Treni mpya yaanza safari za Mwanza
Na Asifiwe George, Dar es Salaam
TRENI mpya ya kisasa ya Deluxe jana imeanza safari zake kutoka Dar es Salaam kuelekea Mwanza.
Akizungumza jijini Dar es Salaam jana Meneja Uhusiano wa Shirika la Reli Tanzania (TRL), Midladjy Maez, alisema safari hii ni ya pili tangu treni hiyo izinduliwe Aprili Mosi mwaka huu ambapo ilikwenda Kigoma.
“Safari za Delux zitakuwa kwa wiki mara moja, siku ya Jumapili itaondoka stesheni ya Dar es Salaam saa 2:00 usiku ikiwa na mabehewa 15.
“Treni hiyo itakuwa na...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-eR65OgyYB6U/VSuStw0a5zI/AAAAAAAAapk/8zJHm94NcGE/s72-c/1.jpg)
Treni Mpya Ya Kisasa Yaanza Safari za Mwanza kuelekea Dar
![](http://3.bp.blogspot.com/-eR65OgyYB6U/VSuStw0a5zI/AAAAAAAAapk/8zJHm94NcGE/s640/1.jpg)
Treni mpya ya kisasa ya Deluxe jana imeanza safari zake kutoka Dar es Salaam kuelekea Mwanza.
Akizungumza jijini Dar es Salaam jana Meneja Uhusiano wa Shirika la Reli Tanzania (TRL), Midladjy Maez, alisema safari hii ni ya pili tangu treni hiyo izinduliwe Aprili Mosi mwaka huu ambapo ilikwenda Kigoma.“Safari za Delux zitakuwa kwa wiki mara moja, siku ya Jumapili itaondoka stesheni ya Dar es Salaam saa 2:00 usiku ikiwa na mabehewa 15.
“Treni hiyo itakuwa na madaraja matatu ambapo daraja la...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-rPYlJPuBRAE/VRWaSpx1mwI/AAAAAAABpvU/YS9SYgVkprE/s72-c/a1.jpg)
FASTJET YAZINDUA SAFARI MPYA KUTOKA KILIMANJARO KWENDA MWANZA
![](http://4.bp.blogspot.com/-rPYlJPuBRAE/VRWaSpx1mwI/AAAAAAABpvU/YS9SYgVkprE/s640/a1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-cmZSxa5d9Fk/VRWaZKqLn8I/AAAAAAABpvc/FwNL8fwRLC0/s640/2.jpg)
10 years ago
Dewji Blog01 Apr
Shirika la Ndege la FASTJET lazindua safari mpya kutoka Kilimanjaro — Mwanza na Kilimanjaro — Entebe Uganda
Meneja Mkuu wa Shirika la Ndege la Fastjet Tanzania Jimmy Kibati akiongea na wandishi wa habari Mkoani Arusha leo wakati wa uzinduzi wa safari mpya ya ndege ya Fastjet kutoka Kilimanjaro kwenda Mwanza na Kilimanjaro kwenda Entebe Uganda, pembeni yake kulia ni Lucy Mbogoro Afisa Mahusiano na Masoko na kushoto ni Neema David Afisa Biashara wote toka shirika hilo.
Meneja Mkuu wa Shirika la Ndege la Fastjet Tanzania Jimmy Kibati akimkabidhi tiketi mwandishi wa habari toka Tbc Sechelela...
9 years ago
BBCSwahili21 Sep
Treni ya umeme yaanza kutumika Ethiopia
11 years ago
Habarileo12 Jun
Safari za treni TRL zasitishwa
UONGOZI wa Kampuni ya Reli Tanzania (TRL) umesitisha safari za treni ya abiria kutokana na kutetereka kwa mojawapo ya madaraja katika Bonde la Mto Ruvu katika reli ya kati.
11 years ago
Tanzania Daima03 Jun
Safari za treni kuanza leo
KAMPUNI ya Reli Tanzania (TRL) imesema safari za treni ya abiria zilizosimama kutokana na reli kuharibiwa na mafuriko zitaanza leo. Akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam,...
11 years ago
Habarileo20 Jun
Safari treni za TRL kuanza tena
TRENI ya abiria iendayo bara inatarajiwa kuanza tena huduma zake wiki ijayo baada ya kukamilika ukarabati wa daraja eneo la Bonde la Mto Ruvu, mkoani Pwani.
9 years ago
BBCSwahili10 Sep
Safari za treni kuanza tena Denmark
11 years ago
Mwananchi13 Jun
TRL yasitisha safari za treni kwa siku saba