Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Safari za treni kuanza tena Denmark

Usafiri wa treni nchini Denmark umejea tena baada ya hapo kusitishwa kwenda na kutoka Ujerumani baada ya kutokuelewana kati ya polisi na mamia ya wahamiaji.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Safari treni za TRL kuanza tena

TRENI ya abiria iendayo bara inatarajiwa kuanza tena huduma zake wiki ijayo baada ya kukamilika ukarabati wa daraja eneo la Bonde la Mto Ruvu, mkoani Pwani.

 

10 years ago

Michuzi

TRENI YA ABIRIA KWENDA BARA KUANZA TENA SAFARI ZAKE MACHI 24, 2015

Uongozi wa Kampuni ya Reli Tanzania – TRL unafuraha kuwataarifu  abiria wote na wananchi kwa jumla  kuwa huduma ya treni ya abiria itaanza upya hapo siku ya Jumanne Machi 24, 2015 kuanzia Stesheni ya Dar es Salaam saa 11 jioni. 
Wananchi wanaotaka kusafiri wafike stesheni zilizo karibu yao kwa ajili ya kukata tiketi ya safari hiyo. 
Huduma ya usafiri wa reli ilisitishwa wiki mbili zilizopita Machi 6, 2015 baada ya eneo la tuta la  reli kati ya Stesheni za Kilosa na Kidete kukuharibiwa vibaya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Safari za treni kuanza leo

KAMPUNI ya Reli Tanzania (TRL) imesema safari za treni ya abiria zilizosimama kutokana na reli kuharibiwa na mafuriko zitaanza leo. Akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam,...

 

11 years ago

Michuzi

JUST IN: HUDUMA YA TRENI YA ABIRIA YA BARA KUANZA TENA JUMANNE JUNI 24, 2014

 Uongozi wa Kampuni ya Reli Tanzania – TRL unafuraha kuwataarifu  abiria wote na wananchi kwa jumla  kuwa kutokana na kukamilika ukarabati wa daraja eneo la bonde la mto Ruvu mkoani Pwani huduma ya treni ya abiria itaanza upya hapo siku ya Jumanne Juni 24, 2014 kutoka Stesheni ya Dar es Salaam saa 11 jioni. Wananchi wanotaka kusafiri wafike stesheni zilizo karibu yao kwa ajili ya kukata tiketi kuanzia  Juni 19, 2014.
Halikadhalika muda wa kuondoka treni kwa siku za Jumanne na Ijumaa...

 

11 years ago

Habarileo

Safari za treni TRL zasitishwa

UONGOZI wa Kampuni ya Reli Tanzania (TRL) umesitisha safari za treni ya abiria kutokana na kutetereka kwa mojawapo ya madaraja katika Bonde la Mto Ruvu katika reli ya kati.

 

11 years ago

Michuzi

congratulatory message to H.M Queen Margrethe II of Denmark on the occasion to celebrate the Constitution Day of Denmark

H.E Jakaya Mrisho Kikwete, President of the United Republic of Tanzania has sent a congratulatory message to H.M Queen Margrethe II of Denmark on the occasion to celebrate the Constitution Day of Denmark on 5th June 2014.


“Your Majesty Queen Margrethe II,

   The Queen of Denmark,

   Copenhagen,

   DENMARK. It is my pleasure on behalf of the people and the Government of the United Republic of Tanzania to extend to Your Majesty and through you to the people of Denmark my heartfelt...

 

10 years ago

Mtanzania

Treni mpya yaanza safari za Mwanza

Na Asifiwe George, Dar es Salaam
TRENI mpya ya kisasa ya Deluxe jana imeanza safari zake kutoka Dar es Salaam kuelekea Mwanza.
Akizungumza jijini Dar es Salaam jana Meneja Uhusiano wa Shirika la Reli Tanzania (TRL), Midladjy Maez, alisema safari hii ni ya pili tangu treni hiyo izinduliwe Aprili Mosi mwaka huu ambapo ilikwenda Kigoma.
“Safari za Delux zitakuwa kwa wiki mara moja, siku ya Jumapili itaondoka stesheni ya Dar es Salaam saa 2:00 usiku ikiwa na mabehewa 15.
“Treni hiyo itakuwa na...

 

11 years ago

Habarileo

Treni ya abiria bara kuanza leo

HUDUMA ya usafiri wa treni ya abiria kuelekea bara zinaanza rasmi leo, huku, Kampuni ya Reli ya Tanzania (TRL) ikiwahakikishia wananchi kutokuwa na hofu juu ya usafiri huo.

 

10 years ago

Mwananchi

Treni ya Mwakyembe kurejea tena

Miezi kadhaa baada treni ya kubeba abiria jijini Dar es Salaam kusitisha safari zake kutokana na ubovu, imeelezwa kuwa hali hiyo ni kutokana na uchakavu wa injini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani