Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NEC yaruhusu wagombea Ubunge waliopingwa kuendelea na kampeni

Damian Lubuva – Mwenyekiti NEC Tuesday, September 1, 2015 Na Anitha Jonas – Habari/Maelezo via blogu ya Serikali TUME ya Taifa ya Uchaguzi nchini imefuta rufaa 38 za wagombea nafasi za ubunge kati ya 54 zilizowasilishwa […]

The post NEC yaruhusu wagombea Ubunge waliopingwa kuendelea na kampeni appeared first on Mzalendo.net.

Mzalendo Zanzibar

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

WAGOMBEA 38 NAFASI ZA UBUNGE WALIYOWEKEWA PINGAMIZI KUENDELEA NA KAMPENI.

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Damiani Lubuva.
Na Anitha Jonas – MAELEZO.TUME ya Taifa ya Uchaguzi  nchini  imefuta rufaa 38 za wagombea nafasi za ubunge kati ya 54 zilizowasilishwa kupinga baadhi ya wagombea hao kwa kuwatuhumu kutotimiza vigezo mbalimbali na kusema wagombea hao wanaweza kuendelea na Kampeni majimboni mwao.
Kauli hiyo ilitolewa jana jijini Dar es Salaam Mkurugenzi wa Uchaguzi  Bw.Kailima Ramadhan kwenye mkutano na waandishi wa habari.Alisema kuwa baada ya...

 

9 years ago

Mwananchi

Hukumu ya NEC katika rufaa za ubunge kwa wagombea

Wakati kipenga cha kampeni za Uchaguzi Mkuu wa madiwani, wabunge na rais kimeshapulizwa Agosti 22 na Tume ya Taifa ya Uchaguzi(NEC), tume hiyo imepokea rufani za baadhi ya wagombea na vyama kupinga wagombea wa vyama vingine katika ngazi ya udiwani na ubunge.

 

10 years ago

Michuzi

WAGOMBEA UBUNGE CCM WAKAMILISHA KAMPENI ZAO KATIKA KATA 25 JIJINI ARUSHA

SAM_4554Mkurugenzi wa Bushback Safaris Mustafa Panju ambaye ni mtia nia ubunge wa jimbo la Arusha kwa tiketi ya CCM akinadi sera zake mbele yawananchi na wanachama wa chama hicho katika kata ya Themi viwanja vya Trans Foma jijini Arusha katika mkutano wa wagombea 12 wa chama cha mapinduzi ,kuomba kura katika kata 25 ambapo katika kura ya maoni atapatikana mmoja wa kupeperusha bendera ya CCM Arusha mjini(Habari Picha na Pamela Mollel wa jamiiblog)SAM_4518Kijana aliyejitokeza kusikiliza sera za...

 

10 years ago

GPL

MTANGAZA NIA UBUNGE LUDEWA AANGUKIA PUA NAFASI YA NEC, AAPA KUTOKUGOMBEA UBUNGE

  Mkuu  wa wilaya ya  Ludewa Antonia Choya akimkabidhi Mbunge wa Ludewa  Deo Filikunjombe (kushoto)  hati ya  shukrani ya kushiriki mbio  za Mwenge.…

 

9 years ago

Dewji Blog

10 years ago

Mwananchi

NEC yatangaza tarehe ya uteuzi wa wagombea

>Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetangaza ratiba ya Uchaguzi Mkuu kwamba Agosti 21, mwaka huu itakuwa ni siku ya uteuzi wa wagombea urais, ubunge na udiwani.

 

10 years ago

Raia Tanzania

Wagombea ubunge watwangana ngumi

KAMPENI za wagombea ubunge 12 wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wanaojinadi kwa wanachama kabla ya upigaji wa kura ya maoni katika Jimbo la Arusha Mjini, juzi ziliingia dosari baada ya wagombea wawili kutwangana makonde wakati wa kikao cha majumuisho.

Tukio hilo la kufedhehesha lilitokea ndani ya ofisi za CCM Wilaya ya Arusha saa 11:30 jioni wakati wagombea hao walipokaa na viongozi wa chama wilaya.

Taarifa kutoka ndani ya kikao hicho zilizolifikia Raia Tanzania na kuthibitishwa na...

 

9 years ago

Mwananchi

Chadema yatangaza wagombea ubunge

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimetangaza majina ya wagombea ubunge katika majimbo 135 yaliyoteuliwa na Kamati Kuu yakiwamo ya wabunge na makada wa CCM waliohamia katika chama hicho.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani