake 16 kwa kuvunja miiko ya chama hicho kwa kuanza kampeni kabla ya wakati.
10 years ago
Vijimambo11 Jan
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-LNuc1IkWRw0/XkVrVy39BoI/AAAAAAALdRk/0qE4JR4Y8ecnNUk8tP6HvK1ZnLxk1qlpQCLcBGAsYHQ/s72-c/23.jpg)
SAMIA SULUHU HASSAN AWAONYA WANA CCM WALIOANZA KAMPENI KABLA YA WAKATI,ASEMA WANAYO MAJINA YAO
![](https://1.bp.blogspot.com/-LNuc1IkWRw0/XkVrVy39BoI/AAAAAAALdRk/0qE4JR4Y8ecnNUk8tP6HvK1ZnLxk1qlpQCLcBGAsYHQ/s320/23.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-vLfXd-bG2Es/Vijl3khwR2I/AAAAAAABKfY/svBNgeNE6fk/s72-c/CCM%2BLOGO.png)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUTOKA CCM KUHUSU KUFUNGA KAMPENI
![](http://3.bp.blogspot.com/-vLfXd-bG2Es/Vijl3khwR2I/AAAAAAABKfY/svBNgeNE6fk/s320/CCM%2BLOGO.png)
Kufunga Kampeni
CCM itafunga kampeni zake kwa utaratibu mpya na kwa kishindo. Kampeni za CCM zitafungwa Kitaifa kwa mikutano mikubwa ya kampeni katika mikoa mitano. Mikutano hiyo itaongozwa na viongozi wa CCM Kitaifa waliopo madarakani na wastaafu. Mikoa hiyo na viongozi watakaoongoza mikutano hiyo ni kama ifuatavyo:
1. Mwanza – Ndugu Jakaya Mrisho Kikwete, Mwenyekiti wa...
9 years ago
Michuzi23 Aug
KAMPENI ZA URAIS ZAANZA RASMI, TUME YATOA RATIBA ZA MAENEO NA MUDA WA KAMPENI
Tume ya Taifa ya uchaguzi inakutana na Kamati Maalumu inayo undwa na wajumbe kutoka vyama nane vilivyo na wagombea wa urais na makamo kuandaa Ratiba ya mikutano ya hadhara kurahisisha kubaini vyama vilivyopanga mkutano mmoja katika mkoa mmoja, wilaya moja, na Eneo moja kwa Tarehe mojaMkurugenzi wa NEC Kailima Ramadhani amesema anafarijika sana na ushirikiano wanaouonyesha Wawakilishi Wa vyama katika kuhakikisha mchakato kuwa wa Amani na utulivu bila kujali itikadi za vyama vyao kikao...
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-B7Z6GZEKVt8/VeROsDbeN4I/AAAAAAAA0QY/qgO9fhmgFLQ/s72-c/magufili%2Bkampeni.jpg)
TAARIFA YA TATHIMINI YA KAMPENI ZA UCHAGUZI KWA WAGOMBEA KWA TIKETI YA CCM.
![](http://1.bp.blogspot.com/-B7Z6GZEKVt8/VeROsDbeN4I/AAAAAAAA0QY/qgO9fhmgFLQ/s640/magufili%2Bkampeni.jpg)
Hadi jana, tarehe 16 September 2015, Mgombea Urais wa CCM, Dr. John Pombe Magufuli, alikuwa amekwishafanya kampeni katika mikoa 12 na Majimbo 94. Amekwishafanya mikutano mikubwa ya hadhara 76 na mikutano ya barabarani 381. Amekwishatembea, kwa gari, jumla ya kilomita 13,720. Kwa ujumla amekwishakutana, moja kwa moja, na asilimia zaidi ya 30 ya wapiga kura. Kwa kuwa baadhi ya mikutano yetu inatangazwa moja kwa moja na redio za kijamii na luninga, wapiga kura...