Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MDAU AKITAFAKARI KABLA YA KUANZA SAFARI...


Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

CCM yawaita 16 kwa kuanza kampeni kabla

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma kimewaita kwenye Kamati ya Kanuni na Maadili wanachama wake 16 kwa kuvunja miiko ya chama hicho kwa kuanza kampeni kabla ya wakati.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Safari za treni kuanza leo

KAMPUNI ya Reli Tanzania (TRL) imesema safari za treni ya abiria zilizosimama kutokana na reli kuharibiwa na mafuriko zitaanza leo. Akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam,...

 

11 years ago

Mwananchi

Dart kuanza safari jijini

Wakala wa Mradi wa Mabasi yaendayo kasi (DART) wamesema kuwa, mabasi machache ya mradi huo yataanza kutoa huduma zake kati ya Kimara hadi Kivukoni kabla ya utekelezaji wa awamu ya kwanza ya mradi kukamilika, mwaka huu.

 

11 years ago

GPL

LOWASSA ATANGAZA KUANZA SAFARI

Waziri Mkuu mstaafu na mbunge wa Monduli ametangaza kuanza safari ya kutimiza ndoto zake. Sikiliza hotuba yake ya mwaka mpya 2014 hapo juu!

 

9 years ago

BBCSwahili

Safari za treni kuanza tena Denmark

Usafiri wa treni nchini Denmark umejea tena baada ya hapo kusitishwa kwenda na kutoka Ujerumani baada ya kutokuelewana kati ya polisi na mamia ya wahamiaji.

 

11 years ago

Habarileo

Safari treni za TRL kuanza tena

TRENI ya abiria iendayo bara inatarajiwa kuanza tena huduma zake wiki ijayo baada ya kukamilika ukarabati wa daraja eneo la Bonde la Mto Ruvu, mkoani Pwani.

 

11 years ago

Michuzi

Mabasi machache kuanza kutoa huduma kabla ya awamu ya kwaza kuisha - DART

Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam.
Wakala wa Mradi wa Mabasi yaendayo aaraka (DART) umesema kabla ya utekelezaji wa awamu ya kwanza ya mradi kukamilika, mwaka huu kutakuwa na mabasi machache ambayo yataanza kutoa huduma ya usafiri kutoka Kimara hadi Kivukoni.
Kaimu Mtendaji Mkuu wa (DART), Bi. Asteria Mlambo aliwambia waandishi wa habari jijini Dar es Salaam hivi karibu kuwa utekelezaji wa awamu ya kwanza unaendelea vizuri na kabla ya kukamirika hapo mwakani,kutakuwa na mabasi machache...

 

10 years ago

Habarileo

Kivuko Dar kuanza safari zake kesho

KIVUKO cha Dar es Salaam hadi Bagamoyo kinatarajia kuanza safari zake kesho.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani