Safari treni za TRL kuanza tena
TRENI ya abiria iendayo bara inatarajiwa kuanza tena huduma zake wiki ijayo baada ya kukamilika ukarabati wa daraja eneo la Bonde la Mto Ruvu, mkoani Pwani.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili10 Sep
Safari za treni kuanza tena Denmark
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-SPGCZr2DBbY/VQxpHa7gh3I/AAAAAAAHLus/PdaCDPSakj0/s72-c/PHO-10Sep21-253577.jpg)
TRENI YA ABIRIA KWENDA BARA KUANZA TENA SAFARI ZAKE MACHI 24, 2015
![](http://4.bp.blogspot.com/-SPGCZr2DBbY/VQxpHa7gh3I/AAAAAAAHLus/PdaCDPSakj0/s1600/PHO-10Sep21-253577.jpg)
Wananchi wanaotaka kusafiri wafike stesheni zilizo karibu yao kwa ajili ya kukata tiketi ya safari hiyo.
Huduma ya usafiri wa reli ilisitishwa wiki mbili zilizopita Machi 6, 2015 baada ya eneo la tuta la reli kati ya Stesheni za Kilosa na Kidete kukuharibiwa vibaya...
11 years ago
Habarileo12 Jun
Safari za treni TRL zasitishwa
UONGOZI wa Kampuni ya Reli Tanzania (TRL) umesitisha safari za treni ya abiria kutokana na kutetereka kwa mojawapo ya madaraja katika Bonde la Mto Ruvu katika reli ya kati.
11 years ago
Mwananchi13 Jun
TRL yasitisha safari za treni kwa siku saba
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-KUjOL8Qy3DU/VPnCAKiTivI/AAAAAAAHIC0/fLHMio3x0YE/s72-c/mot_03.jpg)
TRL YASITISHA SAFARI ZA TRENI YA ABIRIA KWENDA BARA KUANZIA LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-KUjOL8Qy3DU/VPnCAKiTivI/AAAAAAAHIC0/fLHMio3x0YE/s1600/mot_03.jpg)
Kwa mujibu wa taarifa hiyo Wahandisi na Mafundi wa TRL wako katika eneo la tukio wakifanya tathmini ya jinsi zoezi la ukarabati utakavyofanyika na kwa muda gani.
Ikifafanua zaidi taarifa imeeleza kuwa tathmini ya mafundi hao...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-GGezIkr_pnc/VofMAVFBl5I/AAAAAAAIP2s/rYarBwOUMu0/s72-c/r.jpg)
TRL YASITISHA KWA MUDA SAFARI ZA TRENI YA BARA KUTOKANA NA MAFURIKO KATI YA MOROGORO NA DODOMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-GGezIkr_pnc/VofMAVFBl5I/AAAAAAAIP2s/rYarBwOUMu0/s320/r.jpg)
Uongozi wa Kampuni ya Reli Tanzania TRL umetangaza kusitisha kwa muda kuanzia jana Januari 01, 2016, huduma zake baada ya eneo la reli ya kati ya Kilosa mkoani Morogoro na Gulwe mkoani Dodoma tuta la reli kukumbwa na Mafuriko. Kwa mujibu wa taarifa za kifundi eneo lililoathiriwa na mafuriko ni kubwa hivyo Wahandisi na Mafundi wa TRL wako eneo la mafuriko kutathmini ukubwa wa kazi yenyewe. Kutokana na uamuzi huo treni ya abiria kutoka bara ilibidi safari yake ikatizwe ilipofika Dodoma na...
11 years ago
Tanzania Daima03 Jun
Safari za treni kuanza leo
KAMPUNI ya Reli Tanzania (TRL) imesema safari za treni ya abiria zilizosimama kutokana na reli kuharibiwa na mafuriko zitaanza leo. Akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam,...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-rAEb8F9Np1Y/U6K4o0Q3ooI/AAAAAAAFrrg/Kvk9M-WiEjc/s72-c/ABIRIA+WAKIDANDIA+TRENI.jpg)
JUST IN: HUDUMA YA TRENI YA ABIRIA YA BARA KUANZA TENA JUMANNE JUNI 24, 2014
![](http://4.bp.blogspot.com/-rAEb8F9Np1Y/U6K4o0Q3ooI/AAAAAAAFrrg/Kvk9M-WiEjc/s1600/ABIRIA+WAKIDANDIA+TRENI.jpg)
Halikadhalika muda wa kuondoka treni kwa siku za Jumanne na Ijumaa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ubXR7YtztVw/VQAfiYycuRI/AAAAAAAHJio/P5HbO1WIRCs/s72-c/unnamed%2B(2).jpg)
MABEHEWA 22 YA TRENI YA ABIRIA YA DELUXE NI MAPYA! - TRL
![](http://4.bp.blogspot.com/-ubXR7YtztVw/VQAfiYycuRI/AAAAAAAHJio/P5HbO1WIRCs/s1600/unnamed%2B(2).jpg)
Hoja kuwa tokea yawasili nchini mwezi Desemba , 2014 hayajaanza kutumika kwa vile ni mabovu ni upotoshaji wa ukweli. Ukweli ni kwamba kuanzia Novemba 24, 2014 TRL ilipeleka ...